Huko Zanzibar mambo ndiyo kama hivi:
Ya nini kufanya uchaguzi bila katiba mpya? Si heri kuwaacha CCM kama ndivyo waendelee tu kulamba asali kwa raha zao?
“Insanity is doing the same thing over and over and expecting different results.”
Asema Einstein.
NB: Tume Huru bila Katiba Mpya ni kuendekeza ubatili ule ule.
===
ACT Wazalendo walalamikia uchaguzi mdogo wa jimbo la Amani, lililopo Mkoa wa Mjini Magharibi kuwa umegubikwa na udanganyifu.
Kiongozi wa ACT amesema wapiga kura hewa ambao ni watu wa nje ya jimbo la Amani na marehemu wamepiga kura katika jimbo hilo huku wapiga kura halali wakizuiwa kupiga kura katika jimbo hilo.
Ya nini kufanya uchaguzi bila katiba mpya? Si heri kuwaacha CCM kama ndivyo waendelee tu kulamba asali kwa raha zao?
“Insanity is doing the same thing over and over and expecting different results.”
Asema Einstein.
NB: Tume Huru bila Katiba Mpya ni kuendekeza ubatili ule ule.
===
ACT Wazalendo walalamikia uchaguzi mdogo wa jimbo la Amani, lililopo Mkoa wa Mjini Magharibi kuwa umegubikwa na udanganyifu.
Kiongozi wa ACT amesema wapiga kura hewa ambao ni watu wa nje ya jimbo la Amani na marehemu wamepiga kura katika jimbo hilo huku wapiga kura halali wakizuiwa kupiga kura katika jimbo hilo.