Uchaguzi BAWACHA: Sharifa Suleiman aibuka kidedea Uenyekiti Taifa

Uchaguzi BAWACHA: Sharifa Suleiman aibuka kidedea Uenyekiti Taifa

Wamecheza vyema kuendana na wakati tulionao na kiongozi wa nchi aliyepo YAKHEE.
 
Mheshimiwa Susan Kiwanga na wenzake Monica Nsaro na Aisha Luja wameshindwa kurithi nafasi ya Halima Mdee ya mwenyekiti wa BAWACHA kitaifa. Kwa msingi huo, Sharifa ambaye ni kama makamu mwnyekiti wa Bawacha-Zanzibar, ndiye amechukua nafasi ya mheshimiwa Halima Mdee ya mwenyekiti wa Bawacha taifa kwa sasa.
View attachment 1789582

Pia, kamati tendaji ya BAWACHA, itajaza nafasi za katibu mkuu, naibu katibu mkuu wa Bara na Zanzibar, Katibu mwenezi taifa na makamu mwenyekiti wa bawacha Bara na zilizobakia kwa mujibu katiba,kanuni na sheria zinazoongoza Bawacha kwa ujumla.

View attachment 1789576

Fuatilia habari zaidi>>> kutoka Mwanza ni Matokeo ya Uchaguzi wa Bawacha taifa Mei-2021
Mbowe ana hulka fulani ya kuendesha chama kijasiriamali jasiriamali, yaani kifursa fursa.

Mwaka 2015 wakati katili Magu anagombea na Lowassa kulitokea mgawanyiko mkubwa sana. Kura zilipigwa kikanda na kikabila vibaya mno hasa kwa kanda ya kaskazini na Kanda ya Ziwa. Magu alikuwa anatumia hadi kisukuma kwenye majukwaa ya kampeni.

CHADEMA ilikuwa haiwezi kukosa viti vya ubunge mikoa ya Mwanza na Shinyanga, ila 2015 ilikosa kote isipokuwa Ukerewe na Mara.

Vivyo hivyo, CHADEMA ilizoa karibia viti vyote vya ubunge kanda ya kaskazini. Hadi majabali ya kisiasa kanda hiyo walipoteza ubunge.

Sasa ili kurudisha siasa za CHADEMA kanda ya ziwa, Mbowe akaona atafute Katibu Mkuu wa chama Msukuma ili am-neutralize "msukuma" Magu ndio akamuokota huko Mashinji. Ingawa matokeo hayakuwa kama Mbowe alivyotarajia.

Sasa leo kwakuwa Rais ni Mama Mzanzibar mvaa ushungi, kaona njia rahisi ni kumweka mbele Mmama, Mzanzibar.

Hapo hakuna demokrasia ya kura imetumika.

Siasa za Mbowe ni za kipuuzi sana. Ana misiasa ya ajabu sana kama Magufuli, na Sabaya.

Kuna kipindi alikuwa na mgogoro mkubwa sana Zitto kuhusu uenyekiti wa CHADEMA, akatafuta mzee fulani huko huko Kigoma ( anakotokea Zitto ) akamtumia kumchukulia fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA. Hii yote ni kuonesha kuwa licha ya kutofautiana na Zitto watu wa Kigoma wao wanampenda yeye Mbowe na CHADEMA na ndio wanaotaka Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa chama. Huyo mzee haijulikani sasa hivi yuko wapi ?

Upuuzi gunia 100.
 
..Nawashauri mrudi kwenye KATIBA ya Chadema.

..Katiba yao haielekezi ufanyike uchaguzi mpya kutokana na hiki kilichotokea.

..Mtatoana macho bure kwa jambo ambalo haliko kikatiba.
 
Aki li ndogo inakuja kutawala akili kubwa!

kweli BAWACHA walipania kuvunja genge la MBOWE na MNYIKA.

Tanzania bara ndio yenye wapiga kura wengi ndani ya BAWACHA ajabu wamempa mzanzibari SHARIFFA ambaye kule Zanzibar CHADEMA ni kama haipo wakawapiga chini wagombea wazito wa bara!
Wamempa Mzanzibar ili apambane na Samia Mzanzibar.

