Uchaguzi: 1995 Mkapa vs Mrema, 2005 Kikwete vs Mbowe, 2015 Magufuli vs Lowassa na 2025 Dkt. Samia vs Tundu Lissu

Uchaguzi: 1995 Mkapa vs Mrema, 2005 Kikwete vs Mbowe, 2015 Magufuli vs Lowassa na 2025 Dkt. Samia vs Tundu Lissu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Chaguzi za mwaka unaoishia na 5 tulizoea kuona CCM wakiweka Mgombea Urais Mpya na Chadema Wagombea wao walitoka kaskazini huku CUF wakiwa na Mgombea wao wa kudumu.

2025 mambo yatakuwa tofauti Kabisa Mgombea wa CCM atakuwa anatetea nafasi yake Kwa Muhula wa pili wa Kikatiba, Mgombea wa Chadema atatoka Kanda ya Kati akiwa na Makazi yake Ubelgiji na nafasi ya CUF ikiwa imechukuliwa na ACT Wazalendo ambao wanaunga mkono kusimamisha Mgombea Urais mmoja Tundu Antipas Lissu.

Tutegemee uchaguzi wenye tashwishwi na bashasha

Mlale unono 😄
 
johnthebaptist najaribu kufuatilia kampeni na uchaguzi wa US... Aisee wenzentu wapo mbali sana... Yaani mtu anapiga kura anaitumbukiza kwenye kisanduku cha posta. Akiwa na imani kabisa kuwa kura yake itafika na itahesabiwa.
Hivi Bongo wizi, utapeli na ubabaishaji ni sehemu ya maisha?
 
Chaguzi za mwaka unaoishia na 5 tulizoea kuona CCM wakiweka Mgombea Urais Mpya na Chadema Wagombea wao walitoka kaskazini huku CUF wakiwa na Mgombea wao wa kudumu

2025 mambo yatakuwa tofauti Kabisa Mgombea wa CCM atakuwa anatetea nafasi yake Kwa Muhula wa pili wa Kikatiba, Mgombea wa Chadema atatoka Kanda ya Kati akiwa na Makazi yake Ubelgiji na nafasi ya CUF ikiwa imechukuliwa na ACT Wazalendo ambao wanaunga mkono kusimamisha Mgombea Urais mmoja Tundu Antipas Lisu

Tutegemee uchaguzi wenye tashwishwi na bashasha

Mlale unono 😄

Uchaguzi wa 2005 JK vs Mbowe, Mbowe hapa hakuwa mpinzani mwenye nguvu, Mbowe was too soft, hakuwa na umaarufu wa kutosha kwa kifupi Mbowe na Chadema walikuwa wa kawaida sana sana

Upinzani mkubwa 2005 ulikuwa kati ya JK vs Prof Lipumba
Hapo ndo vumbi lilitimka
 
johnthebaptist najaribu kufuatilia kampeni na uchaguzi wa US... Aisee wenzentu wapo mbali sana... Yaani mtu anapiga kura anaitumbukiza kwenye kisanduku cha posta. Akiwa na imani kabisa kuwa kura yake itafika na itahesabiwa.
Hivi Bongo wizi, utapeli na ubabaishaji ni sehemu ya maisha?
kama daftari la srikal mtaa tu zengwe kubwa , hizo level za huko hatufiki
 
2025 Mgombea wa CCM atakuwa anatetea nafasi yake Kwa Muhula wa pili wa Kikatiba, Mgombea wa Chadema atatoka Kanda ya Kati akiwa na Makazi yake Ubelgiji na nafasi ya CUF ikiwa imechukuliwa na ACT Wazalendo ambao wanaunga mkono kusimamisha Mgombea Urais mmoja Tundu Antipas Lisu
Ki Afrika sio heshima wanaume kushindana na wanawake, ni aibu!Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Hivyo Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

p
 
Fedha ni kitendea kazi tu jombaa...CCM bila usanii dhidi ya CHADEMA hawashindi asilani..Tena URAISI ndiyo kabisaaaaaa....!!!!!

..kwa miaka mingi wagombea Uraisi wa Ccm amekuwa akifanya mikutano mingi, mikubwa, na kufika maeneo mengi, kuliko wagombea wa upinzani.

