Ubuyu wa Diamond, Ruge na Kusaga

Hii story ya Mange ina ukweli fulani, wengine toka zamani tulishasikia Ruge ni mbabe kwenye Entertainment business hapa mjini, na ndio brains behind Clouds, na Kusaga alishasikia complaints za Ruge, kwamba anataka shares kwenye Clouds, Kusaga siku zote amekuwa mbishi kugawana na Ruge, Kusaga kachoka na hizo complaints, naona anataka kuendelea kuwa mwenye shares kubwa na CEO wa mambo yote anayoyaanzisha, Ruge na Kusaga kibiashara lazima yaishe, kila mtu kivyake..
Clouds kuwa na madeni hiyo nayo twaijuwa, sana tu, na kwa sasa hakuna ujanja, lazima iende Bankrupt tu, story za Mange nyingi zina ukweli..
Ila yoyote mwenye hela TZ akitaka kuanzisha Entertainment business, tunakushauri uonane na Ruge, Ruge hana mfano TZ kwenye swala hili, haongei sana, akili sana kwenye hii biashara, hana makeke, a silent killer kwenye mambo yake, he is a genius kwenye fani yake..
Ni maisha, wamalizane salama tu..
 
Mawazo yako mkuu, nimeandika kawaida kabisa... kwamba Da Mange kasema Dai anamiliki asilimia 20. Sasa huo mtindo unaosema ni wa kike uko wapi?
Kumbe Da Mange kasema? Aisee Da Mange bana akisema anasema.
 
sasa mange na UEFA na Arsenal na raisi wetu na sallam na udikteta vina uhusiano gani?mbona kama umepanic brother, relax kisha shusha nondo
 
Kwa hyo kusaga na ruge wana bifu.ILA WAO WENYEWE HAWAJUI ANAKUJA KUJUA MANGE?kusaga aache clouds akaanzishe wcb radio?
Hapa pagumu kidogo KUAMINI.
Ufikiri wa akili namna hii haufai kwenye umbea...umbea unataka we umuamini tu wholeheartdly anaekupa umbea bila kuhoji wala ku judge.... Usitumie akili kubwa ku encrypt codes za umbea mkuu,ni matumizi mabaya ya rasilimali
 
Kuna KIKI nyingi sana kina ndugu tuzifikirie kuhusu Diamond, hasa kuhusu nyumba SA, Karanga, Perfume, Majumba, n.k. n.k.
Zote hizo ni KIKI tu, kumbukeni tu ya TRA, walivyoenda pale, walipata aibu, hela waliofikiria huyu Diamond anayo kumbe siyo! Tuwe makini sana na KIKI za mtaani...
Mange is right again, Diamond hana hela kiasi hicho..
 
Huyu Mange si ndio alisema Ivan ame fake kifo .....hivi anafanya kazi gani huko kwa Trump.?
She's sick........matatizo makubwa ya akili na sonona yanayotokana na roho mbaya.yeye kila aliefanikiwa laima awe mshikaji wake na asipokua atamtafuta amtusi humu...
nb:yeye simshangai sana........nawashangaa sanan wanaomuamini na kumshabikia mitandaoni, yaani wengine huwa wanaonekana wana akili kabisa
 
Niliwahi kumpasha ukweli Mange akaniblock! Mange is a coward, ni mwepesi kuliko unyoya.
Hana kifua cha kuhimili hoja nzito. Ni vile tu kajificha nyuma ya keyboard na kwenye nchi za watu.
Kweli?
Mbona sote tumejificha nyuma ya keyboard? Si hata wewe umejificha nyuma ya keyboard?

Anyways, hapo nilikuwa naweka mambo sawa tu. Ila kwa suala la kuwa na kifua au mgongo, siwezi kuchangia maana siijui hiyo vita yenu.
 
Kweli kabisaa
 
Hapo kwny collabo collection kapuyanga huyo Mange kamjua leo Sallam hajui huyu jamaa ndo alikuwa nyuma ya mafanikoo ya Mr Nice, mbona hata Ommy ashalalamika kuwa Sallam ndo alimnyima collabo ya Davido akampa Diamond, Sallam ana connection sana ndo alikuwa anawaletea wasanii clouds mda wa Fiesta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…