Ubosi unanifanya nisiolewe, umri unazidi kusonga

Ubosi unanifanya nisiolewe, umri unazidi kusonga

Swala sio uboss swala ni wanakuonaje hao wanaume wa kazini na wa nyumbani au mazingira uyaishiyo, labda nikushauri kitu cha kufanya PM au inbox
 
Sasa ndio arukiwe na fundi viatu au mekanika hao?
Yeye anataka mume maisha tayari anayo kinachopungua kwake ni mume tu ni boss anaendeshwa ana nyuma ana vogi kakosa mume kwani fundi viatu kakosa nini hapandishi ndio muhimu na uhitaji alionao huyo
 
Kwenye ishu ya ndoa,umri sio ishu ,wala kuwahi kuolewa sio ishu,na Hata kuzaa pia,la msingi ni bora uchelewe kisha upate mtu sahihi ,kuna watu wanaishi kwa majuto usiku na mchana baada ya kukosea Hii step,inapendeza ukapata dume kubwa kuliko wewe kiumri na kipesa.
 
Punguza majivuno utaolewa.....Ukiendelea na majivuno utalamba poda mpaka uwe bibi
 
Dada kwenye maelezo yako mwishooni kuna sentensi isemayo, nakunukuu

NB:Sexless siyo mtu ni taasisi iliyosheheni KE na ME, mwisho wa kunukuu.
Dada sijaelewa hapa umemaanisha nini?.
Kumekuwa na maswali mengi yasiyoisha kwamba "Kwann ID hii inatoa threads za mrengo wa kike na kiume?"
 
Hapo mm umenikosa,msimamo wangu ni siwezi nunua mbuzi kwa gitaa,how comes mtu ananiniita mpenzi afu hanipi mzigo eti anasubiri ndoa,sio zama hizi
 
Sexless,
Embu weka Picha ulivyo, Naweza kujikuta nashawishika na u-boss wako
 
wanaume weng wanaogopa [HASHTAG]#joyce[/HASHTAG] kirio, lakini Mungu Ndo Mpaji Wa Kila Kitu , Ombeni Mtapewa ,
 
Back
Top Bottom