Para chichi hiloππππChakula hiki kinaitwaje ?!
Kinapikwa na watu wa mkoa gani?
Mchanganyiko wa nini na nini?
Ukiangalia ni kama viazi vimepondwapondwa na kusongwa hivi na kuchanganywa na njegere tatizo hiyo rangi ya kijani ndio imefanya chakula kisieleweke kumechanganywa nini na nini!
Yeyote aliyewahi kusafiri kati ya Iringa mjini hadi Mafinga au Makambako; kama ulinunua mishkaki pale Tanangozi na ukala, basi ujue mbwa analiwa.Iringa moja hiyo!
Inafanana na ule uzi wa vyakula ila ule ni worldwide.. Hapa kwa asilimia 100 ni vyakula tupikavyo na tulavyo kila siku
Huku hakuna chopstick, hakuna kuku kwa mrija ama kula na mikono miwili yaani visu na umaπ
TAHADHARI: KAMA UNA NJAA NA UKO MBALI NA SEHEMU YA KULA USIFUNGUE HUU UZI
Nb: Makande pia yapoπππ
π€£π€£π€£π€£ shemuuuu! Tatizo ubahiliiii.Shem go east go west.. Halafu shem sijui ndio nimshapigwa kibuti?
Pembeni pawe na juice ya miwa sasaπ
Arikaa Mbwanyeni! Shighirija. Uyoga unalimwa sana huko mijini ila unauziwa watu wanaomilki maSupermarkets au Hoteli kubwa-kubwa. Sisi huku vijijini tunajiokotea huko maporini msimu ukifika ila Tahadhari; watoto au wasioujua hawaruhusiwi kuokota/kuchuma uyoga wa porini. Kosa kidogo tu; mwifwa.Nimeweka vile main π
Hii kitu Bado inanichanganya , ni ugali wa aina gani huu?!
Hapana. Hakitupwi kitu hapo. Unakula chote na gunzi lake.Very deliciousDay..vihindi vimebakwaπππ
Jamani makande sio chakula ni uharibifu wa nafaka hawa ndugu dhetu tuwaambie nini waelewe
Baadhi ya picha ukiziangalia kumeza mate ni lazima !.
Nyama za mombo hiziView attachment 3252372
Mbusii , aka ndafuuuu
πππHii hapa, Sangara na Dona, menu la Kanda ya ziwaπͺ
Hatari kabisa mpwa.Pembeni pawe na juice ya miwa sasaπ
Wasukuma wana menu nzito sana.!! πΉπΉJinga thana weweπ
Ukila pweza wa Kimara na wa Mbagala au Kinondoni wote pilipili yao ina ladha moja....utamu sasaππππHatari kabisa mpwa.
Sijui kuna siri gani kwenye huyu samaki pweza.
Halafu pilipili zao sijui mtengenezaji ni mmoja.
Ukila pweza wa Kimara na wa Mbagala au Kinondoni wote pilipili yao ina ladha moja....utamu sasaπ
Ila mie napenda pweza jamani.
Huku Dodoma hawana mwamko wa ulaji wa pweza.
Au kwa kuwa hakuna bahariπ€π€