Bepari la Kinyambo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 852
- 1,081
Noted
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini ukilala mtu anaweza kukuibia hata makende au kukunyoa mavuzi bila wewe kujua lakini kama hujalala hiki kitu hakiwezekani.ha
hata kama hujalala unaweza kuibiwa bila kujua
kwahiyo imani utakayo amini ndio ukweli hukohuko utakapoendaInatokana na imani yako kama ni abrahamic religion utaenda kuzimu kujiandaa kwenda aidha peponi au motoni, kama budha na hinduism utakuwa Reincarnated kwenye mwili mwingine au scientifically ndio mwisho wako huo
Nakaziasisi ni nafsi iliyo ndani ya mwili. Na kifo ni kitendo cha nafsi kutoka kwenye mwili
lala fofofo nije nikukate pumbu kama hutajuaLakini ukilala mtu anaweza kukuibia hata makende au kukunyoa mavuzi bila wewe kujua lakini kama hujalala hiki kitu hakiwezekani.
Nafsi hupachikwa kwenye mwili pindi mtoto afikishapo miezi minne akiwa tumboni, nafsi hutoka kwa Mungu kwani yeye ndiye chanzo cha uhai.k
kabla ya kuzaliwa hiyo nafsi iliishi wapi
Nakazia
Mkuu nikichoka usiku unaweza kunichukulia mbupu na ninaweza kugundua asubuhilala fofofo nije nikukate pumbu kama hutajua
Japo inatisha ila ndiyo hivyoAaah wapi!
umejuaje kama nafsi hupachikwa kwa mtoto kwa muda huo na pia umejuaje kama inatoka kwa mungu?? ukinipa na evidence nitashukuruNafsi hupachikwa kwenye mwili pindi mtoto afikishapo miezi minne akiwa tumboni, nafsi hutoka kwa Mungu kwani yeye ndiye chanzo cha uhai.
📌🔨naongezea mwafrika atabaki kuwa mkata mauno mahiriMwafrika hana ubavu wa kuzungumza ama kuchunguza vitu kama hivi bila kumshirikisha mtu mweupe (kasoro mwarabu)...
Kwanza hakuna anayezaliwa anajua, sote tunajifunza kupitia vitabu hasa vitabu vitakatifu, na mimi sibagui kitabu vyote naviamini kwani vimetoka kwa Mungu.umejuaje kama nafsi hupachikwa kwa mtoto kwa muda huo na pia umejuaje kama inatoka kwa mungu?? ukinipa na evidence nitashukuru
haijulikani huenda mmoja wao yuko sahihi ila wote hawawezi kuwa sawakwahiyo imani utakayo amini ndio ukweli hukohuko utakapoenda
Unaweza kutuambia baadhi ya hizo dalili mkuuNi kweli na Kuna dalili za Kifo huwa watu huonyesha before kufa Mimi nimekaa na watu wa wanaonesha dalili fulani hivi before hawajafa
Kama itakupendeza.. naomba utujuze baadhi ya hayo mambo..Bundi ni kiumbe anayeona mambo ambayo binadamu hawezi kuona, kabla ya kifo kuna dalili ambazo bundi anaziona sio kunusa.
Pitia replies za hapo nyuma bossUnaweza kutuambia baadhi ya hizo dalili mkuu
Fact kabisaUbongo ndo organ ya mwisho kuacha kufanya kazi after death, niliisoma mahali, so wanasema unaweza kusikia sauti za watu au pengine kuwa na mawazo fulani, lakini nini hasa utokea wakati wa kifo inabaki kuwa speculation