Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Risiti za nn na siku hizi tunalipa Kwa simu?Kwani wewe hutunzi risiti zao za nyuma?
Ilala si kimya. Kwangu mwezi sasa hatujapata maji. Utaratibu wa kusambaza Maji kwa wenye visima haupo kwa wingi.Siyo Mji Mzima sema Manispaa ya Kinondoni na Ubungo Ila kule Kigamboni,Temeke hata Ilala Maji yapo Watu walijitengenezea Mfumo binafsi usiokuwa unategemea serikali kwa maana Watu walichimba visima na Wakiobahatika kupata Maji yasiyo ya Chumvi walisambaza Kama wafanyavyo Dawasa .Hivyo huwezi sikia kero ya Maji Ilala Temeke Wala Kigamboni na Kama ikitokea ni Mara chache Sana . Ebu fikiri Watu wa Mbagala walivyo Wengi vile lakini Wapo kimya au kule Gezaulole au kule Gongo la mboto. Kwa ufupi Manispaa ya Kinondoni na Ubungo ndizo hasa waathirika zaidi hivyo Ondoa neno Mji Mzima..Halafu kumbukeni Ubungo siyo Jiji la Dar es Salaam
Nadhani kuna haja ya kujua Dar ni wapi maana Dar tunayoishi sie haina maji kabisaMajuzi nimesikia wakitamka kwamba maji kwa Dar yamesambazwa ka asilimia 94%