SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Jitahidi watu wasijue kuwa huna akiliAkili ndogo kama Lissu hamuwezi kumuelewa Mbowe. Mnamuelewa Mropokaji Lissu. Mfano, Mbowe muda wote alikuwa ana address; "Mh. Lissu, Mh. Heche,..."!
Lissu Sasa akiwa ana address wenzake utasikia; " Magufuli, Samia, Mbowe,....!" Jinga sana hili takataka!
Mbowe leo kadhihirisha ni Mwanasiasa Genius,smart,broad,wise,mtulivu na Mvumilivu sana.Nimeangalia Interview nzima ni as if alikuwa anaprove ni kwa kiasi Gani Level yake ya kisiasa ni ya juu sana kucompare na Lissu.
Utumiaji wa Vifungu vya Katiba katika Uongeaji wake ni kama alikuwa anaonyesha ni namna gani Lissu ni Mropokaji na haelewi Katiba ya CHADEMA pamoja na kushiriki kuitunga na kukaa CHADEMA muda mrefu.
Kwakweli kwa Mjumbe yeyote aliyefuatilia mahojiano ya leo kumkutanisha Mbowe na Lissu katika Mdahalo ni kumkosea heshima Mbowe kwa kiwango cha juu sana,nadhani Lissu aandaliwe Mdahalo na Level zake hao wakina Odero sijui wakaropoke huko wapigane mbele ya Waandishi wamalize hasira zao.
Nyie dhamira yenu ni kuiua Cdm ndipo mtakapopata utulivu.Mbowe leo kadhihirisha ni Mwanasiasa Genius,smart,broad,wise,mtulivu na Mvumilivu sana.Nimeangalia Interview nzima ni as if alikuwa anaprove ni kwa kiasi Gani Level yake ya kisiasa ni ya juu sana kucompare na Lissu.
Utumiaji wa Vifungu vya Katiba katika Uongeaji wake ni kama alikuwa anaonyesha ni namna gani Lissu ni Mropokaji na haelewi Katiba ya CHADEMA pamoja na kushiriki kuitunga na kukaa CHADEMA muda mrefu.
Kwakweli kwa Mjumbe yeyote aliyefuatilia mahojiano ya leo kumkutanisha Mbowe na Lissu katika Mdahalo ni kumkosea heshima Mbowe kwa kiwango cha juu sana,nadhani Lissu aandaliwe Mdahalo na Level zake hao wakina Odero sijui wakaropoke huko wapigane mbele ya Waandishi wamalize hasira zao.
Tuombe mdahalo Mimi na wewe aidha hapa JF au kwenye midia yoyote. Ukinishinda kwa hoja, najiondoa JF milele.Jitahidi watu wasijue kuwa huna akili
Mbowe leo kadhihirisha ni Mwanasiasa Genius,smart,broad,wise,mtulivu na Mvumilivu sana.Nimeangalia Interview nzima ni as if alikuwa anaprove ni kwa kiasi Gani Level yake ya kisiasa ni ya juu sana kucompare na Lissu.
Utumiaji wa Vifungu vya Katiba katika Uongeaji wake ni kama alikuwa anaonyesha ni namna gani Lissu ni Mropokaji na haelewi Katiba ya CHADEMA pamoja na kushiriki kuitunga na kukaa CHADEMA muda mrefu.
Kwakweli kwa Mjumbe yeyote aliyefuatilia mahojiano ya leo kumkutanisha Mbowe na Lissu katika Mdahalo ni kumkosea heshima Mbowe kwa kiwango cha juu sana,nadhani Lissu aandaliwe Mdahalo na Level zake hao wakina Odero sijui wakaropoke huko wapigane mbele ya Waandishi wamalize hasira zao.
Mbona lisu yeye hajasema angalau kitu hata kimoja alichofanya? Au yeye hana alichofanya?Nyumbu wa Sultan Mbowe mna makengeza ya akili. Mtu interview nzima hajaeleza atafanya nini zaidi anaeleza aliyofanya ambayo kila mtu anayajua eti huyo ndiye genius,mahaba yamewapofua macho
Yaani anajua kuchamba mwanamke wa kizalamo akasome.Nimemsikiliza Mbowe kwa makini, hakika mzee hana jipya anaongea majungu mwanzo mwisho
Una hasira binafsi na Kamanda uliliwa ukarushwa?Nyumbu wa Sultan Mbowe mna makengeza ya akili. Mtu interview nzima hajaeleza atafanya nini zaidi anaeleza aliyofanya ambayo kila mtu anayajua eti huyo ndiye genius,mahaba yamewapofua macho
Kumbe wewe ndiye Joyce John Mukya, una mahaba binafsi na Sultan Mbowe, pole dada danga lako tunalipiga chini.Una hasira binafsi na Kamanda uliliwa ukarushwa?
Leo ndio mnatambua baada ya kugombea uenyekiti? Nyie kwl nyumbu wa makengeza. Chadomo no SACCOSS ya wachaga, acheni iwafie km TLP na NCCR-MAGEUZIBinafsi naunga mkono mabadiliko lkn sio kumpa mtu roporopo chama mtu asiyejua busara bali kutukana na kuchagua watu na taasisi.
Mpelekeni akatunge nyimbo za taarabu kusuta wanawake chama kisigeuzwe kuwa chadema modern taarabu.
Mbowe atapumzika lkn sio Sasa na wakumrithi sio tundu mchafuzi
Interview ya leo, mwamba alikua anatafuta Public sympathy lakini kwa kweli ameshindwa kueleza kwa nini anataka kugombea tena. Niwapongeze sana watangazaji, wamemuuliza maswali yote ya msingi lakini hakuna alilojibu zaidi ya kubwabwaja tuu.Mbowe leo kadhihirisha ni Mwanasiasa Genius,smart,broad,wise,mtulivu na Mvumilivu sana.Nimeangalia Interview nzima ni as if alikuwa anaprove ni kwa kiasi Gani Level yake ya kisiasa ni ya juu sana kucompare na Lissu.
Utumiaji wa Vifungu vya Katiba katika Uongeaji wake ni kama alikuwa anaonyesha ni namna gani Lissu ni Mropokaji na haelewi Katiba ya CHADEMA pamoja na kushiriki kuitunga na kukaa CHADEMA muda mrefu.
Kwakweli kwa Mjumbe yeyote aliyefuatilia mahojiano ya leo kumkutanisha Mbowe na Lissu katika Mdahalo ni kumkosea heshima Mbowe kwa kiwango cha juu sana,nadhani Lissu aandaliwe Mdahalo na Level zake hao wakina Odero sijui wakaropoke huko wapigane mbele ya Waandishi wamalize hasira zao
Baada ya kuropoka ya uongoLeo ndio mnatambua baada ya kugombea uenyekiti? Nyie kwl nyumbu wa makengeza. Chadomo no SACCOSS ya wachaga, acheni iwafie km TLP na NCCR-MAGEUZI
Nyumbu wa Sultan Mbowe mna makengeza ya akili. Mtu interview nzima hajaeleza atafanya nini zaidi anaeleza aliyofanya ambayo kila mtu anayajua eti huyo ndiye genius,mahaba yamewapofua macho