Mkuu kawadanganye watoto wadogo! Hivi kweli wananchi wengi kwenye kituo cha kupigia kura wawe wanamtaka mgombea wa CDM wangeacha kufanyafujo kama kungekuwa na uonevu wa kiasi hicho??
Watajiunga na Sugu na Profesa Jay. Hakuna ubaya hapo.Hilo bunge 2020, Harmonise, Diamond na bado Shilole .
Wewe utabaki kuwa ndugu na mtanzaniaKumbe hilo mnalijua fika kuwa watu wote hatuwezi kuipenda ccm, sasa inakuwaje mnatuona kama siyo watanzania sisi tusiyo ipenda ccm?
Kwa hiyo Igunga wataletewa shilole.. Acheni dhihaka
Watapungua kwa kuwa watz wengi wanaimani na Rais Magu na wanajua hakuna wakumshinda toka upinzani na wabunge itategemea jimbo na jimbo ila tuseme ukweli wapinzani mwaka huu watapata tabu sana. Wakina Mbowe na genge lake wamalizie ruzuku za mwisho mwisho!Hizo fujo unazosema ndio zilipelekea Akwilina kupoteza maisha, viongozi wa cdm kuwa na kesi mpaka leo. Narudia tena, huu uhayawani uko wazi sana, na wananchi waliuona kila mahali. Ndio maana uliona idadi ndogo sana ya watu kujitokeza kujiandikisha uchaguzi wa SM. Hakuna mtu ana muda wa kushiriki ushenzi. Sasa subiri uchaguzi wa 2020 uone idadi ya wapiga kura itakavyokuwa ndogo. Huu uzi nitauvuta kwa ushahidi.
sasa kwenye siasa anafata nini sababu yeye anapenda pesa na sifa
Wewe utabaki kuwa ndugu na mtanzania
Tatizo mnavuka mipaka na kukosa uzalendo
Vipi hajapigiwa simu kwenye show zake?Amber Rutty naye nilimsikia anagusia uwezekano Wa kugombea sijui eneo gani,bunge litashine sana
Kuvuka mipaka ni pale unaposhangilia ndege kukamatwa,au kushadidia nchi iwekewe vikwazo vya kiuchumiKuvuka mipaka ni kutokuipenda ccm, na kutokumsujudia magu ni kukosa uzalendo? Hivi ni Nani kawapa kipimo cha kupimia uzalendo?
Atashinda kihalali kabisa.Sio atashinda, bali atatangazwa mshindi kwa amri ya rais, sasa kama malalamiko ni kuwa Zitto kahamia Dar na kushinda twitter, je Diamondi ndio atakaa huko Kigoma? Je kuna msanii hatumii mitandao ya kijamii? Au kwakuwa lengo la bunge lijalo ni kumuongezea jiwe muda wa kukaa madarakani, hivyo anapanga mitume wake?
Taja wawili tu bibie tafadhali.Afadhali ya.ubunge wa sasa,zamani.wabunge.walichaguliwa.wasio.jua.hata kusoma,na walihudumu bunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha urongoDiamond siasa zitamporomosha!
Anaotaka kuwanufaisha kisiasa kwa kutumia umaarufu wake ni watu wasiokubalika na watanzania wengi hivyo awe makini
Watapungua kwa kuwa watz wengi wanaimani na Rais Magu na wanajua hakuna wakumshinda toka upinzani na wabunge itategemea jimbo na jimbo ila tuseme ukweli wapinzani mwaka huu watapata tabu sana. Wakina Mbowe na genge lake wamalizie ruzuku za mwisho mwisho!
Haaaaa halafu 2024tubadalisha katiba kiulainiHilo bunge 2020, Harmonise, Diamond na bado Shilole .