ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,966
- 2,596
Ficha upumbavuwakoKwani hakieleweki ni nini hapo.
Nimemaanisha kila upande una vigeu geu. Si upinzani si chama tawala!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ficha upumbavuwakoKwani hakieleweki ni nini hapo.
Nimemaanisha kila upande una vigeu geu. Si upinzani si chama tawala!
Kibinadamu kuwa muongo na mbaguzi?Ni katika hali ya kibinadamu
Hata polepole huwapiga Panga kwenye malipo yao lakini wamevumilia kwani wakidai pesa zao wawaweza kufanyiziwa chochoteMfano sisiemu walisema wasingetumia wasanii kwenye kampeni za mwaka huu, ila cha kushangaza ndio wamebeba karibia wasanii wote na wanatembea nao
Hebu leta mfano wa chadema kama unasema wote wana vigeu geu!
Kunyolewa wapi huko? Ujue hata chato hawamtaki watamchagua LisuHaitasaidia kitu,mkae kwa kutulia mkisubiri kunyolewa kwa jembe Oct 28.
Chadema walituambia LOWASSA ni fisadi papa , baadae wakatuambia Lowassa sio fisadi ila mfumo wa ccm ndio mbovuMfano sisiemu walisema wasingetumia wasanii kwenye kampeni za mwaka huu, ila cha kushangaza ndio wamebeba karibia wasanii wote na wanatembea nao
Hebu leta mfano wa chadema kama unasema wote wana vigeu geu!
[emoji23]Interesting.... View attachment 1589869
Kama siyo mpumbavu unayekaririshwa tuambie matusi yakeRais mpenda watu, kipenzi cha Watanzania akiwa na unyenyekevu wa hali ya juu
Yule msaliti wa Nchi yeye ni matusi tu
Haya mataga sifa yao kubwa ni mapumbavuKama huzungumzii utu unazungumzia unyama au Nini.
Alipoingia CHADEMA Magufuli alimwita fisadi na kuwa amemkimbia, lakini aliporudi CCM alikaribishwa live kwenye media, kuthibitisha mfumo ndio tatizo.Chadema walituambia LOWASSA ni fisadi papa , baadae wakatuambia Lowassa sio fisadi ila mfumo wa ccm ndio mbovu
Rais mpenda watu, kipenzi cha Watanzania akiwa na unyenyekevu wa hali ya juu
Kwa hio ulitaka CHADEMA ndio wafanye uchunguzi wakisha baini wapeleke mahakamani, sio..!?Chadema walituambia LOWASSA ni fisadi papa , baadae wakatuambia Lowassa sio fisadi ila mfumo wa ccm ndio mbovu
Ndio maana nikasema wote ni vigeu geu.Jibu hoja kwanza ya wasanii
Lowassa alivyoenda CHADEMA Meko alisema fisadi Kanikimbia, alivyorudi CCM kakaribishwa live na media, au ulikuwa umelala
Yeah,Kibinadamu kuwa muongo na mbaguzi?
Na wewe uficheFicha upumbavuwako