Ni kama walivyowahi kuwapa wasukuma Pambalu na Mashinji ili wapambane na msukuma Magu.

Hakuna rocket science hapo wala kura zilizotumika.
 
Huu ujinga wa wapi kwenye wapiga kura wengi na sio uwezo, ndio cdm waliingizwa cha kike kwa kumchagua katibu Mkuu domo zege ambaye amerudi ccm. Watu walidanganywa kuwa yule katibu Mkuu mzigo kuwa ni msukuma hivyo atachukua kura za kanda ya ziwa. Walaaniwe waliomchagua Mashinji kuwa katibu Mkuu wa cdm.
Kwani huwajui waliomchagua Mashinji?
 
..mimi nilivyoelewa ni kuwa KATIBA yao ndiyo imewaelekeza hatua za kuchukua baada ya mwenyekiti wa jumuiya ya wanawake kuondolewa.
Wajane hao wahurumie , bado msiba upo kwenye ubongo, wanajiliza liza tu humu ,kupunguza mawazo.
 
Hawana bei kwenye kupigania nchi yao siyo kupigania CHADEMA.

Anyway, kama hujaliona hilo: Wamempa Mzanzibar ili apambane na Samia Mzanzibar.

Ni kama walivyowahi kuwapa wasukuma Pambalu na Mashinji ili wapambane na msukuma Magu.

Hakuna rocket science hapo wala kura zilizotumika.
 
Baada ya kumuona anatoka kwenye nyumba ya kulala wageni ya mbowe, nikajua ametumiza kigezo muhimu lazima ashinde uenyekiti bawacha
 
Hawana bei kwenye kupigania nchi yao siyo kupigania CHADEMA.

Anyway, kama hujaliona hilo: Wamempa Mzanzibar ili apambane na Samia Mzanzibar.

Ni kama walivyowahi kuwapa wasukuma Pambalu na Mashinji ili wapambane na msukuma Magu.

Hakuna rocket science hapo wala kura zilizotumika.
Hawana bei kwenye kupigania nchi yao siyo kupigania CHADEMA.

Anyway, kama hujaliona hilo: Wamempa Mzanzibar ili apambane na Samia Mzanzibar.

Ni kama walivyowahi kuwapa wasukuma Pambalu na Mashinji ili wapambane na msukuma Magu.

Hakuna rocket science hapo wala kura zilizotumika.
Rais wa JMT na Bawacha wapi na wapi bwashee?!
 
Rais wa JMT na Bawacha wapi na wapi bwashee?!
Kwanini sasa hivi BAWACHA ndio wanajibizana na Ndugai kuhusu kina Halima Mdee hasa baada ya Ndugai kujaribu kuonesha kuwa CHADEMA inawaonea wanawake ?

Sasa BAWACHA na Speaker wapi na wapi ?
Hivi unazijua siasa za nchi hii kweli ?
 
Hawana bei kwenye kupigania nchi yao siyo kupigania CHADEMA.

Anyway, kama hujaliona hilo: Wamempa Mzanzibar ili apambane na Samia Mzanzibar.

Ni kama walivyowahi kuwapa wasukuma Pambalu na Mashinji ili wapambane na msukuma Magu.

Hakuna rocket science hapo wala kura zilizotumika.
Ufanano wa Kabila au utaifa una uhusiano gani na uongozi wa Samia vs Mwenyekiti BAWACHA?! Kwani umeambiwa wanataka kushindana kutambika!
 
Ufanano wa Kabila au utaifa una uhusiano gani na uongozi wa Samia vs Mwenyekiti BAWACHA?! Kwani umeambiwa wanataka kushindana kutambika!
Subiri siku Mbowe akikufu disha mfanano. Maana huna fikra huru.

Una macho lakini huoni.
 
Kwanini sasa hivi BAWACHA ndio wanajibizana na Ndugai kuhusu kina Halima Mdee hasa baada ya Ndugai kujaribu kuonesha kuwa CHADEMA inawaonea wanawake ?

Sasa BAWACHA na Speaker wapi na wapi ?
Hivi unazijua siasa za nchi hii kweli ?
Watu wanasimamia SHERIA wewe unaita kujibizana!
 
Back
Top Bottom