Domo na Zari ni wasanii kwahiyo maisha ya wasanii 90% ni maigizo,10% ndio uhalisia............Domo anajua kucheza na social media,anatumia fan base yake na vijana timu yake aliowaajiri kujipromote kwenye mitandao ambapo kwake inamuongezea dau la kwenye mikataba,hivi promoter ukisikia domo kanunua jumba la milioni 400 hivi ukitaka kumpa show utafikiri utampa ofer ya mili 2 au 3? Kwahiyo hayo majumba wanayonunua kwenye instagram na facebook ni za kiinstagramu tu,They are doin for the instagrammers and facebookers tu,ndio maana pamoja na utajiri mkubwa wa domo alionao kwenye instagram na facebook still anaishi kwenye kiwanja cha 25 kwa 25 madale.