Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni binti tu mlainiiii sana,chuga warembo sampuli yake hutulizwaMkuu wa Wilaya Kihongosi kasema wapo ladhi damu imwagike ila Gambo ashinde.
Kipimo chake ni kumuondoa Lema.
Madiwani? Tayari uchaguzi umeishafanyika?nakuonea huruma. lissu na mbowe walivoenda moshi kilichowatokea ni Mungu alikua tu pamoja nao! wakanyage tena moshi watajua umuhimu wa maisha, arusha usituweke kwenye huo upuuzi wenu kwanza juzi madiwani wenu sjui 10 wamehamia ccm
Mi mwenyewe niko huku shinyanga! Nilihisi huyo jamaa anahusika! kwa maana kipindi hicho, eti alihamishia ofisi yake sokoni ili kusimamia ugawaji wa viwanja! full usani! Kama baba Kama mtoto!Heshima sana wanajamvi,
Mbio za ubunge katika jiji letu la Arusha sasa zipo wazi kabisa kiasi kwamba hata kipofu ni rahisi kujua na kufahamu nani atashinda ubunge.
Mara baada ya Mheshimiwa Mrisho Mashaka Gambo kupitishwa na kamati kuu kugombea ubunge Arusha Mjini kulikuwa na sintofahamu kubwa miongoni mwa wanaCCM kindakindaki. Wengi walijiuliza kulikoni kamati kuu kupitisha jina la mgombea ambae tayari alishasemwa hadhani na mheshimiwa Rais na hata Katibu Mkuu wa CCM Taifa Dr Bashiru.
WanaCCM wengi walikubaliana pengine kamati Kuu iliangalia nani mwenye uwezo wa kushinda nafasi ya ubunge na kuviweka vigezo vingine kando ikiwemo tuhuma za rushwa, uchonganishi (kiwanja cha Msikiti Mkuu Bondeni), kukwamisha ujenzi wa stand mpya, kuhujumu ujenzi wa shule mbali mbali kwa kisingizio cha udogo wa viwanja na nk.
CCM iliamini na kujiaminisha kwamba Mrisho Mashaka Gambo angewavusha salama katika uchaguzi mkuu, hapakuwemo mgombea mwingine wa kumzidi yeye.
Katika hali ya kushangaza sana kama si kusikitisha Mrisho Gambo Mashaka amepwaya kweli kweli, zile amri zake za ukuu wa Mkoa hazifui dafu katika kuomba kura. Mrisho bila ngoma,mdundiko na wacheza show hawezi kufanya mkutano,Mrisho bila kukusanya watu toka kata mbali mbali za wilaya ya Arusha Mjini,Arumeru hawezi kufanya mkutano, Mrisho Gambo bila usaidizi wa Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa hawezi kufanya mkutano. Mrisho Gambo yuko hoi bin taaban kisiasa na kiuchumi. Matajiri wengi wamejiweka kando na kampeni zake hawataki kutoa fedha tena wanamwangalia kama gari bovu.
Zipo tuhuma sijui zimetoka wapi, sijui nani kazianzisha zimesambaa kwa kasi ya ajabu juu ya kuungua soko la Samunge loooh hata kuandika naogopa soko la Samunge ni kaa la moto si mtaji tena wa Mrisho.
Naomba kuwasilisha.
Ngongo safarini Bukoba kwasasa nipo Katerero sokoni.
Rejea tena comment yangu,upitie mstari kwa mstari..mbona makongoro nyerere alikuwa mbunge wa arusha mjini na alimshinda mchaga felix mrema?
..watu wa arusha wanataka wagombea wenye amsha-amsha kama makongoro nyerere, au godbless lema.
..ccm mmekosea kumsimamisha mrisho gambo ambaye anaonekana kuwa na aibu na yuko legelege.
kwa hiyo wachaga ndio wanastahili kuongoza Arusha?Wasio ijua Arusha ndio watapinga ukweli huu ila gambo hawez fikisha ata40%.CCM apa wamebugi kumpa mzaramo nafasi yakupambana na Lema.
Lema siasa zake za kutegemea kubwebwa na wachaga wenzake zimegonga mwamba safari hii, wamasai, waarusha, waislam wote wanamsapoti gambo, lema hatoboiHuyo ni binti tu mlainiiii sana,chuga warembo sampuli yake hutulizwa
acha kujidanganya, Makongoro alishinda kwa nguvu ya Lyatonga Mrema kipindi kile, Lema janashinda kwa nguvu ya CHADEMA kupendwa na wachaga, sasa hivi wana arusha wamebadilika, wanataka maendeleo, mbinu za Lema zimejulikana, ungemsikia Lema anavyolia lia kwenye mikutao utacheka, sasa ivi wamasai, waarusha, waislam t wote wanamsapoti gambo, lema hatoboi..mbona makongoro nyerere alikuwa mbunge wa arusha mjini na alimshinda mchaga felix mrema?
