Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
Na waharifu hao hawana uhusiano wowote na CCM, eh?
Jasusi, uchokozi huo...wenye chama chao watakushukia kama mwewe kwa kifaranga....hawapendi kusikia hivyo..teh teh teh teh
Ushi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na waharifu hao hawana uhusiano wowote na CCM, eh?
Mimi nashuhudia haya kwa kuwa niko Tarime na hata huko kwenye kata zinazo semwa ni uongo mtu ila Serikali imeamua kufanya uharamia juu ya wana Tarime .Chuki zilionyeshwa tangia zamani na Lowasa na sasa kila CCM nzima inaonyesha jinsi gani walivyo wastaarabu.
tafadhali kama uko jirani fika hapa opposite na Bank ya CRDB kuna vijana na wakina mama wanajitafutia maisha yao hapa wasikie kilio chao.Wanadiriki kusema Tarime ni Iraq maisha ya mtu hayathaminiwi bali kura tu .
Kamalizie zile nyepesi zako na TabweMimi nashuhudia haya kwa kuwa niko Tarime na hata huko kwenye kata zinazo semwa ni uongo mtu ila Serikali imeamua kufanya uharamia juu ya wana Tarime .
Mimi nashuhudia haya kwa kuwa niko Tarime na hata huko kwenye kata zinazo semwa ni uongo mtu ila Serikali imeamua kufanya uharamia juu ya wana Tarime .Chuki zilionyeshwa tangia zamani na Lowasa na sasa kila CCM nzima inaonyesha jinsi gani walivyo wastaarabu.
tafadhali kama uko jirani fika hapa opposite na Bank ya CRDB kuna vijana na wakina mama wanajitafutia maisha yao hapa wasikie kilio chao.Wanadiriki kusema Tarime ni Iraq maisha ya mtu hayathaminiwi bali kura tu .
Ombi: Hii ni independent thread hivyo ningeomba moderator (Invisible) aiache ijitegemee. In other words, P'se don't move it. I kindly request so.
Now, the thing that bother me the most, I suppose, is that the journalistic excellence in Tanzania is almost zero or close to nothing. It's not only unprofessional, it's ridiculously insane, too. And I hate it. I can't stand it.
The thing is: yes, kuna historia ya vita vya kikabila na koo wilayani Tarime since the era of Alexander the Great, but it really angers me kuona jinsi waandishi uchwara na wajingawajinga wa CCM [Msekwa, especially]wanavyotaka/jaribu ku-exploit hii issue kwa manufaa yao wenyewe. Manufaa ya kushinda uchaguzi mdogo wa uchaguzi huko Tarime.
Vita vya kabila na koo vimekuwa vikiendelea huko Tarime kwa muda mrefu sana! Je, ni kwanini hao wanaojidai ku-adress hili issue hivi sasa walikuwa kimya muda wote huo? Why now? Why are they playing politics na maisha ya wananchi wa Tarime? Why?
Coz kumekuwa na habari za kipumbavu sana lately kwenye vyombo mbalimbali vya habari ambazo lengo kuu ni kuipaka Tarime matope Kwasababu tu Tarime imeikataa CCM.
Mfano, akizungumza na Alasiri, Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bw. Pius Msekwa, alikariiwa jana akisema, "Kampeni zinaendelea vizuri, lakini huku kuna mapigano ya kikabila, hivyo ulinzi mkali unahitajika, maana unaweza ukawa katika kata hii, ukasikia katika kata nyingine yamezuka mapigano."
Lakini ukweli ni kwamba: Hivi sasa hakuna mapigano ya kikabila huko Tarime. In fact, CCM ndiyo inayotumia vitisho na nguvu kunyamazisha wale wasiokubaliana na sera zake huko Tarime. And I'm not confused about this. P'se follow me closely:
Gazeti la Alasiri, 2008-09-29 15:59:09: Watu wanne walikamatwa jana katika kijiji cha Nyamongo, kutokana na kuwazomea viongozi wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, waliokuwa wakifanya mkutano wa kampeni kijijini hapo.
Think of it, Queen mwenyewe anazomewa!
Let me tell you something here: This whole thing of "Tarime Ngoma nzito," "Tarime hakukaliki," " Risasi zavuma Tarime," you always read/hear in the media is just a lie. Lie, Lie, lie.
Thanks.
Poti,
Mbona una hasira sana leo? Watu wa Tarime wamekukosea/kunyima nini mpaka uwe na big time interest na kugombana na wachangiaji hapa?
