Uchaguzi 2020 Ubunge Arusha sasa upo wazi kwa Godbless Lema

Uchaguzi 2020 Ubunge Arusha sasa upo wazi kwa Godbless Lema

Unazungumzia wale walioenda kuunga mkono juhudi kwa ushawishi wa pesa? Sikujua kama kuna daydreamer, acheni hizo buku tano za Lumumba zinawafanya muonekane vituko


whether ni buku tano ama ni hiari yao haibadilisha maana kwamba chama chenu ni cha ajab sana! wanachama gan wanawasaliti kwa sababu ya pesa, utu wenu uko wap kama chama! kwa njia yoyote unaotaka kujitetea bado haibadilishi maana ya kwamba chama cheni ni hovyo kabisa na hakina msimamo

mm mpaka leo sjui chadema wanakuja kutatua nn kwenye siasa maana wao wanasubiri magu aongee then wajibu,
 
Lema kwa kweli ataweza kushinda ila Arusha watakosa tena mwakilishi .
Lema ana mambo ya kitoto sana.
Ana lugha za kujisifu sifu kama mvuta bhangi tu.
Japo tunahitaji wapinzani wengi Bungeni na hata kushinda urais lakini kuna wapinzani wana mambo ya kujinga kijinga Momoja wapo akiwa ni Lema.
 
Lema kwa kweli ataweza kushinda ila Arusha watakosa tena mwakilishi .
Lema ana mambo ya kitoto sana.
Ana lugha za kujisifu sifu kama mvuta bhangi tu.
Japo tunahitaji wapinzani wengi Bungeni na hata kushinda urais lakini kuna wapinzani wana mambo ya kujinga kijinga Momoja wapo akiwa ni Lema.
Kuna zawadi yako kutoka kwa Gambo hapa.
Screenshot_2020-09-17-22-19-17-1.jpg
 
Huyo muuza vitumbua wa ilala labda ashinde ubunge hapo ccm mkoa,chamani hawamtaki yupo kama yatima...anahudhuria mpka mbesi za wamama sijui nae ni mama
kwa hiyo na wale waliomchagua kura za maoni sio wana CCM? kumbuka alipata kura 300 na anaemfuata kura 60
 
binafsi sikudhani Gambo angekuja kukosa mvuto kiasi hiki! kabla hata ya mchakato wa ubunge wengi tulidhani Gambo ndie mtu sahihi kwa chuga, ila mambo naona yamebadilika kiasi kwamba hatuoni Gambo akitoboa kwa Lema. kwanza hata kampeni zake huwa sijui anafanyiaga wapi maana kapooza kweli kweli
siasa za majukwaani siku hizi zimepitwa na wakati, siasa zinafanyika kupitia vikundi vya watu mitaani na kwenye shughuli. Gambo yuko active na atashinda kwa kishindo. lema toka ashinde ubunge 2015 hajaonekana tena mpaka sasa ivi ndio anaonekana, Lema hawezi kushinda kamwe. Gambo amesaidia watu wengi na aliyofanya yanaonekana,
 
Umeandika yaani Mtu akisoma anasema Mrisho kaisha kweli. Hahahaha mwisho wa siku Mrisho anaibuka Kidedea kama ilivyokuwa kura za Wajumbe. Kishindo tu. Mrisho ndio Mbunge makini atakuwa.

Labda Gambo ashinde kwa kura za "Wajumbe" wa NECCM..!!!
ARUSHA MJINI Ni ya CHADEMA lije jua ije mvua....Ni hapo 28/10/20.
 
wajumbe 300? ni bilionea? pesa alitoa wapi?
Double cola ndio alikua mkusanya pesa hilo tunajua,yeye ni gunia la msumari kwa ccm nguvu inatumika ila hauziki...ccm arusha nawajua kimwili wako nawe kiroho hawana time nawe
 
whether ni buku tano ama ni hiari yao haibadilisha maana kwamba chama chenu ni cha ajab sana! wanachama gan wanawasaliti kwa sababu ya pesa, utu wenu uko wap kama chama! kwa njia yoyote unaotaka kujitetea bado haibadilishi maana ya kwamba chama cheni ni hovyo kabisa na hakina msimamo

mm mpaka leo sjui chadema wanakuja kutatua nn kwenye siasa maana wao wanasubiri magu aongee then wajibu,
Una mihemko nani kakuambia mimi ni CHADEMA? Umekosa la kusema? Iq kama ya kuku
 
Back
Top Bottom