Uchaguzi BAWACHA: Sharifa Suleiman aibuka kidedea Uenyekiti Taifa

Uchaguzi BAWACHA: Sharifa Suleiman aibuka kidedea Uenyekiti Taifa

Huyo ana uwezo gani mbona CHADEMA Zanzibar iko hoi hajajenga CHadema Zanzibar.Mnaweka mtu toka eneo ambako hakuna kitu!!! Uwezo wake kwa Zanzibar kuna nini cha maana kafanya kule?
Kila kitu ni mipango,mingine imekuzidi uwezo kuweza kuielewa kikamilifu,hivyo bora ujifunze kutoka kwa wenyewe kwanza au utulie uusome mchezo kwanza.
 
Aki li ndogo inakuja kutawala akili kubwa!

kweli BAWACHA walipania kuvunja genge la MBOWE na MNYIKA.

Tanzania bara ndio yenye wapiga kura wengi ndani ya BAWACHA ajabu wamempa mzanzibari SHARIFFA ambaye kule Zanzibar CHADEMA ni kama haipo wakawapiga chini wagombea wazito wa bara!
Hivi Mbowe bado hakubali kukuletea matunzo ya mtoto ulie zaa naye hadi sasa?
 
Aki li ndogo inakuja kutawala akili kubwa!

kweli BAWACHA walipania kuvunja genge la MBOWE na MNYIKA.

Tanzania bara ndio yenye wapiga kura wengi ndani ya BAWACHA ajabu wamempa mzanzibari SHARIFFA ambaye kule Zanzibar CHADEMA ni kama haipo wakawapiga chini wagombea wazito wa bara!
Naona unaifuatilia cdm kwa makini

Ova
 
Aki li ndogo inakuja kutawala akili kubwa!

kweli BAWACHA walipania kuvunja genge la MBOWE na MNYIKA.

Tanzania bara ndio yenye wapiga kura wengi ndani ya BAWACHA ajabu wamempa mzanzibari SHARIFFA ambaye kule Zanzibar CHADEMA ni kama haipo wakawapiga chini wagombea wazito wa bara!
Hujui kitu we kapuku
 
Mbowe ana hulka fulani ya kuendesha chama kijasiriamali jasiriamali, yaani kifursa fursa.

Mwaka 2015 wakati katili Magu anagombea na Lowassa kulitokea mgawanyiko mkubwa sana. Kura zilipigwa kikanda na kikabila vibaya mno hasa kwa kanda ya kaskazini na Kanda ya Ziwa. Magu alikuwa anatumia hadi kisukuma kwenye majukwaa ya kampeni.

CHADEMA ilikuwa haiwezi kukosa viti vya ubunge mikoa ya Mwanza na Shinyanga, ila 2015 ilikosa kote isipokuwa Ukerewe na Mara.

Vivyo hivyo, CHADEMA ilizoa karibia viti vyote vya ubunge kanda ya kaskazini. Hadi majabali ya kisiasa kanda hiyo walipoteza ubunge.

Sasa ili kurudisha siasa za CHADEMA kanda ya ziwa, Mbowe akaona atafute Katibu Mkuu wa chama Msukuma ili am-neutralize "msukuma" Magu ndio akamuokota huko Mashinji. Ingawa matokeo hayakuwa kama Mbowe alivyotarajia.

Sasa leo kwakuwa Rais ni Mama Mzanzibar mvaa ushungi, kaona njia rahisi ni kumweka mbele Mmama, Mzanzibar.

Hapo hakuna demokrasia ya kura imetumika.

Siasa za Mbowe ni za kipuuzi sana. Ana misiasa ya ajabu sana kama Magufuli, na Sabaya.

Kuna kipindi alikuwa na mgogoro mkubwa sana Zitto kuhusu uenyekiti wa CHADEMA, akatafuta mzee fulani huko huko Kigoma ( anakotokea Zitto ) akamtumia kumchukulia fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA. Hii yote ni kuonesha kuwa licha ya kutofautiana na Zitto watu wa Kigoma wao wanampenda yeye Mbowe na CHADEMA na ndio wanaotaka Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa chama. Huyo mzee haijulikani sasa hivi yuko wapi ?

Upuuzi gunia 100.
Pole kwa stress za maisha.Inaonyesha hauko vizuri na unachokiongea hata hukijui
 
Nimemjibu YEHODAYA sababu anaona watu wa zbar hawawezi kutawala au kupata uongozi huku bara
Sio kweli mimi naongelea Track record .Zanzibar alikuwa Makamu MWenyekiti wa CHadema hana lolote la maana alilofanya kule CHADEMA iko hoi bin taabani kule Zanzibar halafu eti chadema wanampa uenyekiti wa baraza la wanawake Tanzania nzima !! Kule hana cha maana alichofanya .CCM huwa tunawachukua wazanzibar wenye track rekodi ya kufanya makubwa Zanzibar na kukijenga chama na kukiwezesha kupata ushindi wa kishindo Zanzibar

Huyo Mama kapewa uenyekiti BAWACHA kwa rekodi ipi aliyonayo aliyofanya kule Zanzibar akiwa na umakamu mwenyekiti Zanzibar ? Hana lolote la maana alilofanya kule!! Anakuja tu kupewa uenyekiti kwa kazi hewa aliyofanya Zanzibar!!! Hilo ni zigo kwa BAWACHA wa Tanzania bara kaletwa tu kama mkol;oni kuja kutawala BAWACHA bara lakini kule kwake hamna kitu!!! BAWACHA iko bara zaidi Zanzibar hamna kitu
 
Hawana bei kwenye kupigania nchi yao siyo kupigania CHADEMA.

