Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,468
- 2,349
...Tarime hatuoni vurugu wala kufukuzana badala yake kuona polisi wamevalia kijeshi muda wote na kuranda mitaani ? kuna vurugu ipi hapa kwa muda huu na imeanza lini ?
Njia ya mwongo ni fupi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Tarime hatuoni vurugu wala kufukuzana badala yake kuona polisi wamevalia kijeshi muda wote na kuranda mitaani ? kuna vurugu ipi hapa kwa muda huu na imeanza lini ?
Salaam tokea Tarime .Mambo si shwari na CCM sasa wameamua kufanya yale yaliyo tegemewa .Nimeshuhudia Tossi leo na kikao kikubwa hapa Tarime na Kova anategemea kutinga muda wowote ili kuhakikisha CCM wanapata jimbo hili .................
Jeshi la Polisi linafanya kufuru sasa maana leo pekee wameletwa 300 na wiki hii wanategemea wengine 600 zaidi kwa jina la vurugu za kikabila lakini ukweli ni kwamba jimbo la Tarime lirudi CCM ndiyo nia yao.
Lunyungu unachemka! hivi kuna tatizo gani vyombo vya ulinzi na usalama kuwepo hapo ilhali hali ya Tarime ni tete? If anything hiyo ni blessing na uhakika wa usalama acha spin zako
Lunyungu unachemka! hivi kuna tatizo gani vyombo vya ulinzi na usalama kuwepo hapo ilhali hali ya Tarime ni tete? If anything hiyo ni blessing na uhakika wa usalama acha spin zako
Lunyungu unachemka! hivi kuna tatizo gani vyombo vya ulinzi na usalama kuwepo hapo ilhali hali ya Tarime ni tete? If anything hiyo ni blessing na uhakika wa usalama acha spin zako
Mvungi alijitakia mwenyewe. Huu ugomvi wa Wanyanchare sijui na akina nani wale umekuwepo muda mrefu tu mbona FFU hawakupelekwa. Sasa wakati uchaguzi mdogo unapokaribia ndipo mnapeleka jeshi la CCM?
Salaam tokea Tarime .Mambo si shwari na CCM sasa wameamua kufanya yale yaliyo tegemewa .Nimeshuhudia Tossi leo na kikao kikubwa hapa Tarime na Kova anategemea kutinga muda wowote ili kuhakikisha CCM wanapata jimbo hili .Hii ni baada ya wana Tarime kumkataa Kangoye Ryoba ambaye anabebwa na Makamba na Gachuma ambao wamesema ni mtu wao na lazima apite .Wana Tarime wanasema wana imani na Charle Mwela baada ya CCM kumkataa kipenzi wao Nyambali Nyangwire .Ukweli upo maana Dodoma kumekuwa kimya kwa siku 2 hadi jioni hii walipo amua kumoa Kangoye wa TRA kisa yeye na gachuma ni damu damu na Makamba yeye ni omba omba anajua chake cha juu kiko wazi .
Jeshi la Polisi linafanya kufuru sasa maana leo pekee wameletwa 300 na wiki hii wanategemea wengine 600 zaidi kwa jina la vurugu za kikabila lakini ukweli ni kwamba jimbo la Tarime lirudi CCM ndiyo nia yao .JK na Mwema yetu macho na tuna waangalia kwa makini sana .Chadema bado wana uwezo mkubwa wa kulitwaa jimbo hili kwa mujibu wa uchunguzi wangu na imekuwa tishio hadi Tossi na Kova kuaminiwa kuja kulirudisha jimbo .
Masatu,Hukusikia yaliyomkuta Dr Mvungi?
Masatu,
Taarifa zako sijui source yake nini? Hali tete leo? Mbona Wangwe, ndani ya Bunge amepiga kelele siku nyingi na Polisi wengi kiasi hicho hawajapelekwa hata siku mmoja? Tunafuatilia kwa karibu nini kinaendelea. Maadili ya uchaguzi yasipofuatwa process ya demokrasia inakuwa derailed. Nadhani uwepo wa excessive presence of the state organs athari yake inajulikana. Hasa pale visingizio mbalimbali vinapoanza kutumika kama ilivyotaka kufanyika juzi kuanza kukamata vijana wenye pikipiki, Tarime mjini. Hata hapo kuna mapigano? Pikipiki ni silaha za mapambano? Au kuna lililojificha?
.Majita ni kura sio kula.... Eh!!!Tatizo siyo hao mapolisi wa CCM kuwepo.Tatizo ni je wao nao watapiga kula au watasaidia kuiba na kuiwezesha CCM kushinda.Hapo ndo hofu inaanzia.
.Majita ni kura sio kula.... Eh!!!
Kila mtu hapa anaongea katika mtizamo wa kisiasa...lakini hatuongea hali halisi ya wilaya ya tarime watu walivyo..na uchaguzi unao kuja kutakuwa na impact gani kama watakuwa na jazba kama kawaida yao...hivi mapigano yanaendela uchaguzi utafanyikaje?
Yes hawakupeleka askari toka awali lakini kwa sasa ni lazima Dk.Slaa anajua nini maana ya jazba ya hawa watu wa uku.....wakati wa kupiga kura ni wakati unapo hitajika utulivu..na amani ili watu wapige kula..
Kwenye eneo ambapo kijiji wanaweza pigana kwa ajiri ya ng'ombe mmoja...si swala la utani hili.Majita..mtu kwao..Mwita maranya..na wengine...
Angalia hili tatizo katika pande mbili sio kwa sababu kova na tossi wako hapa...mbona wakwenda nyamongo kwenye operation maalumu ya kupunguza vibaka(intruders) wakaa kwa wiki nane...wakahama wote kwenda tarime,musoma,mwanza na kwingineko..baada ya operation kwisha wote wamerudi...ugomvi ni asili yao polisi wanakuja leo..wanawapiga..baada ya wiki nzima warudia tena ugomvi....
Hawana jingine la kufanya...kama hawalimi...na wana ardhi nzuri...ingekuwa kwa wasukuma wala haya mapigano ya koo usinge yasikia..
Check mji wa nyamongo maendele ni duni kwa ajiri ya watu wake wenyewe kuwa na kichw ngumu,ulitakiwa uwe kama kahama,geita,nzega kote kwenye madini...lakini hata umeme wa grid ya taifa hamna mpaka sasa...hii ni kwasababu hata kuwa compasated ili nguzo za umeme zije hawataki...utafikiri umeme ni wa mgodi peke.
Good day
Masatu,
Taarifa zako sijui source yake nini? Hali tete leo? Mbona Wangwe, ndani ya Bunge amepiga kelele siku nyingi na Polisi wengi kiasi hicho hawajapelekwa hata siku mmoja? Tunafuatilia kwa karibu nini kinaendelea. Maadili ya uchaguzi yasipofuatwa process ya demokrasia inakuwa derailed. Nadhani uwepo wa excessive presence of the state organs athari yake inajulikana. Hasa pale visingizio mbalimbali vinapoanza kutumika kama ilivyotaka kufanyika juzi kuanza kukamata vijana wenye pikipiki, Tarime mjini. Hata hapo kuna mapigano? Pikipiki ni silaha za mapambano? Au kuna lililojificha?