Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Nyaronyo Kicheere, yule mhariri wa Kulikoni, leo amenyaka fomu ya kugombea ubunge wa Tarime kupitia Chadema. Ajabu, kumbe wanajifucha uanachama wao mpaka dakika ya mwisho ndio wanajionyesha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyaronyo Kicheere, yule mhariri wa Kulikoni, leo amenyaka fomu ya kugombea ubunge wa Tarime kupitia Chadema. Ajabu, kumbe wanajifucha uanachama wao mpaka dakika ya mwisho ndio wanajionyesha!
Hivi na yeye anavuta Bangi!??
Hivi na yeye anavuta Bangi!??
Other people bwana!
Lakini anauzika huko Tarime? Nimewahi kumwona mara mbili hivi akihojiwa kwenye luninga. Anaonekana ana uchungu na nchi yake.
Uchungu na nchi hauwezi kuthibitika kwa kuongea bali kwa kutenda. Many can talk the talk but only few are capable of walking the walk.
]What abt CUF?
Heshima Mbele,
Harakati za uchaguzi wa Jimbo la Tarime umeanza kwa mwebwe nyingi na kwa watu kadhaa wa CHADEMA kuchukua fomu,Leo kulikuwa na kikao cha kupitia majina ya walioomba kugombea jimbo aliloliacha Mhe. wangwe.
Mgombea mmoja maarufu kwa jina la chacha tayari ameshajinadi kuwa ana uwezo mkubwa zaidi ya ule aliokuwa nao wangwe kw akujitapa anaweza kuvivaa.Haya maneno yaliwa kuzungumwa na Zitto kuwa marehemu chcha wabngwe hakuacha pigo katika CHADEMA.
JF imekuwa Mstari wa Mbele sana kutetea maslahi ya nchi na kuweka mbele U-CHADEMA zaidi kuliko kitu kingine,Je kwa mbinu hizi za CHADEMA watafanikiwa kulichukua Jimbo la Tarime?ikizingatiwa na maneno yao ya kumuona wangwe hakuwa na umuhimu katika CHADEMA.
Anguko la pili la upinzani linakuja na hii yote imechangiwa na kupuuzwa kwa yale aliyoyasema marehemu wangwe.Pili yamechangiwa na muungano wa upinzani kuvunjika baada ya CHADEMa kujiona wao ni bora zaidi.
CHADEMA hawataki kuyatekeleza yale mazuri aliyoyaacha na mpaka sasa sijasikia tamko lolote la kuhusu matumizi ya pesa za CHADEMA zaidi ya kukanusha bila kutoa fact.
ukiangalia kwa undani kabisa basi CCM walishashinda jimbo hilo kwa kuwa CHADEMA na NCCR amabo wao wataweka mgombea mmoja wakishilikiana na vyama vya CUF na TLP watagawa kura za upinzani wakati CCM wakivuna kura za ushindi..
Mbio zimeanza je ni CHAMa kipi kitashinda?
Heshima Mbele,
Harakati za uchaguzi wa Jimbo la Tarime umeanza kwa mwebwe nyingi na kwa watu kadhaa wa CHADEMA kuchukua fomu,Leo kulikuwa na kikao cha kupitia majina ya walioomba kugombea jimbo aliloliacha Mhe. wangwe.
Mgombea mmoja maarufu kwa jina la chacha tayari ameshajinadi kuwa ana uwezo mkubwa zaidi ya ule aliokuwa nao wangwe kw akujitapa anaweza kuvivaa.Haya maneno yaliwa kuzungumwa na Zitto kuwa marehemu chcha wabngwe hakuacha pigo katika CHADEMA.
JF imekuwa Mstari wa Mbele sana kutetea maslahi ya nchi na kuweka mbele U-CHADEMA zaidi kuliko kitu kingine,Je kwa mbinu hizi za CHADEMA watafanikiwa kulichukua Jimbo la Tarime?ikizingatiwa na maneno yao ya kumuona wangwe hakuwa na umuhimu katika CHADEMA.
Anguko la pili la upinzani linakuja na hii yote imechangiwa na kupuuzwa kwa yale aliyoyasema marehemu wangwe.Pili yamechangiwa na muungano wa upinzani kuvunjika baada ya CHADEMa kujiona wao ni bora zaidi.
CHADEMA hawataki kuyatekeleza yale mazuri aliyoyaacha na mpaka sasa sijasikia tamko lolote la kuhusu matumizi ya pesa za CHADEMA zaidi ya kukanusha bila kutoa fact.
ukiangalia kwa undani kabisa basi CCM walishashinda jimbo hilo kwa kuwa CHADEMA na NCCR amabo wao wataweka mgombea mmoja wakishilikiana na vyama vya CUF na TLP watagawa kura za upinzani wakati CCM wakivuna kura za ushindi..
Mbio zimeanza je ni CHAMa kipi kitashinda?