Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huna ruti za Posta na kariakoo na kutokea Ally Hassan Mwinyi road huwezi elewa tabu ya Barabara hiyo hasa maeneo makutano ya Kinondoni road Kenyatta drive na Ally Hassan Mwinyi .Kingine tambua tu kuwa Washikilia uchumi wa hii nchi Barabara yao kui Ally Hassan Mwinyi Hivyo itakuwa msaada kuharakisha maendeleo ya Nchi Maana new salenda bridge ni muhimu Sana maana huwa wanakwama mpaka masaa mawili kufika Posta.Hilo ndio swali langu kwani ninachokiona ni kupunguza kwa foleni katika eneo la mataa pale Ubungo ila mita chache kutoka hapo unakuta na foleni.
Kwa mfano, ukitoka Ubungo Interchange mida ya jioni hasa kuanzia saa moja kasoro usiku mpaka saa mbili, ukifika maeneo ya Mlimani City basi ni mwendo wa foleni mpaka Mwenge. Na hapo bado foleni ya kuelekea unakoenda kutoka Mwenge mfano kwenda Bunju.
Swali la msingi ni je, madaraja haya pekee ndio yataweza kumaliza hili tatizo?
Au tujiulize, kipi kinapaswa kuanza kati ya kujenga madaraja ya mabilioni na kupanua barabara zikiwemo highway na barabara zingine zinazounganisha maeneo mbalimbali ya Jiji?
Mfano, billion zaidi ya 200 zinazojenga daraja linalopita baharini zingetumika kuboresha/kujenga/ kupanua barabara zingine zinazounganisha maeneo mbalimbali ya jiji zisingekuwa na msaada zaidi katika kupunguza tatizo la foleni katika jiji hili?
Je, umefika wakati tuweke restrictions za magari binafsi kuingia katika ya Jiji kwa kuweka tozo maalumu za kuingia katikati ya Jiji?
Na bila kuboresha public transport, itakuwa sahihi kuweka restrictions kwa magari binafsi kuingia katika ya Jiji?
Asante sana ni kuwa anachosema ni kweli hata barabara ya morogoro ukivuka tanesco ni foleni hadi kimara korogwe na sio hapo tuu hata ukitoka tazara ya buguruni ukija mandela road kuanzia buguruni kuitafuta extenal ni mziki au ukimaliza flyover ya ubongo unaenda bugùruni ukifika external kuitafuta tabata nayo ni shida.Kwako wa wa stendi
Interchange inapaswa kwenda sambamba na upanuzi wa barabara angalau kila upande kuwe na njia 4.Bila hivyo itakua ni kupunguza msongamano pale kwenye interchange lkn kilometa moja au mbili kutoka pale follen inaanza km kawaida.Hilo ndio swali langu kwani ninachokiona ni kupunguza kwa foleni katika eneo la mataa pale Ubungo ila mita chache kutoka hapo unakuta na foleni.
Kwa mfano, ukitoka Ubungo Interchange mida ya jioni hasa kuanzia saa moja kasoro usiku mpaka saa mbili, ukifika maeneo ya Mlimani City basi ni mwendo wa foleni mpaka Mwenge. Na hapo bado foleni ya kuelekea unakoenda kutoka Mwenge mfano kwenda Bunju.
Swali la msingi ni je, madaraja haya pekee ndio yataweza kumaliza hili tatizo?
Au tujiulize, kipi kinapaswa kuanza kati ya kujenga madaraja ya mabilioni na kupanua barabara zikiwemo highway na barabara zingine zinazounganisha maeneo mbalimbali ya Jiji?
Mfano, billion zaidi ya 200 zinazojenga daraja linalopita baharini zingetumika kuboresha/kujenga/ kupanua barabara zingine zinazounganisha maeneo mbalimbali ya jiji zisingekuwa na msaada zaidi katika kupunguza tatizo la foleni katika jiji hili?
Je, umefika wakati tuweke restrictions za magari binafsi kuingia katika ya Jiji kwa kuweka tozo maalumu za kuingia katikati ya Jiji?
Na bila kuboresha public transport, itakuwa sahihi kuweka restrictions kwa magari binafsi kuingia katika ya Jiji?
Na nyie bila kutukamua wananchi kupitia mkono wa serikali hata kupanga mungeshindwa,nyie ni kupe.Kamanda unaonaje ukianza kuwashupalia viongozi wa chama chetu kikuu cha upingaji wanunue angalau kiwanja ili tuanze ujenzi wa ofisi ya makao makuu? Tumekuwa tukipata ruzuku ya mamilioni kila mwezi lakini bado tunapanga kale kajumba ka ufipa, hatuna hata kiwanja. Jitahidi kamanda ili tuondokane na hii aibu ya upangaji, tena vichochoroni!
Kuna aliyesema foleni inakwisha!?Foleni lazima ziwepo tu popote pale. Hata majiji makubwa popote pale hapa duniani foleni zipo haziwezi kwisha bali zinapunguzwa tu. ukitaka kusiwe na foleni kajenge barabara kijijini kwenu lakini hapa mjini lazima kuwe na foleni hilo lazima ulielewe. Makali ya foleni huwa yanapunguzwa tu.