Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Ruzuku mshamaliza sasa mnaanza chokochoko ndo mana JPM aliamua kuwafutilia mbali.Tulizana wewe, vijana wa hovyo subirini kugombea matunda. Wala hayako mbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ruzuku mshamaliza sasa mnaanza chokochoko ndo mana JPM aliamua kuwafutilia mbali.Tulizana wewe, vijana wa hovyo subirini kugombea matunda. Wala hayako mbali.
Ruzuku mshamaliza sasa mnaanza chokochoko ndo mana JPM aliamua kuwafutilia mbali.
The Boss " kuongelea muda kama ni kigezo cha kutoitamuka Katiba " nawe ni sawa na kuwa biased kwasabu pengine sababu ni interest zako zilizojificha ama ulizozificha. Wananchi kuhusu Katiba walishamaliza kazi kupitia Jaji Warioba, Nchi hii imekosa tu uongozi bora basi. FIKILIA KUNA UMUHIMU GANI WA KUPOTEZA PESA KUHUSU HILI LA KATIBA ILI HALI Kazi illisha ??Mara nyingi siku jibu sababu Una uwezo mdogo Sana wa kuelewa na kujibu hoja bila kuweka assumptions
Tena unajibu Kwa ghadhabu hoja ambazo sijazungumza based na assumptions...tena hata unatoka nje ya mada....inaonesha akili ndogo ulivyo nayo ndo maana unajibu Kwa ghadhabu na hasira kitu hata hujaelewa....
Wapi nimesema napinga katiba mpya?unaweza weka hapa ushahidi nikisema napinga katiba mpya??
Umeelewa hata mada ?
Mada inasema katiba mpya na uchaguzi ujao WA mwaka 2025..
Mimi points zangu zote ni kutolazimisha katiba Kwa haraka sababu ya uchaguzi wa 2025..
Nikueleweshe wewe mwenye akili ndogo...mtu akisema katiba mpya isiharakishwe kuwahi uchaguzi WA mwaka 2025 Haina maana anapungua katiba mpya .. inawezekana anataka mchakato mzuri zaidi WA mda mrefu WA kutosha ipatikane katiba nzuri Kwa wote...bila kujali itapatikana kabla ya 2025 au kabla ya 2030....
Jifunze kuelewa kabla ya kushambulia watu Kwa matusi ulifikiri ndo unaongea la maana......
Maana halisi ya demokrasia ni watu kutofautiana mawazo....sasa nyinyi ambao mnafikiri Umuhimu WA katiba ni uchaguzi WA 2025 mkiona mtu ana maoni tofauti ghafla mnamshbulia Kwa matusi only mna reveal uwezo mdogo WA kuelewa hoja na jinsi mlivyo limited kwenye maono....
I hope nimekujibu na kukuonesha ustaarabu wa kujibu hoja bila matusi
Wewe ni mwananchi unaefaidika na Uwepo wa udhaifu huu, hivyo ndyo mana huwezi kukubali hoja hii kirahisi.We jamaa kumbe uwezo wako ndo huu??aisee nitaacha kubishana na wewe...
Wewe ukiongea unawakilisha wananchi?Sisi tukiongea kitu hupendi hakitoki Kwa wananchi?Sisi sio wananchi? mwenye haki ya kuwasemea wananchi ni wewe?na sio wengine??...
Hizo mentality hazitawasaidia hata ikija hiyo katiba mpyaa...
Kwamba any different opinions sio ya wananchi??wewe ulitembea Tanzania nzima ukakutana na wananchi wakakupa mandate ya kuwasemea na wakasilikiza maoni yetu wengine wakakwambia sio ya kwao??aisee
Yes, sababu zake ni "interest" huyo ndumilakuwili sio wa kumuamini hata siku moja.The Boss " kuongelea muda kama ni kigezo cha kutoitamuka Katiba " nawe ni sawa na kuwa biased kwasabu pengine sababu ni interest zako zilizojificha ama ulizozificha. Wananchi kuhusu Katiba walishamaliza kazi kupitia Jaji Warioba, Nchi hii imekosa tu uongozi bora basi. FIKILIA KUNA UMUHIMU GANI WA KUPOTEZA PESA KUHUSU HILI LA KATIBA ILI HALI Kazi illisha ??
[emoji23][emoji23]Katiba mpya sio kwa ajili ya chaguzi za kushika vyeo,,
KatIba ni kwa ajili ya wananchi, siyo wanasiasa,
Anaesubiri katiba mpya ije ili imnyooshee njia ya kupata cheo, atasubiri sana,, [emoji23][emoji23]
Wewe ni mwananchi unaefaidika na Uwepo wa udhaifu huu, hivyo ndyo mana huwezi kukubali hoja hii kirahisi.
Uchaguzi upo kukamilisha ratiba...
Katiba mpya siyo sera ya chadema ni sera ya watz wote ttzo ni kwamba watz wengi wanaifahamu zaidi simba na yanga kuliko siasa za nchi yaoAmekiri Freeman Mbowe kuwa wapo makamanda wengi waandamizi kwa sasa hawamwelewi.
Msimamo wetu ulikuwa mwema sana kabla ya hoja ya maridhiano. Kwamba bila katiba mpya hakuna uchaguzi.
Hivi kweli uchaguzi utakuwaje wa haki bila ya kuwapo katiba mpya yenye tume huru ndani yake?
Kwamba tumekubali kushindwa kuipata katiba mpya kwa njia zetu na sasa tunasubiri kuletewa mezani kwa utashi wa Mama Samia kama atakavyoona inafaa?
Thubutu!
Kwani tukikiwasha katiba mpya kipaumbele, haipatikani sasa? Kama haipatikani ya nini kwenda kwenye uchaguzi ambao hautakuwa wa haki, huru wala wenye kuaminika 2024/25? Vipi sasa tutayaona mawazo haya kuwa ni ya kipuuzi?
