Karne
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 8,118
- 13,547
Wenye vyeti vya taaluma vijijini hawana interest na hizo nafasi.Mbona huku vijijini form 4, 6 na chuo zipo za kutosha tu mkuu
Na kwa vijiji vingi wanakuwa waajiriwa,wenye taaluma wameng'ang'ania mijini tu.