Uchache wa Waombaji Kazi kwa Post za Assistant lecturers

Uchache wa Waombaji Kazi kwa Post za Assistant lecturers

Ina maana hakuna wenye sifa au shida i wapi?
Nafasi zinakuwa re-advertized kwa sababu mbalimbali.

Huenda wasailiwa walifeli,

Au watu wenye vigezo ni wachache.

Kama kufeli, mbona nafasi za TA haziwi re-advertized sana kama Assistant lecturers au Lecturers? Ina maana assistant lecturers/lecturers wanafeli sana kuliko TAs?

Kwa mtazamo wangu, kwa nafasi za Assistant lecturers au l
Lecturers waombaji ni wachache. Kwasababu sio kila mwenye masters au PhD ana ufaulu unaotakiwa.

Pia unakuta mtu ana GPA mzuri, kasoma hadi PhD lakini yupo taasisi ina mshahara mzuri, so sio rahisi kuacha kazi hapo na kuja kuhangaika na wanafunzi.

Sio rahisi mtu asome hadi PhD alaf awe hana kazi, lakini utaona eti taasisi inatangaza nafasi za lecturers sita nakuendelea, sio rahisi kupata hao watu..
 
Nasafi zinakuwa re-advertized Kwa sababu mbalimbali.

Huenda wasailiwa walifeli,
Au watu wenye vigezo ni wachache.

Kama kufeli, mbona nafasi za TA haziwi re-advertized sana kama Assistant lecturers au lecturers? Ina maana assistant lecturers/lecturers wanafeli sana kuliko TAs.

Kwa mtazamo wangu, Kwa nafasi za Assistant lecturers au lecturers waombaji ni wachache. Tena sio kila mwenye masters au PhD ana ufaulu unaotakiwa.

Pia unakuta mtu ana GPA mzuri, kasoma Hadi PhD lakini yupo taasisi ina mshahara mzuri, so sio rahisi kuacha kazi hapo kuja kihangaika na wanafunzi.

Sio rahisi mtu asome Hadi PhD alaf awe hana kazi, lakini utaona eti taasisi inatangaza nafasi za lecturers sita nakuendelea, sio rahisi kupata hao watu..
Maelezo mazuri kabisa...kwahiyo jambo kubwa ni kukosa wenye sifa zinazohitajika.
 
Na vyuo vingi tu wamereadvertize nafasi kibao tu, acha tuone baada ya kureadvertize Kam watapata waombaji
Ok
Na vyuo vingi tu wamereadvertize nafasi kibao tu, acha tuone baada ya kureadvertize Kam watapata waombaji
Kuna baadhi ya vyuo na post hazipatikana watu.. Sasa ndo watajua hawajui mwaka huu
 
Ok
Kuna baadhi ya vyuo na post hazipatikana watu.. Sasa ndo watajua hawajui mwaka huu
Nadhani Kuna Sheria inayowaongoza kama wanaohitajika hawakupatikana wafanye nini.

Huwenda sheria yao ikawataka wareadvertize mara kadhaa alafu baadae ndio wanaweza waka-switch na wakarecruit TAs
 
Naombeni matangazo hayo ya assistant lecturer waliyo readvertise niombe na mimi.
 
Back
Top Bottom