Mtanzania,
Mkuu heshima yako,Hivi Dr.Slaa amehalalishia wapi au ni kipi kilichokufanya useme Slaa amehalalisha hivyo vitendo.Kumbuka maesema ingawa haungi Mkono hizo vurugu,lakini alichokisema ni fact kwamba Maneno ya Dr. Mvungi ndiyo yaliyomponza.
Je,unadhani angenadi sera na kuacha kuichafua CHADEMA yangemkuta hayo? Sometimes inasikitisha kuona mwanasiuasa wa kariba ya Mvungi akifanya siasa Chafu badala ya kuwa kinara wa siasa safi yenye nia ya kuleta mabadiliko ktk taifa letu changa kisiasa.Anashindwa kutofautiana na Makamba types.
Pia wananchi wa Tarime walitegemea kuona upinzani unaungana,badala yake wanaona kila chama kinaibuka na mgombea na kingine kwenda mbali zaidi na kuwatukana CHADEMA ambao ni kipenzi cha wapenda demokrasia (Wanatarime).Kimsingi Mvungi ali-misbehave ingawa pia siungi mkono watu kutumia nguvu.
Sometimes ajifunze kutokana na makosa na aache kulalamika maanake inakua kama vile hataki ku-learn from the mistakes