Ongea hoja zako zieleweke maana hii inachanganya kujua unasimama wapi kwenye issues hapa.
Hapana poti.
Mimi mara nyingi hua tunabishana tu hata kama unaona hazimeki sense huna haja ya kuanza kutukana watu.
Poti wewe tumetofautiana sana bila mgogororo wowote ILA kuna watu hapa hoja zao mpaka waanze kuita watu majina na kutukana .Angalia nani kaanza na mara nyingi ndio tabia zao.
Kama huyu LUnyungu anadaganya mke wa mtu kua yeye ni koshula ,Harafu anakuja kuzomea viongozi wengine nimemuheshimu siku nyingi lakini naona yeye hawezi kujiheshimu Na Asirudi moshi.
Watu wa tarime wanikosee mimi nini poti .Ninachopingana hapa Watu wengine wapondwe mawe na kumwagiwa pilipili waseme midomo ndio imewaponza ,wakipigwa wao waseme kampeni chafu .HUU uhuni Poti.
Mtu akikukosea mpeleke ktk vyombo husika na ukamua kumpiga watu wanaofuata sheria lazima wakulaumu wewe LAkini wakiamua kushangilia na wao siku yakiwakuta wengine wana haki ya kushangilia pia.
Lunyungu.
wewe kaa chini na wala usiseme kitu. kuendelea kubisha utasababisha aibu bure
Na waharifu hao hawana uhusiano wowote na CCM, eh?
Gustanza,
Kama vile walivyoaibika wakati wa msiba wa Wangwe, watazidi tu kuaibika wale wote wanaoleta uchafuzi na habari za majungu kwa misingi ya kisiasa na ufisadi.
Wana Tarime wako makini na hawachukulii mambo juu juu kama mafisadi wote wanavyodhani. Makamba anaambia watu kuwa ccm ndiyo inapesa za kuleta maendeleo jimboni at the same time Msekwa na wengine wakisema kuwa JK amewatuma kuangalia kama kuna machafuko Tarime ili JK achukue hatua za kijeshi - kama ccm wanafikia mambo this low, basi kuna kazi kweli tuendako.
Nashauri jikite kwenye hoja badala ya kuanza mambo ya ya ajabu ndiyo ushauri wangu .
Usirudie tena kuita watu majina ya ajabu ajabu,Na ujenge hoja na ukiona hoja za wenzako ni makapu basi uzichalenji kwa hoja zako makini,kua makini
Sasa hii hapa mnaripoti habari za Tarime au mnacreate credibility ya habari kwa kuwa mko Tarime na mna ndugu Tarime??? bado sijawaelewa hapa!
Respect kwenu wakuu,
Leo hii tunalilia kuburuzwa na Kenya kiuchumi lakini sisi bado tunafumbia macho huu upuuzi,leo hii Waziri wa nishati na madini yupo Tarime kwenye kampeni kushirikia na wezi wa raslimnali zetu ili kumchagua mfisadi mwingine wa kuruhisisha unyonyaji wao ktk hilo jimbo.Ngeleja ameacha majukumu yake ya kututatulia mataizo ya umeme ambao ni kiungo kikubwa katika ukuaji wa uchumi wetu ili tusiburuzwe tena na kenya,badala yakeanaenda kufanya kazi za chama,hapa inabidi akirudi Dar Es salaam awajibishwe moja na ninatoa wito kwa wananchi wa Tarime waanze kumuwajibisha kwani sasa huko huyo ndiyo kiini cha matatizo yenu.
Siasa za hujuma hazina tija,Nguvu ya umma ifanye kazi dhidi ya serikali au dola iliyoshindwa .
Salute kwa wanatarime,Revolution Forever!
Lunyugu
nilikua naona wewe sijui unalaumu viongozi kwa sababu zipi?na wewe tunafahamu zako natunakufahamu vizuri sana
Unafahamu wewe ulitaka kuvunja ndoa ya watu na bahati yako siku hizi hutokei moshi
ulitaka kuvunja ndoa ya watu kwa kufanya mavituz na mke wa watu pale Arusha.
Bado unabisha !!!kwa kushambulia watu wengine vinara lakini ninyi ndio walewale na ndio maana nasema CHADEMA ni kama CCM wala sio chama mbadala wala nini MAFISADI tu wote.
mkuu hii sasa mpya lakini si ungemfaata private na kisha uka sms....
Au anzisha thread ingine ya kumchambua Lunyungu.