- Thread starter
- #21
Wapinzani nao hawajielewi
Ova
Lawama zao kwa wananchi kuwa hawaandamani. Kwani wananchi ni nani na kipi kinaweza kufanyika bila uongozi, organization au coordination?
Iko kama Kila mtu anamtegea mwingine. Wote matunda wanataka tatizo kuyapigania.