Uchaguzi BAWACHA: Sharifa Suleiman aibuka kidedea Uenyekiti Taifa

Uchaguzi BAWACHA: Sharifa Suleiman aibuka kidedea Uenyekiti Taifa

Kwanini sasa hivi BAWACHA ndio wanajibizana na Ndugai kuhusu kina Halima Mdee hasa baada ya Ndugai kujaribu kuonesha kuwa CHADEMA inawaonea wanawake ?

Sasa BAWACHA na Speaker wapi na wapi ?
Hivi unazijua siasa za nchi hii kweli ?
Wana jibizana na mwenzao.
Sie wanaume hatuja zewea mipasho.
 
CCM kule wengi mno ni majority huwezi linganisha na CHADEMA ZANZIBAR!!!
Sina uhakika Kama ulipata elimu sahihi na kwa wakati muafaka ambayo ingekuongoza kujifunza kumtafakari kabla ya kutenda!
Uongozi hauangalii idadi ya wafuasi Bali uwezo wa mgombea katika kukubalika kwa wengi!
Maoni yako yanasadifu uwezo wako mdogo wa kupima na kuona! Itoshe tu kukuambia kuwa sifa za kiuongozi Bora hazitokani na idadi ya wafuasi kutoka eneo atokalo Bali uwezo wake wa kuiongoza! Jifunze na acha kuhemkwa na kudemka!
 
Aki li ndogo inakuja kutawala akili kubwa!

kweli BAWACHA walipania kuvunja genge la MBOWE na MNYIKA.

Tanzania bara ndio yenye wapiga kura wengi ndani ya BAWACHA ajabu wamempa mzanzibari SHARIFFA ambaye kule Zanzibar CHADEMA ni kama haipo wakawapiga chini wagombea wazito wa bara!
Ubaguzi huu
 
Aki li ndogo inakuja kutawala akili kubwa!

kweli BAWACHA walipania kuvunja genge la MBOWE na MNYIKA.

Tanzania bara ndio yenye wapiga kura wengi ndani ya BAWACHA ajabu wamempa mzanzibari SHARIFFA ambaye kule Zanzibar CHADEMA ni kama haipo wakawapiga chini wagombea wazito wa bara!
Mpango wenu kudondosha taifa umeshindikana
 
Kwani Halima Mdee na wenzake wamasemaje kuhusu Susan Kiwanga kukosa Uwenyekiti ?!

FB_IMG_1621340713626.jpg
 
Kwa akili ya CHADEMA ( Mbowe ) ilivyo usishangae huyo ndio akagombea Urais 2025.
Kwani hana sifa ya kugombea urais tokana na katiba ya JMT? Kama magufuli alikuwa rais, basi hata kibajaji la saba c anaweza kuwa rais
 
CCM kule wengi mno ni majority huwezi linganisha na CHADEMA ZANZIBAR!!!
Kwa hiyo ulitaka kwa vile Zanzibar ccm ni wengi basi Mwenyekiti wa Bawacha atoke ccm?
We kweli mzigo
 
Kwa akili ya CHADEMA ( Mbowe ) ilivyo usishangae huyo ndio akagombea Urais 2025.
Kwani hana sifa ya kugombea urais tokana na katiba ya JMT? Kama magufuli alikuwa rais, basi hata kibajaji la saba c anaweza kuwa rais
Wapi nimesema hana sifa?
Inaweza kuwa uliandikiwa post ukaja kuipachika tu huku
 
Wewe mjinga kweli, mbona Rais Samia Suluhu anatokea Zanzibar ambako kuna wapiga kura wachache kuliko mkoa wa Tanga?
Hivi huwa unafikiri kabla ya kuandika?
Tena Zanzibar yote wapigakura wote ni Laki sita
 
Kwani hana sifa ya kugombea urais tokana na katiba ya JMT? Kama magufuli alikuwa rais, basi hata kibajaji la saba c anaweza kuwa rais

Inaweza kuwa uliandikiwa post ukaja kuipachika tu huku
Mla Vimolo hajawahi kuwa na akili timamu
 
Aki li ndogo inakuja kutawala akili kubwa!

kweli BAWACHA walipania kuvunja genge la MBOWE na MNYIKA.

Tanzania bara ndio yenye wapiga kura wengi ndani ya BAWACHA ajabu wamempa mzanzibari SHARIFFA ambaye kule Zanzibar CHADEMA ni kama haipo wakawapiga chini wagombea wazito wa bara!
Wanajipendekeza kwa mtu flani waonekane wanamapenzi mema na Znz..unga dots
 
Sina uhakika Kama ulipata elimu sahihi na kwa wakati muafaka ambayo ingekuongoza kujifunza kumtafakari kabla ya kutenda!
Uongozi hauangalii idadi ya wafuasi Bali uwezo wa mgombea katika kukubalika kwa wengi!
Maoni yako yanasadifu uwezo wako mdogo wa kupima na kuona! Itoshe tu kukuambia kuwa sifa za kiuongozi Bora hazitokani na idadi ya wafuasi kutoka eneo atokalo Bali uwezo wake wa kuiongoza! Jifunze na acha kuhemkwa na kudemka!
Huyo ana uwezo gani mbona CHADEMA Zanzibar iko hoi hajajenga CHadema Zanzibar.Mnaweka mtu toka eneo ambako hakuna kitu!!! Uwezo wake kwa Zanzibar kuna nini cha maana kafanya kule?
 
Huyo ana uwezo gani mbona CHADEMA Zanzibar iko hoi hajajenga CHadema Zanzibar.Mnaweka mtu toka eneo ambako hakuna kitu!!! Uwezo wake kwa Zanzibar kuna nini cha maana kafanya kule?
Unayo CV yake utuwekee hapa? Kama huna ushahidi nyamaza! By the way, wewe ya CDM yanakukandamizaje?
 
Kwa akili ya CHADEMA ( Mbowe ) ilivyo usishangae huyo ndio akagombea Urais 2025.
Nyieendelezeni zile pambio za enzi ya awamu yenu pendwa mambo makubwa yaliyowazidi uwezo waachieni chama mbadala,namsitupugie kelele humu.
 
Back
Top Bottom