Uchache wa Waombaji Kazi kwa Post za Assistant lecturers

Uchache wa Waombaji Kazi kwa Post za Assistant lecturers

Wadau Hivi hakuna mtu anayefahamu vyuo/mahala wanapotoa scholarships za masters iwe ndani au nje ya nchi kwa upande wa accounting, economics or finance related degrees?
 
Wadau Hivi hakuna mtu anayefahamu vyuo/mahala wanapotoa scholarships za masters iwe ndani au nje ya nchi kwa upande wa accounting, economics or finance related degrees?
Mzee wakupe tu scholarship bila wao kubenefit chochote ,sema naonaga udom wanatoa lakini sio kwa economics
 
Mzee wakupe tu scholarship bila wao kubenefit chochote ,sema naonaga udom wanatoa lakini sio kwa economics
What about finance related degrees na account related degrees ? UDOM hawatoi hizo ?
 
Wengi wanapata zaidi ya hiyo, hata mimi nikiwa mmoja wao miaka yetu ya 2011 UDSM na baadhi ya study year mates na hatukuwahi kuwaza nafasi za TA sababu kubwa ni kipindi kile taasisi na NGO's mbalimbali zilikuwa zinatufuata chuoni kabla hatujamaliza. Kwasasa sijui kama hii kitu bado ipo
Duh! Ulisomea nini?
 
Sio kila chuo kinaweza fanya mchakato wa kuajir TA labda kwa sababu ya cost ya kuwasomesha badae , lakini pia policy , objective na strategies lakini pia Kuna vyuo vinatoa internship kwa TA lakini sio kuwapa ajira kabisa.
Mfano Mzumbe walitoa internship kwa vijana zaidi ya 50 kwenye kampus zao zote lakini ilipofika swala la kuajiri, wale intern wote waliondolewa na wakaajiriwa TA wapya.
Swali ni je, Mzumbe hawakuona ufanisi wa wale maTA waliokua nao kwa zaidi ya miezi 12? Hili nalo pia ni changamoto

Sent from my SM-A3050 using JamiiForums mobile app
 
Wengi wanapata zaidi ya hiyo, hata mimi nikiwa mmoja wao miaka yetu ya 2011 UDSM na baadhi ya study year mates na hatukuwahi kuwaza nafasi za TA sababu kubwa ni kipindi kile taasisi na NGO's mbalimbali zilikuwa zinatufuata chuoni kabla hatujamaliza. Kwasasa sijui kama hii kitu bado ipo
Ipo ila kwa uchache sana, tena ikute ni NGOs ambazo hazina matatizo ya kiuchumi

Sent from my SM-A3050 using JamiiForums mobile app
 
Mfano Mzumbe walitoa internship kwa vijana zaidi ya 50 kwenye kampus zao zote lakini ilipofika swala la kuajiri, wale intern wote waliondolewa na wakaajiriwa TA wapya.
Swali ni je, Mzumbe hawakuona ufanisi wa wale maTA waliokua nao kwa zaidi ya miezi 12? Hili nalo pia ni changamoto

Sent from my SM-A3050 using JamiiForums mobile app
Inategemea.
 
Back
Top Bottom