Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mkuu kawadanganye watoto wadogo! Hivi kweli wananchi wengi kwenye kituo cha kupigia kura wawe wanamtaka mgombea wa CDM wangeacha kufanyafujo kama kungekuwa na uonevu wa kiasi hicho??
Hizo fujo unazosema ndio zilipelekea Akwilina kupoteza maisha, viongozi wa cdm kuwa na kesi mpaka leo. Narudia tena, huu uhayawani uko wazi sana, na wananchi waliuona kila mahali. Ndio maana uliona idadi ndogo sana ya watu kujitokeza kujiandikisha uchaguzi wa SM. Hakuna mtu ana muda wa kushiriki ushenzi. Sasa subiri uchaguzi wa 2020 uone idadi ya wapiga kura itakavyokuwa ndogo. Huu uzi nitauvuta kwa ushahidi.