denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Fomu inasema andika jina lako, halafu kujaza hapo mpaka akaulizwe Mdee.!!Wala siyo degree bali inahitaji uzoefu. Angeenda hata kumuuliza Halima Mdee angemsaidia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fomu inasema andika jina lako, halafu kujaza hapo mpaka akaulizwe Mdee.!!Wala siyo degree bali inahitaji uzoefu. Angeenda hata kumuuliza Halima Mdee angemsaidia.
Wewe subiri utakuja hapa kumuombea msamaha wakati huo yupo the Hague.huyo robert wenu ni shoga tu kama lissu wala hatumuogopi yeye ni nani hapa nchini kwetu?
Wale CCM wengi wazoefu. Na wageni lazima walisaidiwa. Kwani umeona mbunge mzoefu CHADEMA kaenguliwa ?Kuna mbunge hata mmoja wa ccm alie enguliwa?
Mnyika atakuwa anaijutia sana ile kauli yakeNani analipiza kisasi ?Tatizo walichukua form kabla hata ya wana CCM huo muda walitakiwa watumie kuwasumbua wakurugenzi kuhakiki form kama kila kitu kipo OK.Yaani safari hii Tume wapo macho kosa dogo tu linakuengua. Enzi za JK waliyemwita dhaifu zilishapita.
Chadema hakuna wazoefu?Wale CCM wengi wazoefu. Na wageni lazima walisaidiwa. Kwani umeona mbunge mzoefu CHADEMA kaenguliwa ?
Siyo kila ujinga umtetee Msukuma mwenzio. Subiri tuanze maandamano Nchi nzima ndio utajua huyo huyo msukuma mwenzio ameiingiza Nchi pabaya. Nitaandamana mwanzo mwisho hadi wagombea wote warudishwe na NEC Iundwe upya.Naamini kaenguliwa kwa mijibu wa sheria za uchaguzi za Nchi ,sheria hii nadhani imekuwepo tangu 1985, pia Lisu kaitumia kumwekea pingamizi Komrade JPM na wagombea wengine. Hapa JPM anahusikaje?!
Kuna vipengele vinachanganya hapo kama mpya ukijifanya much know ndo inakula kwako. Kwani kuna ubaya gani kuuliza kwa wazoefu wakusaidie kujaza form ?Fomu inasema andika jina lako, halafu kujaza hapo mpaka akaulizwe Mdee.!!
Tena ukishajua wewe ni chama cha upinzani ,umakini unatakiwa uwe mkubwa sana tena sana. CCM itakuwa kila jimbo kuna mtu anaelekeza jinsi ya kujaza kwa wale wenye ugumu kwenye kujaza form.
To be honest.Chadema hawako well organised.
Hakuna atakaeandamana. Ukiandamana naomba unitag nione picha/video za maandamano.Siyo kila ujinga umtetee Msukuma mwenzio. Subiri tuanze maandamano Nchi nzima ndio utajua huyo huyo msukuma mwenzio ameiingiza Nchi pabaya. Nitaandamana mwanzo mwisho hadi wagombea wote warudishwe na NEC Iundwe upya.
Duh mama watoto wangu leo umeamua kufunga mtaa wa JF kwakupotosha nitajia wangombea wa ccm walikosea kujaza form nakuengeliwa au ccm wanasoma chuo gani tupeleke watoto wetu wapate PHD za kujaza form vizuri bila kukosea .Nani analipiza kisasi ?Tatizo walichukua form kabla hata ya wana CCM huo muda walitakiwa watumie kuwasumbua wakurugenzi kuhakiki form kama kila kitu kipo OK.Yaani safari hii Tume wapo macho kosa dogo tu linakuengua. Enzi za JK waliyemwita dhaifu zilishapita.
B.Jacob siyo mzoefu!!,Acha kujitekenya bibieWale CCM wengi wazoefu. Na wageni lazima walisaidiwa. Kwani umeona mbunge mzoefu CHADEMA kaenguliwa ?
Sasa wewe unarudishaje form bila kupiga photocopy ya form uliyorudisha ?Unawaambia tu wakuonyeshe form unalinganisha na copy yako.Hakuna umakini si wanaongeza maneno tu kwenye fomu ndo unaenguliwa Kwani kuna ugumu gani kuaongeza maandishi kwenye fomu ili ionekane imekosewa
Wale CCM wengi wazoefu. Na wageni lazima walisaidiwa. Kwani umeona mbunge mzoefu CHADEMA kaenguliwa ?
Sasa sijaelewa, kwa hiyo fomu wanakosea kujaza hawa opposition tuu??Sema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?
Tulia wewe. CCM wengi wazoefu. Na wapya lazima waliuliza wenzao mahali ambapo walikuwa hawaelewi. Haya Baba watoto nikuulize kitu kwani kuna Mbunge yeyote mzoefu yaani anaengombea kipindi cha pili/tatu kaenguliwa ?Duh mama watoto wangu leo umeamua kufunga mtaa wa JF kwakupotosha nitajia wangombea wa ccm walikosea kujaza form nakuengeliwa au ccm wanasoma chuo gani tupeleke watoto wetu wapate PHD za kujaza form vizuri bila kukosea .
Tena siyo opposition tu,malizia wapya wa opposition.Umeona mzoefu Mbunge wa opposition kaenguliwa kisa kakosea kujaza form ?Sasa sijaelewa, kwa hiyo fomu wanakosea kujaza hawa opposition tuu??
Sidhani.Kuna mbunge hata mmoja wa ccm alie enguliwa?