Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Usifananishe chama na wagonjwa wa miguu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu ashinde mechi zakeumeisha mkuu Mwaba wa Lusaka ni Mwamba kweli.
😀😀😂 Uko sahihi mwamba.Hiyo Battle ya Azizi Ki na Chama iliisha kitambo sana
Saizi ni Azizi Ki na Kisinda
Wanaume huwa hatutali untill in the late night.Wewe ilikuwaje ukalala sana 2 usiku hadi kushindwa kujua nini kilitokea masaa yale?Kwa kipi kilichotokea?
Jamaa anacheza na akili ya Watopolo, alishajua Uto wanampima mchezaji mzuri kwa mbio (kama Kisinda) na mamisuli, kwahiyo akicheza lazima akunje bukta yake kuwachanganya akili Watopolo wenzake.
Ni wawili tu wenye akili pale Utopoloni ndo hawatabisha, ila punguani wote waliobaki watabisha.
😆😂🤸 Na leo wakipasuliwa watatukoma haswaa!Kutema tema mate km mjamzito, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui morisson kashampachika kituu. Maana sio kwa busu lile.
😆😂 Nilikuwa naona aibu sana kubaini kwamba hii nchi hatuna wachambuzi kabisa;kwamba Aziz alingane na Chama? Hapa East and Central Africa hakuna wa kulingana na Chama aisee.Utasikia mara ooh Azizi ki ana ku-offer vitu vingi uwanjani, yaani bla bla kibao. Labda kwenye hivo vitu vingi ni pamoja na kutema mate [emoji1787]
😄🤣 Aziz ana la kujifunza kwa Chama, na siyo kinyume chake.Ufunguo [emoji360] yampasa azingatie hili somo kutoka kwa Chama Triple CView attachment 2557047
Anafikiri mchezaji bora anapimwa kwa misuli. Kama vipi sense kwenye mieleka na mashindano ya kunyanyua vitu vizito ya akina Anold Schwarzenegger.Amebakia na Kazi ya kukunja bukta na kutuonyesha mapaja
Alwaysumeisha mkuu Mwaba wa Lusaka ni Mwamba kweli.
Usimfananishee chamaa na huyoo Domolepee wenuuu.Kwa mpira wa yanga lazima atumie nguvu nyingi sana tena mno..uchezaji was simba hauhitaji maguvu mengi. ..Aziz ki nimzuri sana ilasikumzidi Chama kimaarofa ila angekua Simba kungekua na combination ya ajabu sana..
He has to use miguvu Kwa uchezaji wa yanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watajutraaaaaaaa[emoji38][emoji23][emoji1732] Na leo wakipasuliwa watatukoma haswaa!