Amekiri Freeman Mbowe kuwa wapo makamanda wengi waandamizi kwa sasa hawamwelewi.
Msimamo wetu ulikuwa mwema sana kabla ya hoja ya maridhiano. Kwamba bila katiba mpya hakuna uchaguzi.
Hivi kweli uchaguzi utakuwaje wa haki bila ya kuwapo katiba mpya yenye tume huru ndani yake?
Kwamba tumekubali kushindwa kuipata katiba mpya kwa njia zetu na sasa tunasubiri kuletewa mezani kwa utashi wa Mama Samia kama atakavyoona inafaa?
Thubutu!
Kwani tukikiwasha katiba mpya kipaumbele, haipatikani sasa? Kama haipatikani ya nini kwenda kwenye uchaguzi ambao hautakuwa wa haki, huru wala wenye kuaminika 2024/25? Vipi sasa tutayaona mawazo haya kuwa ni ya kipuuzi?
Makamanda, kIroho safi, tukubali kutokukubaliana:
1. Kuchezeshwa ngoma ya CCM hakuwezi kuwa na maslahi sana nasi.
2. Maridhiano kuwa siri kwa agenda na content hakuwezi kuwa na afya sana nasi.
3. Kuiondoa katiba mpya katika vipaumbele vyetu hakuwezi kuwa na mstakabali mwema sana nasi.
Shime waungwana hatujachelewa na kuteleza si kuanguka.
Aluta Continua, ushindi ni dhahiri!
Ninakazia:
Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine
Msimamo wetu ulikuwa mwema sana kabla ya hoja ya maridhiano. Kwamba bila katiba mpya hakuna uchaguzi.
Hivi kweli uchaguzi utakuwaje wa haki bila ya kuwapo katiba mpya yenye tume huru ndani yake?
Kwamba tumekubali kushindwa kuipata katiba mpya kwa njia zetu na sasa tunasubiri kuletewa mezani kwa utashi wa Mama Samia kama atakavyoona inafaa?
Thubutu!
Kwani tukikiwasha katiba mpya kipaumbele, haipatikani sasa? Kama haipatikani ya nini kwenda kwenye uchaguzi ambao hautakuwa wa haki, huru wala wenye kuaminika 2024/25? Vipi sasa tutayaona mawazo haya kuwa ni ya kipuuzi?
Makamanda, kIroho safi, tukubali kutokukubaliana:
1. Kuchezeshwa ngoma ya CCM hakuwezi kuwa na maslahi sana nasi.
2. Maridhiano kuwa siri kwa agenda na content hakuwezi kuwa na afya sana nasi.
3. Kuiondoa katiba mpya katika vipaumbele vyetu hakuwezi kuwa na mstakabali mwema sana nasi.
Shime waungwana hatujachelewa na kuteleza si kuanguka.
Aluta Continua, ushindi ni dhahiri!
Ninakazia:
Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine