goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Kila kher mkuu wetu wa bodi Pascal Mayalla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini wewe? Aisee!!!!!Multiple IDs from Njaa
Kwamba huo ubunge ndio kujijenga!?[emoji23]Pelekeni watu EALA wacheni kujimaliza wenyewe
Wewe unaonaje?Kwamba huo ubunge ndio kujijenga!?[emoji23]
Hizo nafasi upinzani hawawezi kuzipata bila kura za wabunge wa CCM, hakuna nafasi za dezo eti kwa sababu tu ya kuwa mpinzani.Kwani nafasi za Upinzani sizipo tu hizo wakati wote
Watapewa ni lazima, kwa mujibu wa Sheria,Hizo nafasi upinzani hawawezi kuzipata bila kura za wabunge wa CCM, hakuna nafasi za dezo eti kwa sababu tu ya kuwa mpinzani.
Kila lenye heri chama langu la CCM,Makada 64 CCM wapigana vikumbo ubunge Afrika Mashariki
![]()
Wiki moja baada ya kufunguliwa kwa pazia la ubunge wa Afrika Mashariki (EALA), wanachama 64 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamejitokea hadi leo Alhamisi, Agosti 4, 2022 kuomba ridhaa ya kuwania nafasi hiyo.
Idadi hiyo inaashiria mchuano mkali katika kinyang’anyiro hicho, kinachohitaji watu tisa wakiwemo wawakilishi kutoka vyama vya upinzani.
Miongoni mwa makada wa chama hicho waliojitokeza kuchukua fomu za kuwania nafasi hizo ni Godfrey Shirima, Dk Paul Anthony, Henry Bulengera,Paschal Mayalla na James Kasurura.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Oganaizesheni, Maudline Castico amewataja wengine ni Nasikiwa Berya, Amina Mgeni, Ambwene Kajura, Nasser Nzamba, Prakseda Marmo, Maria Kangoye na Shogo Mlozi.
“Yupo Alfa Munyi, Manase Michael, Ayubu Lemilya na Nicksoni Kahimba waliochukulia Dar es Salaam, huku Haji Vuai Ussi, akichukua kwa upande wa Zanzibar,” amesema.
Kwa mujibu wa Castico, milango ya kuchukua fomu za kuwania nafasi hizo itakuwa wazi hadi Agost 10, 2022.
#Kaka yetu Mayalla Paskali kila lenye heri
Anajichanganya Sana huyu mzee, nenda kasome uzi aliouanzishaKila kher mkuu wetu wa bodi Pascal Mayalla
Ila sijui kasahau kura za wajumbe kwamba alipata moja?Tunamuombea sana
😂😂😂Ila sijui kasahau kura za wajumbe kwamba alipata moja?
Ila jamaa ni jasiri kwelikweli.
mauzo ya form ni moja ya biashara nzuri sanakwahiyo ni 64,000,000