..nadhani hali hiyo inatokana na vyama vya upinzani kutokuwa na fedha za kutosha ukilinganisha na Ccm.

..jambo lingine ni kampeni za wagombea wa upinzani kutokuwa na hamasa kulinganisha na kampeni za Ccm. Hilo nalo inachangiwa na ukosefu wa fedha, na rasilimali nyingine.
 
kama daftari la srikal mtaa tu zengwe kubwa , hizo level za huko hatufiki
Waziri mwenye dhamana ya Uchaguzi anaongelea majina ya wagombea wa vyama tena wa CHADEMA..tu...?!!!Mkurugenzi anajadili CHADEMA..tu.badala ya uchaguzi...!!Upupu.
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
..kwa miaka mingi wagombea Uraisi wa Ccm amekuwa akifanya mikutano mingi, mikubwa, na kufika maeneo mengi, kuliko wagombea wa upinzani.

..nadhani hali hiyo inatokana na vyama vya upinzani kutokuwa na fedha za kutosha ukilinganisha na Ccm.

..jambo lingine ni kampeni za wagombea wa upinzani kutokuwa na hamasa kulinganisha na kampeni za Ccm. Hilo nalo inachangiwa na ukosefu wa fedha, na rasilimali nyingine.
Unaota!. ..?ZINDUKA....!?CCM wanapigika mapema mno dhidi ya CHADEMA.Tatizo ni mshindi kutangazwa kibabe wakiwepo POLI-CCM
 
Waziri mwenye dhamana ya Uchaguzi anaongelea majina ya wagombea wa vyama tena wa CHADEMA.....?!!!Mkurugenzi anajadili CHADEMA..badala ya uchaguzi...!!Upupu.
na msemo wao maarufu ' maagizo toka juu'
 
Chaguzi za mwaka unaoishia na 5 tulizoea kuona CCM wakiweka Mgombea Urais Mpya na Chadema Wagombea wao walitoka kaskazini huku CUF wakiwa na Mgombea wao wa kudumu

2025 mambo yatakuwa tofauti Kabisa Mgombea wa CCM atakuwa anatetea nafasi yake Kwa Muhula wa pili wa Kikatiba, Mgombea wa Chadema atatoka Kanda ya Kati akiwa na Makazi yake Ubelgiji na nafasi ya CUF ikiwa imechukuliwa na ACT Wazalendo ambao wanaunga mkono kusimamisha Mgombea Urais mmoja Tundu Antipas Lisu

Tutegemee uchaguzi wenye tashwishwi na bashasha

Mlale unono 😄
Amini usiamini,

Kijani na Bluu, vyama hivi vikubwa vyote vitakuwa na wagombea wapya kabisa Kwa nafasi hiyo ya juu.

Tusubiri!!
 
..Mwanamke asiye na heshima na maadili ndiye anaweza kushindana na kujibizana na wanaume. Mwanamke mwenye tabia hizo anapaswa kulaaniwa na jamii.
first come, first sarved!,wa kwanza kusema 2025 twende mwanamke ni mwanamke, mwanaume kushindana na mwanamke aibu ni kwa mwanaume, na sio mwanamke!。
p
 
jamani hakuna anayetetea nafasi yake muhula wa pili, ni pekee Magufuri kipindi chake kimehitimishwa (RIP). Hao wengine wote ni kwamba wanatafuta kuaminiwa na wananchi wawe marais wa nchi kwa kura za kupigwa
 
..kwa miaka mingi wagombea Uraisi wa Ccm amekuwa akifanya mikutano mingi, mikubwa, na kufika maeneo mengi, kuliko wagombea wa upinzani.

..nadhani hali hiyo inatokana na vyama vya upinzani kutokuwa na fedha za kutosha ukilinganisha na Ccm.

..jambo lingine ni kampeni za wagombea wa upinzani kutokuwa na hamasa kulinganisha na kampeni za Ccm. Hilo nalo inachangiwa na ukosefu wa fedha, na rasilimali nyingine.
Kuwafuata watu Magu na uwalete Kirumba-kwa Maroli?CCM mkoje??Muulize Dialo wa Star TV yuko wapi? alitumia mpaka Chopa jombaa..Ilemela_Ubunge kupitia CCM
 
Back
Top Bottom