UCHAGUZI CHADEMA: Mahojiano ya Mbowe leo Clouds yamesitisha moja kwa moja Mdahalo wa Lissu na Mbowe

UCHAGUZI CHADEMA: Mahojiano ya Mbowe leo Clouds yamesitisha moja kwa moja Mdahalo wa Lissu na Mbowe

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
Mbowe leo kadhihirisha ni Mwanasiasa Genius,smart,broad,wise,mtulivu na Mvumilivu sana.Nimeangalia Interview nzima ni as if alikuwa anaprove ni kwa kiasi Gani Level yake ya kisiasa ni ya juu sana kucompare na Lissu.

Utumiaji wa Vifungu vya Katiba katika Uongeaji wake ni kama alikuwa anaonyesha ni namna gani Lissu ni Mropokaji na haelewi Katiba ya CHADEMA pamoja na kushiriki kuitunga na kukaa CHADEMA muda mrefu.

Kwakweli kwa Mjumbe yeyote aliyefuatilia mahojiano ya leo kumkutanisha Mbowe na Lissu katika Mdahalo ni kumkosea heshima Mbowe kwa kiwango cha juu sana,nadhani Lissu aandaliwe Mdahalo na Level zake hao wakina Odero sijui wakaropoke huko wapigane mbele ya Waandishi wamalize hasira zao.
 
Mbowe leo kadhihirisha ni Mwanasiasa Genius,smart,broad,wise,mtulivu na Mvumilivu sana.Nimeangalia Interview nzima ni as if alikuwa anaprove ni kwa kiasi Gani Level yake ya kisiasa ni ya juu sana kucompare na Lissu.

Utumiaji wa Vifungu vya Katiba katika Uongeaji wake ni kama alikuwa anaonyesha ni namna gani Lissu ni Mropokaji na haelewi Katiba ya CHADEMA pamoja na kushiriki kuitunga na kukaa CHADEMA muda mrefu.

Kwakweli kwa Mjumbe yeyote aliyefuatilia mahojiano ya leo kumkutanisha Mbowe na Lissu katika Mdahalo ni kumkosea heshima Mbowe kwa kiwango cha juu sana,nadhani Lissu aandaliwe Mdahalo na Level zake hao wakina Odero sijui wakaropoke huko wapigane mbele ya Waandishi wamalize hasira zao.
Nyumbu wa Sultan Mbowe mna makengeza ya akili. Mtu interview nzima hajaeleza atafanya nini zaidi anaeleza aliyofanya ambayo kila mtu anayajua eti huyo ndiye genius,mahaba yamewapofua macho
 
Lissu sio level ya Mbowe kabisa. Hata Mtikila alikuwa anajitahidi kuongea kwa facts with evidence, sio mropokaji Lissu.

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wakifanya maamuzi ya mhemko, Kisa tu kutaka mabadiliko, watakuja kujuta huko mbeleni. Wajifunze kwa NCCR na CUF.

Mabadiliko yawepo Lakini kwa utaratibu sahihi na watu sahihi.
 
Mbowe leo kadhihirisha ni Mwanasiasa Genius,smart,broad,wise,mtulivu na Mvumilivu sana.Nimeangalia Interview nzima ni as if alikuwa anaprove ni kwa kiasi Gani Level yake ya kisiasa ni ya juu sana kucompare na Lissu.

Utumiaji wa Vifungu vya Katiba katika Uongeaji wake ni kama alikuwa anaonyesha ni namna gani Lissu ni Mropokaji na haelewi Katiba ya CHADEMA pamoja na kushiriki kuitunga na kukaa CHADEMA muda mrefu.

Kwakweli kwa Mjumbe yeyote aliyefuatilia mahojiano ya leo kumkutanisha Mbowe na Lissu katika Mdahalo ni kumkosea heshima Mbowe kwa kiwango cha juu sana,nadhani Lissu aandaliwe Mdahalo na Level zake hao wakina Odero sijui wakaropoke huko wapigane mbele ya Waandishi wamalize hasira zao.

..tabasamu la Mbowe wakati wa dhuluma dhidi ya Chadema ndio chanzo cha wanachama kutamani kuongozwa na mtu mwenye haiba kama ya Tundu Lissu.
 
Nyumbu wa Sultan Mbowe mna makengeza ya akili. Mtu interview nzima hajaeleza atafanya nini zaidi anaeleza aliyofanya ambayo kila mtu anayajua eti huyo ndiye genius,mahaba yamewapofua macho
Jibu hoja kijana, acha mitusi na kashfa kama mgombea wenu. Huwezi kupata madaraka kwa mitusi.

Na wewe toa kielelezo cha press yoyote aliyofanya mgombea wako kwa kunukuu vifungu vya katiba na kanuni bila kufumua mitusi na kashfa kwa viongozi wenzake.
 
Mbowe leo kadhihirisha ni Mwanasiasa Genius,smart,broad,wise,mtulivu na Mvumilivu sana.Nimeangalia Interview nzima ni as if alikuwa anaprove ni kwa kiasi Gani Level yake ya kisiasa ni ya juu sana kucompare na Lissu.

