Ya nini kufanya uchaguzi bila katiba mpya? Si heri kuwaacha CCM kama ndivyo waendelee tu kulamba asali kwa raha zao?
“Insanity is doing the same thing over and over and expecting different results.”
Asema Einstein.
NB: Tume Huru bila Katiba Mpya ni kuendekeza ubatili ule ule.
===
ACT Wazalendo walalamikia uchaguzi mdogo wa jimbo la Amani, lililopo Mkoa wa Mjini Magharibi kuwa umegubikwa na udanganyifu.
Kiongozi wa ACT amesema wapiga kura hewa ambao ni watu wa nje ya jimbo la Amani na marehemu wamepiga kura katika jimbo hilo huku wapiga kura halali wakizuiwa kupiga kura katika jimbo hilo.
Sio sahihi kumuangushia mzigo huu Mwalimu kwasababu yeye alifanya yake kwa wakat wake na katiba ya hovyo iliwekwa kipind kile ambayo ni chama kimoja na sio ya vyama vingi, na baada yake waliokua na dhamana walipaswa kulifanyia kaz na sio mstaafu aje alifanyie kaz!!
Movement iliyodhamiria kudai katiba mpya kama agenda pekee ndicho kinaweza kuwalazimisha kufanya tunachotaka. Hawa si wa kuwaomba kuwarai au kuwalilia.
Movement iliyodhamiria kudai katiba mpya kama agenda pekee ndicho kinaweza kuwalazimisha kufanya tunachotaka. Hawa si wa kuwaomba kuwarai au kuwalilia.
ACT wako busy kuzunguka baadhi ya maeneo kutafta maon kuwa wajitoe au wasijitoe kwenye serikali yao ya umoja wa kitaifa huko zanzibar wakiambiwa na chadema wapiganie katiba mpya wao macho yao yako kwenye serikali fake ya umoja wa kitaifa.
ACT wako busy kuzunguka baadhi ya maeneo kutafta maon kuwa wajitoe au wasijitoe kwenye serikali yao ya umoja wa kitaifa huko zanzibar wakiambiwa na chadema wapiganie katiba mpya wao macho yao yako kwenye serikali fake ya umoja wa kitaifa.