gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Hujasikia zikilalamikiwa hizo kura za posts?!..bush aliiba kura chaguzi zote mbilijohnthebaptist najaribu kufuatilia kampeni na uchaguzi wa US... Aisee wenzentu wapo mbali sana... Yaani mtu anapiga kura anaitumbukiza kwenye kisanduku cha posta. Akiwa na imani kabisa kuwa kura yake itafika na itahesabiwa.
Hivi Bongo wizi, utapeli na ubabaishaji ni sehemu ya maisha?