Pre GE2025 Uchaguzi 2025: Sauti Yako Katika Uchaguzi, Tuchambue Mapambano Ya Rais, Wabunge, na Madiwani - Maoni, Utabiri, Na Mjadala!

Pre GE2025 Uchaguzi 2025: Sauti Yako Katika Uchaguzi, Tuchambue Mapambano Ya Rais, Wabunge, na Madiwani - Maoni, Utabiri, Na Mjadala!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tulia Ackson anagalagazwa Asubuhi na Mapema sana.
Naona kama nguvu ya dola itatumika ili kulinda cheo chake... Ule mpango wake unaendeleaje wa kugawa jimbo pande mbili. 🤔
 
🙂🙂, uchaguzi 2025 , kwa upande wa wabunge unaweza kuwa mgumu sana,

Shida sugu: Tatizo letu sisi wananchi mda mwingine kama tulilogwa vile yani akipewa kanga/kitenge na kofia 😥, mgombea amesha maliza kazi..
Molel hatoboi kule Siha.
Kimei ndio takataka hakuna mmarangu anataka kumsikia, walimhagua kwa kuahidiwa atakuwa waziri wa fedha.
Priscus ni class mate wa Rizi 1 na hamna kitu, hajui siasa na yupo yupo, nakwambia Kilimanjaro itaongoza kwa upinzani.
 
Molel hatoboi kule Siha.
Kimei ndio takataka hakuna mmarangu anataka kumsikia, walimchagua kwa kuahidiwa atakuwa waziri wa fedha.
Priscus ni class mate wa Rizi 1 na hamna kitu, hajui siasa na yupo yupo, nakwambia Kilimanjaro itaongoza kwa upinzani.
. Kati ya viongozi hoihae Molel yumo na ma t-shirt yake ya Love sa100 🙂,

walimchagua kwa kuahidiwa atakuwa waziri wa fedha
Wananchi na Wajumbe wakaingia kingi 🤔, Kimei Aludi tu CRDB kama kutakuwa bado kuna nafasi..

... Msimu ule wabunge walipita na power ya mwendazake...
 
Tulia Ackson anagalagazwa Asubuhi na Mapema sana.

. Kati ya viongozi hoihae Molel yumo na ma t-shirt yake ya Love sa100 🙂,


Wananchi na Wajumbe wakaingia kingi 🤔, Kimei Aludi tu CRDB kama kutakuwa bado kuna nafasi..

... Msimu ule wabunge walipita na power ya mwendazake...
timing mbobu, samia habadili badili, Kimei aendeleze kampuni zake.
 
Kikwete alipoona Lowassa ndiye chaguo la wanaccm akaamua kuingia na majina yake akiliondoa la Lowassa Kila nikikumbuka huu ushenzi.......
 
Kikwete alipoona Lowassa ndiye chaguo la wanaccm akaamua kuingia na majina yake akiliondoa la Lowassa Kila nikikumbuka huu ushenzi.......
• Yule mzee alikuwa na nyota kali sana, najiuliza kwa nini Watoto wote, hakuna hata mmoja aliye rithi siasa za mzee 🤔.
 
Back
Top Bottom