Uchaguzi BAWACHA: Sharifa Suleiman aibuka kidedea Uenyekiti Taifa


Usishangae kabisa huyo dada ni mtiifu kwa ACT, huchelewi kusikia kahamia ACT mbeleni huko
 
Kwa akili ya CHADEMA ( Mbowe ) ilivyo usishangae huyo ndio akagombea Urais 2025.
Na kwa akili za Maccm usishangae huyu mwanamke mzanzibar aliyerithi urais ndo atakuwa mgombea urais wao,
Nasema uongo!
 
Na kwa akili za Maccm usishangae huyu mwanamke mzanzibar aliyerithi urais ndo atakuwa mgombea urais wao,
Nasema uongo!
Wao wameshaamua kwani Mbowe akwambie
 
Mkuu vingi uliyoandika hapa umepotosha

1. 2015 ukanda uliletwa na CCM wala sio CHADEMA miaka yote mbona Mbowe hakuwahi pata wabunge wengi vile KLM au Arusha? Kma ni cha kikaskazini si wangekua wanabeba majimbo yote huko hata before 2015? Au huo uchagga umeanza alipokuja Lowassa tu?

2. Hyu mama alikua makam mwenyekiti na aligoma kwenda bungeni na kina Mdee so obvious Loyalty yake ndio imemfanya athibitishwe kuwa Mwenyekiti maana alikua ana kaimu muda wote toka January.

3. Kuhusu zitto sio kweli eti Mbowe alihitaji endorsement ya Mzee wa Kiha!! Yule mzee alikua muasisi na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee na alikua anasema wazi kabisa hamuungi mkono Zitto.

Watu ambao hampo kigoma mnadhani zitto alikuwa invicible huko si kweli. Kigoma kaskazini alikataliwa kabisa so ili kuokoa ubunge ikabidi aingie dili na CCM kwamba Serukamba aende huko kalinzi-Matyazo then yeye agombee Ujiji.

Kingine mama yake zitto alibaki CHADEMA all through na hakuwahi kuyumba hata mwanaye alipojitoa. Sasa kwa loyalty ya mama mzazi wa zitto bado Mbowe alihitaji endorsement ya mzee wa Kigoma??
 
Chama cha wachagga/kaskazini kimebakia jina tu 😄 wachagga hamuwezi uongozi mnalazimisha tu.


Sasa ndio inapotea mazima, na huko znz huenda wakabadilisha na jina, sio chadema tena.
 
Acha wivu wa kike
 
Suzan Kiwanga alikuwa na kiherehere utadhani keshachaguliw kushika mikoba ya BAWACHA
 
Ila ni sahihi ccm kumteua mama Samia kuwa mwenyekiti wa chama wakati anatoka Zanzibar yenye wapiga kura 100k tu kwa ccm ?
 
Ila ni sahihi ccm kumteua mama Samia kuwa mwenyekiti wa chama wakati anatoka Zanzibar yenye wapiga kura 100k tu kwa ccm ?




Kuna tofauti ipi ya aliyekuwa Makamu wa Rais mama Samia; kuwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ? Muda ukifika tutaelewa watanzania hatua kwa hatua na kujifunza kwa wengine katika jamii.

 
Amejaza kelele tu kwenye huu uzi, hana hoja.
 
Mbowe na genge lake ndio walimchagua Mashinji,

Katika hilo genge usimsahau Lowasa

Ni sawa, ila kutenda kosa si kosa bali kurudia Kosa. Kwa sasa wakiokota takataka nyingine tena toka ccm na kuipa madaraka, tutajuana tabia.
 

Wajumbe wa Kamati Tendaji ya Bawacha, leo Jumanne, wamemchagua, mheshimiwa Catherine Ruge, kuwa Katibu Mkuu wa Baraza hilo kwa kura 34 sawa na asilimia 52.6, akifuatiwa na Esther Daffi kura 23 na Asia Msangi kura nane.



Hivyo, anachukua nafasi ya mheshimiwa Grace Tendega aliyefukuzwa uanachama na wenzake 18.
 
Naibu Katibu Bawacha Taifa (Bara) Nuru Elias Ndosi
Matokeo ya uchaguzi nafasi ya Naibu Katibu Bawacha Taifa (Bara):-
1. EMA Theobald Boki - kura 15 2. Brenda Jonas - kura 17 3. Nuru Ndosi - kura 36
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…