Uchaguzi 2020 Ubunge Tarime Mjini: Ngicho ahamishia nguvu zake kwa Gerald Martin

Waitara kiukweli hakubaliki na hana sita Kama Mama Kabaka. Huyu Mama Kabaka Ni mtu mzuri na anayependwa na wana Tarime wote na sifa zake zinajulikana. Waitara Ni mbunge mwenye sifa mbaya tangu Ukonga na huku kwetu. Kiufupi Wajumbe walijichanganya na Heche atampiga asubuhi kabla jogoo hajawika
 
Hata Jimbo la Rorya rushwa ilitumika sana hasa namba 1,2, na 3. Natumaini kuwa TAKUKURU waliliona na watatolea taarifa.
 
Kaa huko na majungu yako maana hata hatukuelewi
 


Venance, kuna ukweli kidogo lakini mengi umeongeza chumvi sana.
 
Kumbe hata wanamme wakurya nao wana majungu!!
 
Hahaha majimbo yana wabunge tayari mnahangaika nini tena?!

Ona, hamuwataki kabla hamjawapoteza kura zenu, bora kuwapigia wanao kubalika na wengi, hao wa Chadema kuliko kupiga kura ikapotea.
 
Hapo Tarime Mjini Kuna Mama Fulani Ni Dr. Simkumbuki jina ana Sera na mipango madhubuti, japo sidhani Kama alikua na hela lakini Wajumbe hawakumpa kura
 
Hapo Tarime Mjini Kuna Mama Fulani Ni Dr. Simkumbuki jina ana Sera na mipango madhubuti, japo sidgani Kama alikua na hela lakini Wajumbe hawakumpa kura
wajumbe hawakuwa na muda wa kusikiliza sera, bali kupima pochi ya mgombea.
 
tuna IMANI Kamati KUU itatupa chaguo sahihi la wana Tarime.
 
Hata Jimbo la Rorya rushwa ilitumika sana hasa namba 1,2, na 3. Natumaini kuwa TAKUKURU waliliona na watatolea taarifa.
Kwani kuna Jimbo rushwa haijatumika ?!. Acheni safari hii suba na nyancha zipambane . Girango na Luo imbo zisubiri miaka ijayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…