View attachment 2560606
Makamanda, kIroho safi, tukubali kutokukubaliana:
1. Kuchezeshwa ngoma ya CCM hakuwezi kuwa na maslahi sana nasi.
2. Maridhiano kuwa siri kwa agenda na content hakuwezi kuwa na afya sana nasi.
3. Kuiondoa katiba mpya katika vipaumbele vyetu hakuwezi kuwa na mstakabali mwema sana nasi.
Shime waungwana hatujachelewa na kuteleza si kuanguka.
Aluta Continua, ushindi ni dhahiri!
Ninakazia:
Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine
Katiba mpya siyo sera ya chadema ni sera ya watz wote ttzo ni kwamba watz wengi wanaifahamu zaidi simba na yanga kuliko siasa za nchi yao
brazaj mfano wako wa maandamano ya Kenya kumhushisha Laila unakosea sana. Ukijikumbusha vita ya Mau Mau utaona kwamba wala si suala la Laila Wakenya kuwa vile.
Lakini pia unajua ushawishi wa Laila Nairobi unatokana na nini. Tafuta kwa karibu habari za Kibera ujielimishe. Mbona siyo Kenya Nzima walioandamana??
Maandamano huratibiwa kwa watu waliotayari kuandamana ila huwezi kuratibu maandamano kwa watu wasio tayari kuandamana. Watanzania ni waoga wa kuandama dhidi ya serikali. Kenya hata bila ya Raila wataandamana tu maslahi yao yanapotishiwa!!
Tatizo liko kwetu wananchi sisi ndio tunataka katiba kabla ya uchaguzi sio vyama vya siasa.
ccm wanaogopa katiba mpya kwasabu wanajua bila wizi wa kura awatoboi ndichanza cha kupiga Dana Dana.Kwa hiyo vyama vya siasa havitaki katiba mpya siyo?
Kumbe nani wa kumwongoza nani kwenye madai haya? Kwamba itokee kama mvua siyo?
"Shikamoo Raila Amolo Odinga na Azimio la Umoja."
Kwa hakika Ruto ba Kenya Kwanza watajuta kuzaliwa si Samia wala CCM.
Cc: Kalamu
ccm wanaogopa katiba mpya kwasabu wanajua bila wizi wa kura awatoboi ndichanza cha kupiga Dana Dana.
Vyama vya upinza vikovingi uwezi sikia wakidai katiba mpya kwasabu chakupoteza awana.
Chadema waongoze maandamani ya kuilazimisha sereka kuandaa katiba mpya kabla ya uchaguzi 2025 ccm lazima watoke.
Umemjibu vyema huyo anayedhani wananchi wanaoihitaji Katiba Mpya wataamuka tu siku moja na kujipanga kuidai bila ya uwepo wa uongozi na uratibu wa juhudi zao hizo.Kwa hiyo vyama vya siasa havitaki katiba mpya siyo?
Kumbe nani wa kumwongoza nani kwenye madai haya? Kwamba itokee kama mvua siyo?
"Shikamoo Raila Amolo Odinga na Azimio la Umoja."
Kwa hakika Ruto ba Kenya Kwanza watajuta kuzaliwa si Samia wala CCM.
Cc: Kalamu
Hili ni moja ya mambo muhimu sana ndani ya chama, ambayo sasa hivi yangekuwa yanafanyiwa kazi toka ngazi za chini kabisa za chama huko mashinani. Huko ndiko kunakotakiwa kuwekewa mkazo wote kichama.."Chadema waanze na free and fair primaries. Viongozi wanofaa na wenye ushawishi wapewe chama."
Wao wanasema, 'kidigitali' wanao takribani milioni 15!Wanachama 8m+ wasiokuwa na influence Kwa maamuzi ya nchi wa nini?
Umemjibu vyema huyo anayedhani wananchi wanaoihitaji Katiba Mpya wataamuka tu siku moja na kujipanga kuidai bila ya uwepo wa uongozi na uratibu wa juhudi zao hizo.
Hawa watu wengine wanajiwekea tu mabandiko humu bila ya kufikiri maana ya wanachokibandika.
Kuhusu ya Raila (Azimio la Umoja) na Ruto (Kenya Kwanza), habari zao wote ninazo vizuri sana. Namsikitikia tu Mzee Odinga kwa juhudi kubwa alizokwisha fanya miaka yote hii bila ya mafanikio ya kuchukua uongozi wa nchi hiyo. Ambalo nalijua na lipo wazi kabisa, alipokonywa ushindi wazi kabisa aliposhindana na Kibaki na kusababisha matatizo yaliyowapeleka ICC akina Uhuru na Ruto.
Amehangaika sana Raila kuutafuta uongozi wa nchi hiyo, lakini mbali ya uonevu anaofanyiwa mara kadhaa, kuna mambo anayoyafanya yeye mwenyewe yanayosababisha kazi yake kuwa ngumu sana na kutokuwa na mafanikio anayoyatafuta. Haya yote niyasemayo yana ushahidi na mifano mingi tu ya kui'support'.
Lakini nikuombe radhi, nisingependa kuingia kwenye mjadala huo wa mambo ya majirani zetu. Tuweke mawazo yetu kwenye haya yetu makubwa yanayotukabili hapa wenyewe chini ya hiki chama cha CCM.
Kama kuna mifano mizuri unayoiona tunaweza kuichukua toka huko kwingine na kuitumia hapa itusaidie kuwadhibiti hawa wahuni wa CCM, hayo ndiyo mambo tunayoweza kuyajadili na kuona ni namna gani yanavyoweza kutusaidia katika adhma yetu hii.