Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Raila anataka uwaziri mkuu yule, Ruto ana roho ngumu sana, hampi hata udiwani wa kuteuliwa..Hata Ruto, Gachagua na genge lao la Kenya Kwanza waliamini wakenya watamsusa Raila:
Raila aridhia: Maandamano sasa mara 2 kwa wiki
Kwa taarifa yenu kaeni hivyo hivyo, tena kwa kutulia tuli!