EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Ingawa wanasema ili uwe mbunge ujue kusoma na kuandika tu,diamond anazo hizo sifa lakini nasema hastahili hata kwa nusu asilimia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Pro. J na Sugu ni wanamuziki na Wabunge mbona hukuhoji?Huu ubunge siku hizi hauna maana tena. Niliona hata Mkulu akimpigia debe mwimba muziki wa kiume anae suka nywele kwamba nae anafaa kuwa mbunge.. Yaani haya ni mambo ya aibu mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mwanamuziki hafai kuwakilisha wananchi? Je Kunataaluma maalum inayokubalika ili mtu awe mbunge? Au kwa kuwa umezoea kuwaona wanasheria na so like? Acha dharau ndio Mana wakasema kigezo Cha kuwa mbunge ni kujua kisoma na kuandika tu! ShwainHuu ubunge siku hizi hauna maana tena. Niliona hata Mkulu akimpigia debe mwimba muziki wa kiume anae suka nywele kwamba nae anafaa kuwa mbunge.. Yaani haya ni mambo ya aibu mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnavolalamika utafikiri hao wakata viuno washaingia mjengoni. Mbona hawapo mjengoni lakini bado Maamuzi ya ndio mzeiya yanapitiashwa na maprofesa wa jalalani. Wacheni dharauKwamba Diamond ndiye ataenda kuishi kigoma akaliwe funza?
Eti Diamond awe mbunge kwenda kutunga sheria zenye manufaa kwa taifa
What shame..
Ndio maana nchi imedumaa hivi kukata viuno na kutunga sheria wapi na wapi?
Hilo bunge 2020, Harmonise, Diamond na bado Shilole .
Ndiyo tunawategemea kutunga sheria
Mkuu Lesiriamu usikariri kila zama na kitabu chake.Huu ubunge siku hizi hauna maana tena. Niliona hata Mkulu akimpigia debe mwimba muziki wa kiume anae suka nywele kwamba nae anafaa kuwa mbunge.. Yaani haya ni mambo ya aibu mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
mamaa IgungaHilo bunge 2020, Harmonise, Diamond na bado Shilole .
Tena hii evolution inakasi ya 4G ..si ile tulioambiwa kuwa nyani kuwa binadamu ilichukua miaka mamilioni...hatari sanaFrom Don(Rostam Aziz) to Shilole(Mama ntilie),kweli 'Evolution' is real.
Nb:Namaanisha hio hio Evolution and not revolution.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa akili za watanzania,Diamond hata akigombea Urais anashinda.Ila Diamond hajijui tu kuwa yeye ni mkubwa kuliko wanasiasa.Tena akigombea Kigoma atashinda asubuhi kabisa.
Kwani Zitto anaishi Kigoma?Kwamba Diamond ndiye ataenda kuishi kigoma akaliwe funza?
Eti Diamond awe mbunge kwenda kutunga sheria zenye manufaa kwa taifa
What shame..
Ndio maana nchi imedumaa hivi kukata viuno na kutunga sheria wapi na wapi?
Kwa miaka hii 5 umeona bunge likitunga sheria?Kwamba Diamond ndiye ataenda kuishi kigoma akaliwe funza?
Eti Diamond awe mbunge kwenda kutunga sheria zenye manufaa kwa taifa
What shame..
Ndio maana nchi imedumaa hivi kukata viuno na kutunga sheria wapi na wapi?
Diamond siasa zitamporomosha!
Anaotaka kuwanufaisha kisiasa kwa kutumia umaarufu wake ni watu wasiokubalika na watanzania wengi hivyo awe makini
Naongea kutokana na watanzania walivyo,watanzania wanavote kutokana na mahaba kwa mtu ,na sio mtu atawafanyia nini?Yaani umaarufu kwa Tanzania unaweza msaidia msanii kugombea nafasi za siasa na akashinda.Hebu nyoosha maelezo,
Uraisi kwenye chama gani mbonaa mnampa sifa zisizo
Sent using Jamii Forums mobile app