Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
- Thread starter
- #121
Aseee anipe hata kazi ya kufagia ofisi😂😂Meneja wa Makampuni (Tena ya gesi).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aseee anipe hata kazi ya kufagia ofisi😂😂Meneja wa Makampuni (Tena ya gesi).
Mzee wakupe tu scholarship bila wao kubenefit chochote ,sema naonaga udom wanatoa lakini sio kwa economicsWadau Hivi hakuna mtu anayefahamu vyuo/mahala wanapotoa scholarships za masters iwe ndani au nje ya nchi kwa upande wa accounting, economics or finance related degrees?
What about finance related degrees na account related degrees ? UDOM hawatoi hizo ?Mzee wakupe tu scholarship bila wao kubenefit chochote ,sema naonaga udom wanatoa lakini sio kwa economics
Duh! Ulisomea nini?Wengi wanapata zaidi ya hiyo, hata mimi nikiwa mmoja wao miaka yetu ya 2011 UDSM na baadhi ya study year mates na hatukuwahi kuwaza nafasi za TA sababu kubwa ni kipindi kile taasisi na NGO's mbalimbali zilikuwa zinatufuata chuoni kabla hatujamaliza. Kwasasa sijui kama hii kitu bado ipo
sijafatilia sana hizo lakini wanatoaga sana za natural na earth scienceWhat about finance related degrees na account related degrees ? UDOM hawatoi hizo ?
Poa poa mkuusijafatilia sana hizo lakini wanatoaga sana za natural na earth science
Bcom in management science. Ulikuwa UDBS kipindi hiko madame?Duh! Ulisomea nini?
Mimi sio Madame.Bcom in management science. Ulikuwa UDBS kipindi hiko madame?
Oh have my APOLOGY mkuu. What was your intention to ask me such a question then?M
Mimi sio Madame.
Ajiandae PM kwake😂😂Ongea nae tu vizuri, anaweza kukupa maisha
Mfano Mzumbe walitoa internship kwa vijana zaidi ya 50 kwenye kampus zao zote lakini ilipofika swala la kuajiri, wale intern wote waliondolewa na wakaajiriwa TA wapya.Sio kila chuo kinaweza fanya mchakato wa kuajir TA labda kwa sababu ya cost ya kuwasomesha badae , lakini pia policy , objective na strategies lakini pia Kuna vyuo vinatoa internship kwa TA lakini sio kuwapa ajira kabisa.
Ipo ila kwa uchache sana, tena ikute ni NGOs ambazo hazina matatizo ya kiuchumiWengi wanapata zaidi ya hiyo, hata mimi nikiwa mmoja wao miaka yetu ya 2011 UDSM na baadhi ya study year mates na hatukuwahi kuwaza nafasi za TA sababu kubwa ni kipindi kile taasisi na NGO's mbalimbali zilikuwa zinatufuata chuoni kabla hatujamaliza. Kwasasa sijui kama hii kitu bado ipo
Uligive up mapema [emoji16][emoji16]BSc 4.1, Masters 4.21
Niliitwa Nelson Mandela ila tulikua wengi. Watu 13 walihitaji watu wa nne. Nikaamua kutulia kimya.
Inategemea.Mfano Mzumbe walitoa internship kwa vijana zaidi ya 50 kwenye kampus zao zote lakini ilipofika swala la kuajiri, wale intern wote waliondolewa na wakaajiriwa TA wapya.
Swali ni je, Mzumbe hawakuona ufanisi wa wale maTA waliokua nao kwa zaidi ya miezi 12? Hili nalo pia ni changamoto
Sent from my SM-A3050 using JamiiForums mobile app
BSc 4.1, Masters 4.21
Niliitwa Nelson Mandela ila tulikua wengi. Watu 13 walihitaji watu wa nne. Nikaamua kutulia kimya.
Ni kweli kabisa. Ila sijiskii amani kufanya hiyo kazi ya ulecturer. Amani ipo kwenye biashara zaidi na siasa.