Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vichwani tumejaa uzalendoKwa hio ulitaka chadema ndio wafanye uchunguzi wakisha baini wapeleke mahakamani, sio..!?
Hivi vichwani mwenu kuna nini!?
Basi nchi hii hakuna fisadiAlipoingia CHADEMA Magufuli alimwita fisadi na kuwa amemkimbia, lakini aliporudi CCM alikaribishwa live kwenye media, kuthibitisha mfumo ndio tatizo.
Uwanja mkubwa wa ndege kujengwa kijijini kwa Rais, na tenda kupewa mume mwenza ni dalili za ufisadi wa kitaasisi
Kuna video clip pia ukitaka ya lema akimsema lowasa kabla hajasimama tena jukwaani 2015 na kumuombea kura za urais.Make your point clear. Kama hauna cha kusema, ni busara kusoma na kupita kimya.
Mgombea wetu wa CCM akiwa Zanzibar anawaeleza Wazanzibar kuwa wasiondoke uwanjani hapo maana akimaliza hotuba bado Kuna show kabambe kutoka kwa wasanii na watamuona nae akicheza.... Wazenji nao viburi wakaondoka wakati anazungumza. Aisee!Kuna video clip pia ukitaka ya lema akimsema lowasa kabla hajasimama tena jukwaani 2015 na kumuombea kura za urais.View attachment 1590458
Hakuna watu vigeu geu na wenye njaa kama chadema..... Kura kwa jpm tu anatosha
watu wanataka kusikia utaboresha vipi maisha yaoKwa nini Lissu na wapinzani wengine wasitumie clip za Magufuli/Polepole nk pia kwenye majukwaa ya kampeni kuonyesha wasivyojali,
MfanoMbona vigeu geu wako kote!
Sio dalili za kuishiwa sera Bali ni kuweka wazi tabia ya viongozi ambao ni waropokaji na wasio simamia kauli zao Kama Magu.watu wanataka kusikia utaboresha vipi maisha yao
kuweka clips ni dalili ya kuishiwa sera
watu wanataka kusikia utaboresha vipi maisha yao
kuweka clips ni dalili ya kuishiwa sera
ukishasema rambi rambi imeliwa halafu mwenzako anaonesha bonge la shule lipo kama university kwamba limekarabatiwa kwa michango ya rambi rambi,mpiga kura gani atakusikiliza?Lazima mabaya yenu yasemwe. Hamwezi kula rambirambi halafu mnategemea watu wasiseme. Sera zinasemwa na udikteta wa Magufuli pia. Watu wenywe ndio sisi. Ama wewe unafikiri watu ni wapi?
ukishasema rambi rambi imeliwa halafu mwenzako anaonesha bonge la shule lipo kama university kwamba limekarabatiwa kwa michango ya rambi rambi,mpiga kura gani atakusikiliza?
acheni siasa nyepesi nyepesi chadema
CCM nao watakuja na clip za Lissu na wenzake wakimtukana Nyerere na Watanzania wengine..