Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 356
Kitu nachoona kwa mkoa wa mara au sehemu pekee ya mara maeneo ya Nyamongo,tarime,kemakorere,ngenkuru,nyamwaga,nyekunguru etc.
Ni watu wa hapa kukubali kuchanganyikana ili kutengeneza kizazi kipya...kuchanganya ile damu na zingine za maeneo mengine...kwa mfano....waje wasukuma,wahaya,wachaga,wazaramo na wengine waoane na watu wa maeneo haya,kwenye shule kuwa na wakina Rwechungura,Said,massawe,Mwakyembe,buyamba.Shija,Fatuma...itapunguza sana baada ya muda mrefu hii hali iliyo jengeka maeneo haya.Na sio unakuta majina yale yale Kibacho,Marwa,Ghati,Bhoke,chacha,mwita....
Kwenye hii ni njia moja kati ya nyingine nyingi zinazo weza fanikiwa....si busara wa sifa kila wakati wao ni kupigana na askari....ona sasa tunaongelea siasa lakini huwezi kuongelea hilo bila kuweka swala la mapigano...kwa maeneo haya....wakati mwingine tunaweza kuwa tunailaumu serikali lakini wana sababu zao za kuleta askari hata kama utaenda kwa amani bila watu kupigana,ila hawatabiriki hawa hata wakati wa kampeni.
Lolote linaweza tokea..baada,kabla,au wakati wa uchanguzi...na jana walikuwa wanatoa kiapo askari kufanya kazi yao kwa ufanisi....hii sio nzuri na si sifa ya kujivunia kuwa kupigana ni sifa...ilikuwa zamani..hii..kwa sasa haina nafasi kabisa...
Na kwa mtizamo wangu..navyoona CCM watashinda ukiongea na watu wa hapa chama cha upinzani ni CCM na ndio wanataka kishinde kama nimeelewa...yaani kwa kuwa chama tawara tarime ni chadema ambao wanataka kubakisha utawala ndani yao kwa hiyo CCM ndio upinzani kwa sasa.Huyu waliye mteu kwa sasa chama cha upinzani (CCM).
Anakubalika kwa asilimia 60 labda ibadilike siku chache kabla ya uchaguzi...
Good day
Ni watu wa hapa kukubali kuchanganyikana ili kutengeneza kizazi kipya...kuchanganya ile damu na zingine za maeneo mengine...kwa mfano....waje wasukuma,wahaya,wachaga,wazaramo na wengine waoane na watu wa maeneo haya,kwenye shule kuwa na wakina Rwechungura,Said,massawe,Mwakyembe,buyamba.Shija,Fatuma...itapunguza sana baada ya muda mrefu hii hali iliyo jengeka maeneo haya.Na sio unakuta majina yale yale Kibacho,Marwa,Ghati,Bhoke,chacha,mwita....
Kwenye hii ni njia moja kati ya nyingine nyingi zinazo weza fanikiwa....si busara wa sifa kila wakati wao ni kupigana na askari....ona sasa tunaongelea siasa lakini huwezi kuongelea hilo bila kuweka swala la mapigano...kwa maeneo haya....wakati mwingine tunaweza kuwa tunailaumu serikali lakini wana sababu zao za kuleta askari hata kama utaenda kwa amani bila watu kupigana,ila hawatabiriki hawa hata wakati wa kampeni.
Lolote linaweza tokea..baada,kabla,au wakati wa uchanguzi...na jana walikuwa wanatoa kiapo askari kufanya kazi yao kwa ufanisi....hii sio nzuri na si sifa ya kujivunia kuwa kupigana ni sifa...ilikuwa zamani..hii..kwa sasa haina nafasi kabisa...
Na kwa mtizamo wangu..navyoona CCM watashinda ukiongea na watu wa hapa chama cha upinzani ni CCM na ndio wanataka kishinde kama nimeelewa...yaani kwa kuwa chama tawara tarime ni chadema ambao wanataka kubakisha utawala ndani yao kwa hiyo CCM ndio upinzani kwa sasa.Huyu waliye mteu kwa sasa chama cha upinzani (CCM).
Anakubalika kwa asilimia 60 labda ibadilike siku chache kabla ya uchaguzi...
Good day