Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mleta habari kutupasha kwa mbwembwe kuwa Mtikila yamemkuta hayo baada ya kuhutubia kuwa Mbowe na Chadema ndio waliomuua Wangwe. Hapo by implication hao watakuwa ni mashabiki wa Chadema,,,
Mwakaleli,
Inabidi Mtikila ajivue hata uchungaji awe full swing politician, yuko nusu nusu kama vile anaotea upepo hivi.
Mwakaleli,
Inabidi Mtikila ajivue hata uchungaji awe full swing politician, yuko nusu nusu kama vile anaotea upepo hivi.
Yule mchungaji matata anayeitwa Mtikila, hivi pundwe amepelekwa hospitali kulazwa na kushonwa nyuzi baada ya kupigwa mawe na wananchi wenye hasira. Mtikila alipata dhahama hiyo baada ya kuhutubia kuwa Mbowe na CHADEMA yake ndio waliomuua Chacha Wangwe.
.......ndiyohiyo
teh teh teh
Na EPA nayo waachiwe akina wazee wa kuzuia rushwa,polisi na mahakam,ama unasema je?? kwi kwi kwi
Hapa nataka kusema hivi mtu yeyote anayeona kumechezwa ndivyo sivyo ana haki ya kusema lolote na yule anayeona hakutendewa haki anachukua mkondo wa sheria.
Sasa kama sheria yenyewe ndio ya mkononi si balaa hili.
Kumbe siku CHADEMA watakapo chukua nchi na MBOWE tukamwita majina mengi mfano FISADI,MHUNI,kumbe tutapigwa MAWE.kazi kweli kweli
NA yule kaka wa MAREHEMU kwenye ufunguzi wa kampeni mbona yeye hawajampa kipigo ama bado wanamuwinda??
mtikila ni mchungaji lakini ameshindwa kusoma nyakati, sasa atajifunza kusoma nyakati kwa haya yaliyotokea kwake
Mtanzania mie si mwana CCM wala CHADEMA, lakini maneno aliyoongea Mtikila na kugawa yale makaratasi yamenistua sana. Nafkiri hata wanaCCM wengi yamewastua, au mwezetu? Yale yale ya Simba Vs Yanga?
Maoni ya kipuuzi.
Mtikila inaonekana kama vile hajui anachokitaka, kwa kuwaambia kuwa viongozi wa chadema ndio wamemuuwa Wangwe hakuwasaidii chochote wananchi wa Tarime labda kama hii ishu inamsaidia yeye.
Uh?I do! He should stop poking his nose in other people's businesses.
Kama hii ni sahihi (proof?) basi kazi ipo... Si ndogo!Amepewa contract ya kuwachafua Mengi, Mbowe na Slaa.
Mkuu Mtikila anafaidika kutokana na fedha aliyopewa na hao mabwana zake... Amepewa contract ya kuwachafua Mengi, Mbowe na Slaa.