Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sasa hii taasisi inayaleta huku mrejesho hauwi mzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa una jinsia ngapi,leo mwanamke tena bosi,juzi tu ulikuwa manNyodo sina, ila huwa nina msimamo wa kutogawa k kabla ya ndoa
Yeye anataka mume maisha tayari anayo kinachopungua kwake ni mume tu ni boss anaendeshwa ana nyuma ana vogi kakosa mume kwani fundi viatu kakosa nini hapandishi ndio muhimu na uhitaji alionao huyoSasa ndio arukiwe na fundi viatu au mekanika hao?
Hao wa kishua wanaokuchukua wanakufanyaje wakati unasema una msimamo wa kutogawa k kabla ya ndoa? Si hao hao washua wakuoe? Au sijaelewa?Ke. Lkn sichukuliwi na wahovyo hovyo.
Kumekuwa na maswali mengi yasiyoisha kwamba "Kwann ID hii inatoa threads za mrengo wa kike na kiume?"Dada kwenye maelezo yako mwishooni kuna sentensi isemayo, nakunukuu
NB:Sexless siyo mtu ni taasisi iliyosheheni KE na ME, mwisho wa kunukuu.
Dada sijaelewa hapa umemaanisha nini?.
ina mana wewe ni bk?Nyodo sina, ila huwa nina msimamo wa kutogawa k kabla ya ndoa