Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wetu Waziri Mkuu mstaafu bado yuko Jijini Arusha akijaribu kuokoa Jahazi lisizame,lakini mpaka sasa hakuna matumaini wala hauweni.
acha kujidanganya, Makongoro alishinda kwa nguvu ya Lyatonga Mrema kipindi kile, Lema janashinda kwa nguvu ya CHADEMA kupendwa na wachaga, sasa hivi wana arusha wamebadilika, wanataka maendeleo, mbinu za Lema zimejulikana, ungemsikia Lema anavyolia lia kwenye mikutao utacheka, sasa ivi wamasai, waarusha, waislam t wote wanamsapoti gambo, lema hatoboi
Madiwani? Tayari uchaguzi umeishafanyika?
Unazungumzia wale walioenda kuunga mkono juhudi kwa ushawishi wa pesa? Sikujua kama kuna daydreamer, acheni hizo buku tano za Lumumba zinawafanya muonekane vitukogambo alikaribisha madiwani 10 ccm kutoka chadema! huu mwaka cdm is loosing vyama vingine vinagain wanachama,
Razima=lazima, harina =halina. Kwa mwendo huu lazima uwe CCMMlisho Gambo razima ashinde mapema sana. Hilo harina ubishi
Pole sana kwa kuwa na misconstrued and misguided mawazo juu ya hiki kinyang'anyiro cha ubunge Jimbo la Arusha Mjini. Wewe subiri uone 28/10/2020. Mawazo na nadharia hasa hasa humu JF hayasaidii chochote.Heshima sana wanajamvi,
Mbio za ubunge katika jiji letu la Arusha sasa zipo wazi kabisa kiasi kwamba hata kipofu ni rahisi kujua na kufahamu nani atashinda ubunge.
Mara baada ya Mheshimiwa Mrisho Mashaka Gambo kupitishwa na kamati kuu kugombea ubunge Arusha Mjini kulikuwa na sintofahamu kubwa miongoni mwa wanaCCM kindakindaki. Wengi walijiuliza kulikoni kamati kuu kupitisha jina la mgombea ambae tayari alishasemwa hadhani na mheshimiwa Rais na hata Katibu Mkuu wa CCM Taifa Dr Bashiru.
WanaCCM wengi walikubaliana pengine kamati Kuu iliangalia nani mwenye uwezo wa kushinda nafasi ya ubunge na kuviweka vigezo vingine kando ikiwemo tuhuma za rushwa, uchonganishi (kiwanja cha Msikiti Mkuu Bondeni), kukwamisha ujenzi wa stand mpya, kuhujumu ujenzi wa shule mbali mbali kwa kisingizio cha udogo wa viwanja na nk.
CCM iliamini na kujiaminisha kwamba Mrisho Mashaka Gambo angewavusha salama katika uchaguzi mkuu, hapakuwemo mgombea mwingine wa kumzidi yeye.
Katika hali ya kushangaza sana kama si kusikitisha Mrisho Gambo Mashaka amepwaya kweli kweli, zile amri zake za ukuu wa Mkoa hazifui dafu katika kuomba kura. Mrisho bila ngoma,mdundiko na wacheza show hawezi kufanya mkutano,Mrisho bila kukusanya watu toka kata mbali mbali za wilaya ya Arusha Mjini,Arumeru hawezi kufanya mkutano, Mrisho Gambo bila usaidizi wa Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa hawezi kufanya mkutano. Mrisho Gambo yuko hoi bin taaban kisiasa na kiuchumi. Matajiri wengi wamejiweka kando na kampeni zake hawataki kutoa fedha tena wanamwangalia kama gari bovu.
Zipo tuhuma sijui zimetoka wapi, sijui nani kazianzisha zimesambaa kwa kasi ya ajabu juu ya kuungua soko la Samunge loooh hata kuandika naogopa soko la Samunge ni kaa la moto si mtaji tena wa Mrisho.
