Ubongo Baada ya Kifo: Je, Bado Unawaza?

Ubongo Baada ya Kifo: Je, Bado Unawaza?

Yeah, alianza kuwanywesha pombe marafiki zake, akalipa madeni, akawa mwenye furaha Kisha akatangulia mbele ya haki.

Tunavyozungumza hatuko naye.
Ndio huwa inavyokuwa mkuu ukifuatilia dalili za kusepa zinajulikana
 
Ngoja Nile maisha ilikusudi nikiona hizo dalili nitubu.

Simple like that.
Hiyo ni favour kwa wale watakaobahatika kuugua kwa muda mrefu bro!

Ukipigwa buyu na boda kwenye rout fupi fupi za town au sijui na Sauli huko mikoani na furushi lako la dhambi hiyo ni instantly kwa Sir God kwenda kuulizwa.
 
k
Ubongo ni sehemu ya mwili yaani physical part, mwili ukizima probably na ubongo nao unazima.

Sijui kama unaamini katika spirituality, Kama unaamini basi utakuwa unafahamu kwamba nafsi ndyo haifi na itaishi milele hata baada ya mwili kufa.
kabla ya kuzaliwa hiyo nafsi iliishi wapi
 
Kila kitu kinaweza kuwa subsituted kuanzia moyo au lolote lile apart from brain.., yaani ukishakuwa brain dead ndio kifo chenyewe hata ukiwekwa kwenye mashine mengine yanaweza kuendelea lakini utakuwa a vegetable.... Thus naweza kukwambia Ubongo ndio wewe...
 
Dalili za kawaida kabla ya kifo:
1. Kupungua kwa hamu ya kula na kunywa
2. Kupungua kwa nguvu na nishati
3. Mabadiliko ya kupumua
4. Mabadiliko ya ngozi
5. Kupungua kwa mapigo ya moyo na shinikizo la damu(pressure)
6. Kuharibika kwa mzunguko wa damu
7. Kupungua kwa fahamu au kuchanganyikiwa
8. Kupoteza uwezo wa kudhibiti mkojo na kinyesi
9. Kuzama katika usingizi wa muda mrefu
10. Kupungua kwa maumivu

Dalili za Near-Death Experiences (NDEs):
1. Kuhisi kutoka nje ya mwili
2. Kupita kwenye handaki lenye mwangaza
3. Hisia ya amani na utulivu
4. Kukutana na watu waliokufa
5. Kuwa na mawasiliano ya kiroho
6. Mapitio ya maisha yao yote
7. Kuhisi kutokuwa na mwili
8. Uamuzi wa kurudi au kuendelea
9. Kusikia sauti za ajabu
umeyajuaje haya mkuu
 
ya
Ingekuwa hivyo, ingelikuwa rahisi kukumbuka yaliyokukuta usingizini
yap unakumbuka mkuu ikipigwa bastola karibu utajua tu hata ukilala vp ,au unamaanisha kukumbuka nini? ukingatwa na nge utaamka tu maana akili inafanya kazi
 
Back
Top Bottom