escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,473
- 2,868
- Thread starter
-
- #41
Wapo ngazi ya kata hivi sasa. Sasa KM wao amekaza Uzi baada ya kuona walioshinda kwenye matawi wengi ni mbumbumbuMbona uchaguzi umekaribia kwisha , huko walikofanya uchaguzi watarudia ?
Kibajaji na Msukuma wana taaluma gani?Siku chache baada ya kuripotiwa sakata la kukatwa ovyo kwa Majina ya wagombea ndani ya CCM bila kufuata utaratibu huko Ilala mapya yaibuka.
Inaelezwa kwamba Makatibu wote wa Mikoa na Wilaya "wamepewa Maagizo" na Katibu Mkuu Chongolo kuhakikisha kila anayegombea anaambatanisha Kopi za Vyeti vyake vya taaluma (form 4, form 6 na Chuo) na Mgombea asiyeambatanisha, fomu yake isipokelewe.
Inaelezwa kwamba mpango huu una lengo la kupunguza "wapiga debe" ndani ya Chama na kuweka Wasomi wenye uwezo wa Kupambanua Mambo.
Pia hii itasaidia Mamlaka za Uteuzi Serikalini kuwateua makada wenye sifa katika nafasi nyeti serikalini.
Wakina Babu Tale na Msukuma wajiandae.Sasa hivi unakutana na Mwenyekiti wa Mkoa elimu yake darasa la saba [emoji23]
Kata ndio wameanza kuchukua fomu hawajafanya uchaguzi. Chongolo kashtuka hivi sasa baada ya kuona matawini mbumbumbu ni wengi. Kaamua kukaza kambaMbona huku kwenye Kata na Mitaa uchaguzi umefanyika jumapili ya juzi na wagombea wengi walioshinda hata darasa la saba hawajamaliza?
Msukuma ana PHD, Kibajaji yuko darasani anamalizia yake πKibajaji na Msukuma wana taaluma gani?
Watu wengi waungwana na wasomi wanaona aibu kugombea nafasi za uongozi ccm , sijui wanahofia nini , huku kwenye matawi washindi wengi wamepita bila kupingwa kwa sababu hakukuwa na waliojitokeza kugombea .Wapo ngazi ya kata hivi sasa. Sasa KM wao amekaza Uzi baada ya kuona walioshinda kwenye matawi wengi ni mbumbumbu
Akili za wafuasi wa Jiwe bana,dahMKUU
Vyama vikuu viwili
Vimeshapoteza muelekeo
Vitafutwa vizaliwe vipya
Ambavyo vitafundisha uzalendo!
Tuvisubiri
Kwenye mitaa tayari uchaguzi umefanyikaKata ndio wameanza kuchukua fomu hawajafanya uchaguzi. Chongolo kashtuka hivi sasa baada ya kuona matawini mbumbumbu ni wengi. Kaamua kukaza kamba
Mkuu bado nakubaliana na wewe kuhusu drier za saloon HahahaHivi unafahamu Sugu ni form four lakini anawazidi kwa mbali sana wasomi bingwa kama kina Dr Mwakyembe?
Tanzania hatuhitaji vyeti bali tunahitaji watu wenye akili kichwani vyeti ni nyongeza tu ya maarifa.
Degree na intelligent ni vitu viwili tofauti kabisa.
Yaani unalinganisha Mbowe na mwendazake Nini? Mwendazake hata Hapo Kenya alikuwa anaogopo kwenda. Mbowe anapasua kila pande ya dunia. Kwanza angalia historia yake degree yake kaipatia wapi?Amegraduate mwaka gani?
Ndio maana yake.Kwa hiyo Chongolo anafanyia kazi yaliyopo kwenye faili. Safi sana
Naunga mkono hojaWatu wengi waungwana na wasomi wanaona aibu kugombea nafasi za uongozi ccm , sijui wanahofia nini , huku kwenye matawi washindi wengi wamepita bila kupingwa kwa sababu hakukuwa na waliojitokeza kugombea .
Big no 1990 hukoWamechelewa Sana
Chama kimeshachezewa Hadi kupoteza mvuto Wake
Ni dola pekee Ndio turufu iliyobaki hakuna nyingine.
Wangefanya hayo mwaka 2014
Leo chama Kingekuwa Mbali sana
Kiutaratibu, hakuna mtu anayetakiwa kuingia katika utumishi wa umma kwa sifa ya kuwa kada...Pia hii itasaidia Mamlaka za Uteuzi Serikalini kuwateua makada wenye sifa katika nafasi nyeti serikalini.
Na ushirikinaDalali anachojua ni kuongea fitina na majungu na unafiki!
Hiyo ndiyo ilikuwa sifa kubwa hapo awali!
Ngoja tuone!
Basi ndio hivyo tena, Chongolo amewataka Makada wajipange kugombea ili wateuliwe na Mama.Kiutaratibu, hakuna mtu anayetakiwa kuingia katika utumishi wa umma kwa sifa ya kuwa kada
Kama wewe ndo mpima uelewa wa watu basi ni hatari sana. Upinzani umekukaa kichwani mpaka unachuruzika, umetumia vigezo gani kutoa tathmini hyo?Hivi unafahamu Sugu ni form four lakini anawazidi kwa mbali sana wasomi bingwa kama kina Dr Mwakyembe?
Tanzania hatuhitaji vyeti bali tunahitaji watu wenye akili kichwani vyeti ni nyongeza tu ya maarifa.
Degree na intelligent ni vitu viwili tofauti kabisa.