Ubora duni wa viongozi wetu: Niko mjini Morogoro, MORUWASA ni mfano wa uongozi mbovu

Ubora duni wa viongozi wetu: Niko mjini Morogoro, MORUWASA ni mfano wa uongozi mbovu

Bado hujaenda kwenye gharama za kuunganisha maji, mteja unalazimishwa kununua vifaa kwao ambavyo bei ni mara mbili ya bei ya sokoni
Mtu anaunganisha maji mita 15 kutoka bomba kubwa gharama zinafika laki 4!
 
Mbongo yuko radhi aharibu miundombinu ya billion 100 ili apate fida binafsi ya mils 5, kiongoz anakuwa tayari kuuza mali ya nchi ya bils 500 ili apewe v8 na mtoto wake asome nje.

Hizi ndizo akili zetu
Nilisikia msomi Mwandosya naye aliuza TTCL baada ya mtoto wake kupewa scholarship. Huyo anaitwa profesa, msomi aliyetaka urais. Nchi hizi unapokuta rais ni mwizi, nani mwingine atalinda mali ya umma?

Huo mchezo wanaoufanya MORUWASA uko nchi nzima. Wanaotakiwa kutoa huduma ya maji wanaharibu utaratibu halafu wao wanajidai kutoa huduma hiyo. Mulugo akiwa naibu waziri wa elimu naye alifahamika kuanzisha shule yake. Rais anajiingiza biashara ya umeme badala ya kusimamia taasisi za serikali. Madaktari pale Muhimbili wanaharibu machine za tiba halafu wanakuelekeza uende upanga maabara fulani. KIla wakati nasema Magufuli was correct and right!
 
Just imagine Moro kuna vyanzo vingi vya maji lakini wanachi wake wanaweza kosa maji hata wiki nzima

Halafu kitaa magari ya idara sijui wafanyakazo binafsi wanauza maji .

AWESO shtuka hao morowasa wakazie moja kati idara mbovu mbovu Sana hapa nchi
Ukistaajabu ya Moro utayaona ya Mwanza, Musoma na Bukoba Ziwa liko mita sifuri.
Aweso ni bomu. Amekula rushwa wizara ile pale Morogoro kwa kumtumia afisa bonde, leo hii ataeleza nini?
 
Ukistaajabu ya Moro utayaona ya Mwanza, Musoma na Bukoba Ziwa liko mita sifuri.
Aweso ni bomu. Amekula rushwa wizara ile pale Morogoro kwa kumtumia afisa bonde, leo hii ataeleza nini?
Teh Teh Haa Haa
Bukoba Ziwa Victoria Lipo Mjini
Kemondo Bay Ziwa Victoria Lipo Mjini
Chettle Ziwa Victoria
Mwanza
Mara


Unategemea Hayo Maeneo Wasiongelee Maji Lakini Aibu Sana
 
Nilifika moruwasa nimeona mabomba mengi sana na yanaonekana yamelala muda mrefu sana sijui ya mradi gani?
Ila matatizo ni wabunge na madiwani wetu kutokuwa tayari kupigania nafuu ya maendeleo ya wananchi.
Ni kweli wenye bowser kipindi hiki cha kiangazi wanapiga sana hela,yaani lita elf 2000 tunalipia 40000.yaani ni zaidi ya bili ya kawaida kwa mwezi.
Sasa emagine lts 2000 tunanunua kila wiki.kwa mwezi ni zaidi ya 120000 kwa hii September na October.
Ni kweli hao wenye bowser wananunua kwenye bomba rasmi la moruwasa na wanavibali maalum.
Ila wengi ni wasoma mita na wenye taaluma ya uinjinia wa maji hawafanyi utafiti kwa nini maji hayafiki baadhi ya maeneo.
Ila toka march 2021 bado tu mfadhili haja toa majibu?
Je kweli kuna dhamira ya kutatua kero?
 
Mabomba ya morogoro yanaongoza kwa kutoa maji macha
Fu,mautando,mapukupuku wakati mwingine shombo la samaki
 
Nilifika moruwasa nimeona mabomba mengi sana na yanaonekana yamelala muda mrefu sana sijui ya mradi gani?
Ila matatizo ni wabunge na madiwani wetu kutokuwa tayari kupigania nafuu ya maendeleo ya wananchi.
Ni kweli wenye bowser kipindi hiki cha kiangazi wanapiga sana hela,yaani lita elf 2000 tunalipia 40000.yaani ni zaidi ya bili ya kawaida kwa mwezi.
Sasa emagine lts 2000 tunanunua kila wiki.kwa mwezi ni zaidi ya 120000 kwa hii September na October.
Ni kweli hao wenye bowser wananunua kwenye bomba rasmi la moruwasa na wanavibali maalum.
Ila wengi ni wasoma mita na wenye taaluma ya uinjinia wa maji hawafanyi utafiti kwa nini maji hayafiki baadhi ya maeneo.
Ila toka march 2021 bado tu mfadhili haja toa majibu?
Je kweli kuna dhamira ya kutatua kero?
Watu wanapiga hela manina haina namna
 
Nilisikia msomi Mwandosya naye aliuza TTCL baada ya mtoto wake kupewa scholarship. Huyo anaitwa profesa, msomi aliyetaka urais. Nchi hizi unapokuta rais ni mwizi, nani mwingine atalinda mali ya umma?

Huo mchezo wanaoufanya MORUWASA uko nchi nzima. Wanaotakiwa kutoa huduma ya maji wanaharibu utaratibu halafu wao wanajidai kutoa huduma hiyo. Mulugo akiwa naibu waziri wa elimu naye alifahamika kuanzisha shule yake. Rais anajiingiza biashara ya umeme badala ya kusimamia taasisi za serikali. Madaktari pale Muhimbili wanaharibu machine za tiba halafu wanakuelekeza uende upanga maabara fulani. KIla wakati nasema Magufuli was correct and right!
Raisi usipokuwa mwizi unachukiwa maana huta support shughuli za wizi
 
Baba Jesca Alimtimua Abood Kwa Maneno Makavu
Kazi Kuleta Bus Watu Wakifa Ukazike
Na yeye ndio mmiliki wa hizo boza za maji unapata picha gani hapo mkuu,hii nchi imelaaniwa kwa kweli sijui kama waafrika wenzetu nao wanapitia hizi shubili.
 
Abood ndio zake kutoa mabus kwenye misiba ila kutatua matatizo mengine ya wananchi kazubaa sana. Sijui kwanini alipata kura
Viongozi wa CCM mkoa wote kawaweka mfukoni kwake

Hawapindui kwake anawashikisha tu misimbazi na wao wanasema "tawile"

Na yeye Hana time na watu wa moro zaidi ya kugawa mabasi ya misiba
 
ila kweli suala la maji Morogoro limekuwa kero,mtaani kwetu tumezoea,ndani ya wiki 3 tunapata maji mara moja.
Inabidi kununua maji ya chumvi,dumu la lita 20 sh 500.
 
Azimio LA arusha lilisha kufaga mjomba!!! Hata viongozi wa serikali ndio wamiliki wa Mali nyingi
 
Hili tatizo la maji Morogoro ni tatizo sugu, kasi ya uunganishaji maji na mgao wa maji hauendani kabisa na mahitaji ya watu, chanzo cha uhakika kipo mindu nashangaa kwanini miuondombinu ya maji inachukua muda mrefu hivyo kukamilika, Waziri, RC na DC fuatilieni swala hili mitaani mjue hali halisi ya upatikanaji wa maji badala ya kupewa taarifa za kupika ofisini
 
Back
Top Bottom