Naomba kuwasilisha.
Ngongo safarini Bukoba kwasasa nipo Katerero sokoni.
Asante mkubwa kwa taarifa ya kuizika rasmi ccm kwa mara nyingine tena.Heshima sana wanajamvi,
Mbio za ubunge katika jiji letu la Arusha sasa zipo wazi kabisa kiasi kwamba hata kipofu ni rahisi kujua na kufahamu nani atashinda ubunge.
Mara baada ya Mheshimiwa Mrisho Mashaka Gambo kupitishwa na kamati kuu kugombea ubunge Arusha Mjini kulikuwa na sintofahamu kubwa miongoni mwa wanaCCM kindakindaki. Wengi walijiuliza kulikoni kamati kuu kupitisha jina la mgombea ambae tayari alishasemwa hadhani na mheshimiwa Rais na hata Katibu Mkuu wa CCM Taifa Dr Bashiru.
WanaCCM wengi walikubaliana pengine kamati Kuu iliangalia nani mwenye uwezo wa kushinda nafasi ya ubunge na kuviweka vigezo vingine kando ikiwemo tuhuma za rushwa, uchonganishi (kiwanja cha Msikiti Mkuu Bondeni), kukwamisha ujenzi wa stand mpya, kuhujumu ujenzi wa shule mbali mbali kwa kisingizio cha udogo wa viwanja na nk.
CCM iliamini na kujiaminisha kwamba Mrisho Mashaka Gambo angewavusha salama katika uchaguzi mkuu, hapakuwemo mgombea mwingine wa kumzidi yeye.
Katika hali ya kushangaza sana kama si kusikitisha Mrisho Gambo Mashaka amepwaya kweli kweli, zile amri zake za ukuu wa Mkoa hazifui dafu katika kuomba kura. Mrisho bila ngoma,mdundiko na wacheza show hawezi kufanya mkutano,Mrisho bila kukusanya watu toka kata mbali mbali za wilaya ya Arusha Mjini,Arumeru hawezi kufanya mkutano, Mrisho Gambo bila usaidizi wa Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa hawezi kufanya mkutano. Mrisho Gambo yuko hoi bin taaban kisiasa na kiuchumi. Matajiri wengi wamejiweka kando na kampeni zake hawataki kutoa fedha tena wanamwangalia kama gari bovu.
Zipo tuhuma sijui zimetoka wapi, sijui nani kazianzisha zimesambaa kwa kasi ya ajabu juu ya kuungua soko la Samunge loooh hata kuandika naogopa soko la Samunge ni kaa la moto si mtaji tena wa Mrisho.
Naomba kuwasilisha.
Ngongo safarini Bukoba kwasasa nipo Katerero sokoni.
Labda atakuwa mbunge kupitia jimbo la magogoni, siyo Arusha maana ccm ilishafutika kitamboUmeandika yaani Mtu akisoma anasema Mrisho kaisha kweli. Hahahaha mwisho wa siku Mrisho anaibuka Kidedea kama ilivyokuwa kura za Wajumbe. Kishindo tu. Mrisho ndio Mbunge makini atakuwa.
Wana Arusha hawawezi kuruhusu huu upuuziNgongo,
Mzaramo kuwa mbunge wa chuga hii itakua ni dharau ya hali ya juu kabisa
Razima=lazima, harina =halina. Kwa mwendo huu lazima uwe CCMMlisho Gambo razima ashinde mapema sana. Hilo harina ubishi
Wekeni na tume huru
Naona unaota wewe siyo bure, ccm Arusha ilishakufa kitambo sana.Mkuu ww upo arusha... Huyo mleta uzi mwenyewe hayupo arusha. Endeleeni kujifurahisha na kushangilia ushindi... Jana lema alikuwa na mkutano sinoni muulize alikuwa na watu wangapi....
I was born in Arusha na im still dwelling pia hali mnayoamibishana sivyo ilivyo