Utumiaji wa Vifungu vya Katiba katika Uongeaji wake ni kama alikuwa anaonyesha ni namna gani Lissu ni Mropokaji na haelewi Katiba ya CHADEMA pamoja na kushiriki kuitunga na kukaa CHADEMA muda mrefu.

Kwakweli kwa Mjumbe yeyote aliyefuatilia mahojiano ya leo kumkutanisha Mbowe na Lissu katika Mdahalo ni kumkosea heshima Mbowe kwa kiwango cha juu sana,nadhani Lissu aandaliwe Mdahalo na Level zake hao wakina Odero sijui wakaropoke huko wapigane mbele ya Waandishi wamalize hasira zao.
Remove word genius and smart, hizo sifa belongs to watu ambao walifanya vitu vilivyoletw mabadiliko chanya duniani
 
Mbowe leo kadhihirisha ni Mwanasiasa Genius,smart,broad,wise,mtulivu na Mvumilivu sana.Nimeangalia Interview nzima ni as if alikuwa anaprove ni kwa kiasi Gani Level yake ya kisiasa ni ya juu sana kucompare na Lissu.

Utumiaji wa Vifungu vya Katiba katika Uongeaji wake ni kama alikuwa anaonyesha ni namna gani Lissu ni Mropokaji na haelewi Katiba ya CHADEMA pamoja na kushiriki kuitunga na kukaa CHADEMA muda mrefu.

Kwakweli kwa Mjumbe yeyote aliyefuatilia mahojiano ya leo kumkutanisha Mbowe na Lissu katika Mdahalo ni kumkosea heshima Mbowe kwa kiwango cha juu sana,nadhani Lissu aandaliwe Mdahalo na Level zake hao wakina Odero sijui wakaropoke huko wapigane mbele ya Waandishi wamalize hasira zao.
Exactly, wamemuita kwenye vikao, leta evidence za Abdul, ..hajatoa akaingia mitini. sasa huyo kweli awe kiongozi wa juu wa chama? Lisu is good, very good katika kulumbana na polisi, Samia na watu wengine wa mikiki mikiki, lakini asiwe top,ataharibu chama. Yeye wamuache apige kelele za barabarani, ambayo yanahitaji utulivu wa akili ayafaye Mbowe na wengine, Lisu akiwa mshauri, lakini si msemaji mkuu
 
Jibu hoja kijana, acha mitusi na kashfa kama mgombea wenu. Huwezi kupata madaraka kwa mitusi.

Toa kielelezo na wewe cha press yoyote aliyofanya mgombea wako akafuata vifungu vya katiba na kanuni bila kufumua mitusi na kashfa kwa viongozi wenzake
Nyumbu ndiyo mna mihemuko subirini tarehe 21 wajumbe wafanye yao hizi ngonjera zenu humu haziwezi kumnasua Sultan na ukweli kuwa kwa sasa anafadhiliwa na CCM, hili ni doa kubwa hakuna mjumbe atatoa kura yake kwa CCM.
 
Exactly, wamemuita kwenye vikao, leta evidence za Abdul, ..hajatoa akaingia mitini. sasa huyo kweli awe kiongozi wa juu wa chama? Lisu is good, very good katika kulumbana na polisi, Samia na watu wengine wa mikiki mikiki, lakini asiwe top,ataharibu chama. Yeye wamuache apige kelele za barabarani, ambayo yanahitaji utulivu wa akili ayafaye Mbowe na wengine, Lisu akiwa mshauri, lakini si msemaji mkuu
B12 @ work.
 
Kama madai Yako ni sahihi, basi ni bora mdahalo uendelee ili Mbowe adhihirishe huo u-smart na kumpiga knock-out mpinzani wake!
Mtu mwenye akii hawezi kuwa na mdahalo na Lisu. Lisu hana haiba ya midahalo ya watu wenye akili. Anafaa kwenye mikiki mikiki ya barabarani..maguvu, mitulinga lakini siyo kutumia akili
 
Binafsi naunga mkono mabadiliko lkn sio kumpa mtu roporopo chama mtu asiyejua busara bali kutukana na kuchagua watu na taasisi.
Mpelekeni akatunge nyimbo za taarabu kusuta wanawake chama kisigeuzwe kuwa chadema modern taarabu.
Mbowe atapumzika lkn sio Sasa na wakumrithi sio tundu mchafuzi
 
Lissu sio level ya Mbowe kabisa. Hata Mtikila alikuwa anajitahidi kuongea kwa facts with evidence, sio mropokaji Lissu.

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wakifanya maamuzi ya mhemko, Kisa tu kutaka mabadiliko, watakuja kujuta huko mbeleni. Wajifunze kwa NCCR na CUF.

Mabadiliko yawepo Lakini kwa utaratibu sahihi na watu sahihi.
Unamuogopa Lissu zaidi.
Na anashinda uchaguzi.
Sijui utajificha wapi?.
 
Back
Top Bottom