Anyway, kama hujaliona hilo: Wamempa Mzanzibar ili apambane na Samia Mzanzibar.

Ni kama walivyowahi kuwapa wasukuma Pambalu na Mashinji ili wapambane na msukuma Magu.

Hakuna rocket science hapo wala kura zilizotumika.
Mjomba mbona unateseka sana, hili jambo unatakiwa ujiulize kwanini huyo mzanzibari kapewa bila kupigiwa kura? au kama amepigiwa nipe idadi aliyopata, inaonekana kuna kipengele kwenye katiba ya Chadema inayotaka huyo mtu ateuliwe, sasa suala la katoka wapi hilo ni nonsense provided iwe ndani ya JMT.

Habari ya kusema amepewa ili ashindane na Samia ni ya ajabu, kwa Magufuli na wasukuma sawa, ila Samia huyu anashindana vipi na Chadema, by the way Zanzibar sio Bara, hao wabara watakaompa kura Samia sababu ni Mzanzibar sijui watatoka wapi, na kura za Zanzibar ni nyingi kiasi gani mpaka ziamue Rais wa Bara? hoja yako hapa ni mfu, unalalamika mno bila hoja ya msingi.
 
Aki li ndogo inakuja kutawala akili kubwa!

kweli BAWACHA walipania kuvunja genge la MBOWE na MNYIKA.

Tanzania bara ndio yenye wapiga kura wengi ndani ya BAWACHA ajabu wamempa mzanzibari SHARIFFA ambaye kule Zanzibar CHADEMA ni kama haipo wakawapiga chini wagombea wazito wa bara!
Una mapepo wewe! Huyu atakua kiungo muhimu sana kati ya Bara na Zanzibar
 
Sio kweli mimi naongelea Track record .Zanzibar alikuwa Makamu MWenyekiti wa CHadema hana lolote la maana alilofanya kule CHADEMA iko hoi bin taabani kule Zanzibar halafu eti chadema wanampa uenyekiti wa baraza la wanawake Tanzania nzima !! Kule hana cha maana alichofanya .CCM huwa tunawachukua wazanzibar wenye track rekodi ya kufanya makubwa Zanzibar na kukijenga chama na kukiwezesha kupata ushindi wa kishindo Zanzibar

Huyo Mama kapewa uenyekiti BAWACHA kwa rekodi ipi aliyonayo aliyofanya kule Zanzibar akiwa na umakamu mwenyekiti Zanzibar ? Hana lolote la maana alilofanya kule!! Anakuja tu kupewa uenyekiti kwa kazi hewa aliyofanya Zanzibar!!! Hilo ni zigo kwa BAWACHA wa Tanzania bara kaletwa tu kama mkol;oni kuja kutawala BAWACHA bara lakini kule kwake hamna kitu!!! BAWACHA iko bara zaidi Zanzibar hamna kitu
Hebu tulia kipele, please
 
Una mapepo wewe! Huyu atakua kiungo muhimu sana kati ya Bara na Zanzibar
Zanzibar wanawake wenyewe wa BAWACHA mbona kiduchu tu ni kama zero tu!!!

Namaba yoyote ukijumlisha na zero utaambulia nini? Tanzania bara kuna namba kubwa BAWACHA zanzibar kuna zero kuna nini cha kuunga hapo?
 
Mjomba mbona unateseka sana, hili jambo unatakiwa ujiulize kwanini huyo mzanzibari kapewa bila kupigiwa kura? au kama amepigiwa nipe idadi aliyopata, inaonekana kuna kipengele kwenye katiba ya Chadema inayotaka huyo mtu ateuliwe.

Sasa habari ya kusema amepewa ili ashindane na Samia ni ya ajabu, kwa Magufuli na wasukuma sawa, ila Samia huyu anashindana vipi na Chadema, by the way Zanzibar sio Bara, hao wabara watakaompa kura Samia sababu ni mzanzibar sijui watatoka wapi, na kura za Zanzibar ni nyingi kiasi gani mpaka ziamue Rais wa Bara? hoja yako hapa ni mfu, unalalamika mno bila hoja ya msingi.
Huna unachojua. Subiri Mbowe siku akikwambia.
 
Aki li ndogo inakuja kutawala akili kubwa!

kweli BAWACHA walipania kuvunja genge la MBOWE na MNYIKA.

Tanzania bara ndio yenye wapiga kura wengi ndani ya BAWACHA ajabu wamempa mzanzibari SHARIFFA ambaye kule Zanzibar CHADEMA ni kama haipo wakawapiga chini wagombea wazito wa bara!
Mwenyekiti wenu ambaye ndo raisi anatokea wapi?

Na Yule mwenezi wenu aliyechukua nafasi ya pole pole anatoka wapi vile?

Wapiga kura wengi wako wapi
 
Zabzibar wanawake wenyewe wa BAWACHA mbona kduchu tu ni kama zero tu!!!

Namaba yoyote ukijumlisha na zero utaambulia nini? Tanzania bara kuna namba kubwa BAWACHA zanzibar kuna zero kuna nini cha kuunga hapo?
Sawa, sisi hatuchagui mtu kutokana na uzanzibara au Utangayika wake! Hizo nafasi zipo na hio ya BAWACHA ipo kwahio tuliza kipele.
 
Back
Top Bottom