..watu wa arusha wanataka wagombea wenye amsha-amsha kama makongoro nyerere, au godbless lema.
..ccm mmekosea kumsimamisha mrisho gambo ambaye anaonekana kuwa na aibu na yuko legelege.
Gambo achome soko Lema aende kutoa pole?
Wamasai wako kata ngapi Arusha, Waislam nao wako kata ngapi? Utagundua ni Olasiti na Kati tu ndio kata za hao unaotaja lakini kwingine Lema tupuacha kujidanganya, Makongoro alishinda kwa nguvu ya Lyatonga Mrema kipindi kile, Lema janashinda kwa nguvu ya CHADEMA kupendwa na wachaga, sasa hivi wana arusha wamebadilika, wanataka maendeleo, mbinu za Lema zimejulikana, ungemsikia Lema anavyolia lia kwenye mikutao utacheka, sasa ivi wamasai, waarusha, waislam t wote wanamsapoti gambo, lema hatoboi
Ngarenaro, Ungalimited, Uswahilini, Kwa Morombo, wamejaa waislam, na ndio sehemu yenye watu wengi.Wamasai wako kata ngapi Arusha, Waislam nao wako kata ngapi? Utagundua ni Olasiti na Kati tu ndio kata za hao unaotaja lakini kwingine Lema tupu
Hizi ndoto za mchana wananchi hatuna marejeo yoyote ya kazi nzuri aliofanya Lema Arusha mjini zaidi ameua uchumi wa Arusha kwa hyo wananchi tunasema sasa imetosha tunataka Arusha yenye hadhi yake kabla ya LemaHeshima sana wanajamvi,
Mbio za ubunge katika jiji letu la Arusha sasa zipo wazi kabisa kiasi kwamba hata kipofu ni rahisi kujua na kufahamu nani atashinda ubunge.
Mara baada ya Mheshimiwa Mrisho Mashaka Gambo kupitishwa na kamati kuu kugombea ubunge Arusha Mjini kulikuwa na sintofahamu kubwa miongoni mwa wanaCCM kindakindaki. Wengi walijiuliza kulikoni kamati kuu kupitisha jina la mgombea ambae tayari alishasemwa hadhani na mheshimiwa Rais na hata Katibu Mkuu wa CCM Taifa Dr Bashiru.
WanaCCM wengi walikubaliana pengine kamati Kuu iliangalia nani mwenye uwezo wa kushinda nafasi ya ubunge na kuviweka vigezo vingine kando ikiwemo tuhuma za rushwa, uchonganishi (kiwanja cha Msikiti Mkuu Bondeni), kukwamisha ujenzi wa stand mpya, kuhujumu ujenzi wa shule mbali mbali kwa kisingizio cha udogo wa viwanja na nk.
CCM iliamini na kujiaminisha kwamba Mrisho Mashaka Gambo angewavusha salama katika uchaguzi mkuu, hapakuwemo mgombea mwingine wa kumzidi yeye.
Katika hali ya kushangaza sana kama si kusikitisha Mrisho Gambo Mashaka amepwaya kweli kweli, zile amri zake za ukuu wa Mkoa hazifui dafu katika kuomba kura. Mrisho bila ngoma,mdundiko na wacheza show hawezi kufanya mkutano,Mrisho bila kukusanya watu toka kata mbali mbali za wilaya ya Arusha Mjini,Arumeru hawezi kufanya mkutano, Mrisho Gambo bila usaidizi wa Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa hawezi kufanya mkutano. Mrisho Gambo yuko hoi bin taaban kisiasa na kiuchumi. Matajiri wengi wamejiweka kando na kampeni zake hawataki kutoa fedha tena wanamwangalia kama gari bovu.
Zipo tuhuma sijui zimetoka wapi, sijui nani kazianzisha zimesambaa kwa kasi ya ajabu juu ya kuungua soko la Samunge loooh hata kuandika naogopa soko la Samunge ni kaa la moto si mtaji tena wa Mrisho.
Naomba kuwasilisha.
Ngongo safarini Bukoba kwasasa nipo Katerero sokoni.
Acha utani utani wa sampuli hiyo nitakunyima kisusio.Dar siyo ya wazaramo, wazaramo kwao Pwani Dar es salaam wenyewe waarabu na sisi wajanja tuliohamia. Wametoka milima ya Matombo wakazaramia
😂😂😂 nimeokoka siku hizi sinywi damuAcha utani utani wa sampuli hiyo nitakunyima kisusio.