Ubunge EALA ni Vita kali CCM. Mpaka sasa ni makada 64 tayari wamevuta fomu

Kila lenye heri chama langu la CCM,
 
Pole sana comrade Paskali Mayala kwa kuanguka kwenye uteuzi uliofannywa na CC ya CCM.
Kuna nyakati maamuzi yanafanyika ambayo they don't work in favour of people with ability, but it doesn't indicate those unchosen are less important.

Kwa muono wangu, Paskali yuko so much connect and know to many people in the corridors of power. Bila shaka angetumia nafasi hii kugombea wale jamaa wangali hai, huenda Paskali angekuwa na substantial contribution either mjengo wa Idodomya au Makao makuu ya EA.

Kaka mkubwa Paskali ameona fursa ya kuingia nyakati za Farao asiemjua mzee Andrew Mayalla.

Hongera kwa kuonesha nia, na pole kwa matokeo ambayo hayakuwa upande wako.

Weekend njema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…