Nsennah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2021
- 1,947
- 1,554
Kuvitaja hakuna ugumu wwteMKUU
Vyama vikuu viwili
Vimeshapoteza muelekeo
Vitafutwa vizaliwe vipya
Ambavyo vitafundisha uzalendo!
Tuvisubiri
Ni CDM & act.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuvitaja hakuna ugumu wwteMKUU
Vyama vikuu viwili
Vimeshapoteza muelekeo
Vitafutwa vizaliwe vipya
Ambavyo vitafundisha uzalendo!
Tuvisubiri
Waliingia wajaza matumbo km akina February -1. Kuna kuwa na elimu ukaendeshwa na tumbo au kutokuwa na elimu ukaendeshwa na ukosefu wa utashi kuelewa jambo.Katibu hana mamlaka hayo, mnajaza uchafu tu JF.
Mkutano mkuu wa ccm uliokutana Dodoma ndio uliopitisha kanuni za uchaguzi, hizi zingine ni porojo tu.
Wewe unadhani mikataba yote ya hovyo nchi hii waliingia walioishia darasa la saba au secondary school?
Km ulishindwa shule usipambe ujinga. Mjinga ni mjinga tu, Sugu anamzidi lipi Dr. Mwakyembe? Kuifanya Mbeya isitulie? Vurugu? Namshangaa sana mtu anayeshabikia ujinga kisa tu umeshindwa shule. Hovyo kabisaaaa!!!!Hivi unafahamu Sugu ni form four lakini anawazidi kwa mbali sana wasomi bingwa kama kina Dr Mwakyembe?
Tanzania hatuhitaji vyeti bali tunahitaji watu wenye akili kichwani vyeti ni nyongeza tu ya maarifa.
Degree na intelligent ni vitu viwili tofauti kabisa.
Amegraduate 2007 Hull University, UK. Shida we umeshindwa kusoma una ugomvi na elimu>Amegraduate mwaka gani?
Ndo ishakula kwao hivyo. Watafute chaka jingine la kujifichia ila sio ndani ya Chama 😂Kwa hiyo akina Namba 3 (Mkoa), Gachuma (Mkoa), Ochele (Wilaya) na Ngitu (Wilaya) kule Mara itakuwaje maanake ccm ina watu wengi sampuli hiyo ambao wao kuwa kwao kwenye siasa ni mkakati maalumu wa kujitafutia maisha.
Makada watiifu. Kipimo cha RC & DC ni kumsifia Rais mbele ya CameraSifa za dc,rpc,rc,kc sijui ni kushiriki kwa dhati kwenye kuhakikisha rais na chama kinaibuka kidedea kwa kishindo katika chaguzi, baaasi!
Kwani serikali haina Wasomi? Mbona imejaa mapropesa na madagtari lakini inaendeshwa utadhani genge la Nyanya la Mama Kuruthumu?Mama ameona mbali sana. Baada ya Miaka 10 CCM itaendeshwa kisomi mno. Naona pia huu ni mwanzo wa kufuta wabunge wa darasa la 4B huko mbeleni
Avitoe wapi?? Ndio sasa hivi wanapambana kuziba nyufa za makosa ya nyuma yasijirudie. Mambo ya kujua kusoma na kuandika yamepitwa na wakatiHivi Mama Aminaaa ana vyeti vya taaluma gani?
Kwa sababu wenye Ilani inayotekelezwa ndio hao waliokuwa na elimu ya kujua kusoma na kuandika tu. Unategemea nini??Kwani serikali haina Wasomi? Mbona imejaa mapropesa na madagtari lakini inaendeshwa utadhani genge la Nyanya la Mama Kuruthumu?
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Ccm ni maviiiSiku chache baada ya kuripotiwa sakata la kukatwa ovyo kwa Majina ya wagombea ndani ya CCM bila kufuata utaratibu huko Ilala mapya yaibuka.
Inaelezwa kwamba Makatibu wote wa Mikoa na Wilaya "wamepewa Maagizo" na Katibu Mkuu Chongolo kuhakikisha kila anayegombea anaambatanisha Kopi za Vyeti vyake vya taaluma (form 4, form 6 na Chuo) na Mgombea asiyeambatanisha, fomu yake isipokelewe.
Inaelezwa kwamba mpango huu una lengo la kupunguza "wapiga debe" ndani ya Chama na kuweka Wasomi wenye uwezo wa Kupambanua Mambo.
Pia hii itasaidia Mamlaka za Uteuzi Serikalini kuwateua makada wenye sifa katika nafasi nyeti serikalini.
Mbona unawazidi hawa wenye degree za sasa?Najaribu kuwafikiria hawa vijana wanaomaliza form 4 miaka hii nabaki najiuliza kuwa hawa ndio wana uelewa kuliko mie na darasa la saba langu?
Na Zitto Kabwe amegraduate mwaka gani?Amegraduate 2007 Hull University, UK. Shida we umeshindwa kusoma una ugomvi na elimu>
Kwa hiyo Chongolo kapuyanga 😂Mbona unawazidi hawa wenye degree za sasa?
Mbona huku vijijini form 4, 6 na chuo zipo za kutosha tu mkuuLabda kwa DSM.
Vijijini watakosa wagombea!