Magabe Kibiti
JF-Expert Member
- Jan 20, 2008
- 292
- 2
Magabe,
Achana na hizo sababu za kitoto za oo juzi ilikuwa hivi na mwaka jana ilikuwa vile. Humu kila kitu kinajadiliwa iwe ni muhogo, sidiria, Mtikila, Tarime n.k., n.k. Kama yamekushinda usisingizie hoja nyingine. Kila posting na hoja zake na hujibiwa kama sio upupu.
Hapa unachotakiwa ni very simple, tufahamishe data za hiyo sumu uliyoilalamikia kwenye postings zako kibao kwa kiasi tu unachoweza. Sasa kama huna data, basi ueleze umma wa JF kuwa ulikuwa unababaisha na hatutaka tukusikie tena na hiyo sababu ya sumu ya migodini.
sidiria na muhogo tena on top of utoto? haya ndiyo nimekwambia kuwa baada ya kusoma postings zako zote (nimesoma zote) nimegundua wewe ni wa aina gani kutokana na maandishi yako mkuu. Yaani hukawii kufikia kwenye sidiria na mihogo na ndio maana ninatoa muda kujua undani wa swali lako - naona maandishi yako yameanza kutoa jibu tartibu.
Kwa kuanzia tu mkuu, Anza na kitu inaitwa cyanide ambayo inatumiwa sana na wachimba madini Tarime (na probably kwenye migodi yote ya dhahabu Tanzania).